Ila unapendezwa na zile Lisu kupigwa risasi dodomaMkuu Mimi ni raia Kama wewe, ila nimekuwa sipendezwi na taarifa Kama hizi.
Ila unapendezwa na zile Lisu kupigwa risasi dodomaMkuu Mimi ni raia Kama wewe, ila nimekuwa sipendezwi na taarifa Kama hizi.
Usiwe MNAFIKI kupanga........ Ndiyo nini?.kwani uongo aliyeamulu kuuwawa kwa Lisu ni Magu ilo hata mbigu zinajuaMkuu,huoni unamweka pabaya Mwenyekiti Mh. Mbowe? Kwenye kesi yake ya kupanga..... viongozi wa kitaifa. Endelea kufunguka inawezekana Kuna jambo
Hapo pa kuua temboYani umeshasahau kuwa huyu Lissu mlishamshindwa huko mahakamani hadi mkafanya maamuzi ya kummiminia risasi 38 mchana kweupe kama mnaua tembo?
Kichaa kazikwa chatoLisu ni kichaa
Sawa mama jNimechagua kutojibu maswali ya kijinga.
"Asiejua maana haambiwi maana"
Hujaelewa hata nilichoandika.Hahahahahahahaahhahaah
Wabunge wa CCM kumshangilia CCM mwenzao kwenu ni matumaini kwamba soon CCM itasambaratika???
You are better than this my friend. Hahahaahah
Aiseee nyie jamaa ni bure kabisa. Haya mkuu kila la kheri!
Tafakari upya...Alikuwa anatafuta kiki ni siku nyingi haja trend,,akirudi tuu bongo kuna mafaili yanamsubilia mezani la sivyo aendelee kupakatwa huko huko
Hata aliposema kuhusu kifo Cha jiwe mlikebehi Hivi Hivi nyie watu msiotunza kumbukumbuHuyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.
Kama malkia was uingerezaHata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.
Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Ungeelewa nilichokisema usingekuja na low comment kiasi hikiKama mlivyojibu wakati Jiwe anaumwa
Mimi ni mwanachama hai wa CCM.Wewe siyo mwanaCCM. Acha shoboko.
Hapana mkuu.Mkuu wakishiba WAMEVIMBIWA..
Wewe ndio hewa kweli! Bado unasumbuliwa na hangover ya Ushetani wa Mwendachato, harudi tena! Nyau we!Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Mkuu hiyo inaitwa piga nikupige akikujibu niambie.Ila unapendezwa na zile Lisu kupigwa risasi dodoma
Alichopitia Lissu sidhani kama kuna mtanzania yeyote amewahi kupitiaHuyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.