Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
tafuta jalada uanze kumfungulia, kungua kesi ni rahisi sana
 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Kwanini watu wengi wanamwamini?
 
Hivi ni nani aliyeanza kutuhabarisha kuumwa kwa jiwe na ni nani alietueleza jiwe ni mzima na ana chapa kazi?
 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Mbona wewe hujashitakiwa kwa kwenda Dodoma na Bashite kwenda kumpiga risasi?
 
Polisiccm sasa eti wanatumia Sheria za Rwanda kuonea watu hawataki tena kutumia Sheria za Nchi IGP kasema ataiga vya Rwanda ili kuwatishia wananchi wawaogope Polisiccm, hilo nalo mnataka Tundu lisu akae kimya?
 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Kwanini usimfungulie wewe akushikishe ukuta..Unataka amfungulie nani
 
We kweli akili huna kutekwa alikokuwa anamaanisha lissu sio kutekwa unakokujua wewe.Rais anawezaje kutekwa? Una akili tu za kulia mahindi mashambani mwa watu ukiwa na viumbe wenzako mnaorukaga kutoka mti mmoja kwenda mwingine
 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Ww ni kima+ ngedere
 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Mkimfungulia mashitaka, mhakikishe anajiwakilisha yeye binafsi, tufaidi jinsi watu watakavyogaragazwa!
 
Back
Top Bottom