darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,700
- 16,851
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.