Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 3,908
- 5,693
Ata kwenye kanga yapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Kwa hiyo na wewe una taarifa Kama za Lissu? Hebu tufafanulie inakuaje wanachadema mnapata taarifa mapema?Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.
Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Kuna viashiria semaTunaojua ukweli tumeamua kukaa kimya maana tukisema tutashitukiwa na kuanza kufuatiliwa ila alichokisema Lissu ndio ukweli wenyewe
Toa siriNani wa kumuachia nchi mzanzibar tena mwana wa like
"Nina siri yako mama maushungi niliyoachiwa na mzee kabla hajaenda kuzimu"
HahahahaSamia anatia huruma sanaa, natamani kumsadia kwa mambo mengi sana. shida ndiyo hivyo
samia, popote ulipo ni Pm
nina taarifa sensitive kidogo kukuhusu.
ukizubaa shauri yako.
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.