Mkuu,huoni unamweka pabaya Mwenyekiti Mh. Mbowe? Kwenye kesi yake ya kupanga..... viongozi wa kitaifa. Endelea kufunguka inawezekana Kuna jambo
Usiwe MNAFIKI kupanga........ Ndiyo nini?.kwani uongo aliyeamulu kuuwawa kwa Lisu ni Magu ilo hata mbigu zinajua
 
Hahahahahahahaahhahaah

Wabunge wa CCM kumshangilia CCM mwenzao kwenu ni matumaini kwamba soon CCM itasambaratika???

You are better than this my friend. Hahahaahah

Aiseee nyie jamaa ni bure kabisa. Haya mkuu kila la kheri!
Hujaelewa hata nilichoandika.
 
Huyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.
Hata aliposema kuhusu kifo Cha jiwe mlikebehi Hivi Hivi nyie watu msiotunza kumbukumbu
 
Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.

Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Kama malkia was uingereza
 
Wewe siyo mwanaCCM. Acha shoboko.
Mimi ni mwanachama hai wa CCM.

Naelewa tuna tatizo kubwa sana ndani ya chama kwa aina yako ya wanachama.

Tunakitetea chama kwenye sensible issues. Kuna ujinga mwingi umetugharimu hadi kufikia hapa tulipofika.

Amini nakuambia sihami CCM lakini Nitasema Kweli Daima....
 
Mkuu wakishiba WAMEVIMBIWA..
Hapana mkuu.
Tunaokoteza okoteza watu kwa status zao na kuwamilikisha chama.
Mimi nimekuwa pro Magu mpaka nikajitia upofu baadaye nimetafakari hapa tulipofikia nimejihurumia sana lakini naamini kama wakubwa wakikubali kujisahihisha mambo yatakuwa mswano.

National Reconciliation haiepukiki
 
Lissu asipuuzwe katika kiwango kikubwa Bali tuyafikilie kwa kina asemayo huku tukitumia ushahidi wa kimazingira na kimatukio kufanya ulinganifu wa statement hiyo.
 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Wewe ndio hewa kweli! Bado unasumbuliwa na hangover ya Ushetani wa Mwendachato, harudi tena! Nyau we!
 
Huyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.
Alichopitia Lissu sidhani kama kuna mtanzania yeyote amewahi kupitia

zile risasi sio mchezo

his mental state haiwezi kuwa sawa… Tatizo wanasiasa wanamtumia bila kufa hamu kwamba he is no longer the same … amechungulia kifo right there

amekua paranoid na kajitengenezea unabii

binafsi ningependa atulie pembeni kwanza apate proper ptsd care
 
Back
Top Bottom