Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

the freaking highline stupidity!

it's going to be a cricket score tonite.

Klopp must stop this insanity. AND FAST!
Screenshot_20201005-061548_1.jpg
 
Usitukane mamba kabla ya kuvuka mto.... Man cty alituonya...😂😂😂
 
Hakuna,

Mimi nimecheki game alfa na omega, goli 4 ni deflection wamemuuza mabeki, na hayo mengine mawili counter mabeki wamechomesha, moja penați, tena amesave 1 against 1 kama mbili hivi, ambazo leo hii tungekuwa tunazungumzia 9 kwa 2,

Kipa kajitahidi sana tena sana

You mean no right to save deflection? kwa mipira iliyopigwa golini huwezi kunishawishi kuwa kipa yoyote hawezi kuyacheza.

Mpira unaweza kuingia golini lakini unaona jitihada za kipa, Lakini jamaa anasimama tu kama mbolo insyosubiri papuchi na kuiabgalia mipira inaingia golini halafu asihusike?

Jamaa hamna Kitu kwakweli! Unasema haya kwasababu ni wa Liverpool, Angelikuwa ni Kepa aliyefungwa magoli Yale basi ungeliwakera Blues na mabango ya "KEPA NI SHATI" 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom