Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,161
- 17,064
Shame....
Tujiandae kwa kelele.....
Hii kipigo sikuwahi kufikiri mwamba kwa liverpool hii ingeweza kuwa mdebwedo kwa kiwango hiki.
Heddo angecheza tusingepigwa goals zote hizo. Jamaa anajua ku control tempo ya game. Ikiwa ya moto anaipooza. So pengo lake naliona wazi kabisa.
Tumemkosa Mane farward line ikapoteA makali. Nilale tu maana kelele Itakuwa nyingi kwa week nzima.
Poleni kops wooote. Msisahau kumpa mh Lissu kura hapo 28/10
Tujiandae kwa kelele.....
Hii kipigo sikuwahi kufikiri mwamba kwa liverpool hii ingeweza kuwa mdebwedo kwa kiwango hiki.
Heddo angecheza tusingepigwa goals zote hizo. Jamaa anajua ku control tempo ya game. Ikiwa ya moto anaipooza. So pengo lake naliona wazi kabisa.
Tumemkosa Mane farward line ikapoteA makali. Nilale tu maana kelele Itakuwa nyingi kwa week nzima.
Poleni kops wooote. Msisahau kumpa mh Lissu kura hapo 28/10


