Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

Nimekuquote kwa sababu umetoa wazo la kipuuzi mbele ya wanaume wasiopenda mizaha, kama ungrliyatoa hayo mapendekezo yako pm bila shaka nisingeliyasoma, lbd tu na mm nikuulize kwa nn umepost in public?
Acha jazba basi

Sio amri wewe kuamini ninachokiamini mimi, wala sio amri Mimi kuamini unachokiamini wewe

Ukisoma kisipokupendeza pita kimyakimya.... btw sikua nimekuquote wewe na sijui kwanini uliniquote
 
Nimekuquote kwa sababu umetoa wazo la kipuuzi mbele ya wanaume wasiopenda mizaha, kama ungrliyatoa hayo mapendekezo yako pm bila shaka nisingeliyasoma, lbd tu na mm nikuulize kwa nn umepost in public?

Unataka mawazo yangu nipeleke pm kwani nini haswa majengo ya jamiiforum jukwaa la siasa?

Kunywa ☕upumzike kidogo tuendelee kuijenga nchi ndugu yangu.

Sio yote tunayoyataka tunaweza kuyapata, na sio kila tunachokikubali sisi kila mtu anakikubali

Siasa ni imani kama ilivyo dini, sio shurti kila mtu aamini kwa unachoamini

Michango yangu inaweza kuwa ya kipuuzi kwa mwanaume wewe ila wengine wanaiona powa tuu, na hata kama hatukubaliani hatupingani kwa maneno machafu, matusi na dharau
 
Unategemea mageuzi kwa wanasiasa kama hawa
images (23).jpeg

Njaa tupu,hawana msimamo,haya ya leo yalianza 2015.
 
Hahahaaa, kwa uelewa wako.

Kama sijasahau, tume ilikataa tena ilitoa tangazo wiki moja kabla kuwa, haitawezekana mtu kupiga kura(hata ya uRais) sehemu ambayo hakujiandikishia.
 
Nikulipe mshahara! Nikujazie mafuta ya gari! Halafu umtangaze mpinzani! Hii ndiyo siri ya mafanikio. Huku Neccm na policcm wakitimiza wajibu wao ipasavyo!

Vyombo vya habari na NGO's kupigwa mkwara mzito iwapo watawapa nafasi wapinzani kufanya siasa, nk.
Wote hao ni waumini wa Demoncracy. Mademon yatawasumbua sana na yatasumbua nchi kwa kuwa haki huinua taifa. Sisi tunaamini Demokrasia sio demokrasia ya Jiwe.
 
Utadhani hizo pesa ni pesa zinazotoka mfukoni Mwale! Madikteta ndivyo walivyo!
Nikulipe mshahara! Nikujazie mafuta ya gari! Halafu umtangaze mpinzani! Hii ndiyo siri ya mafanikio. Huku Neccm na policcm wakitimiza wajibu wao ipasavyo!

Vyombo vya habari na NGO's kupigwa mkwara mzito iwapo watawapa nafasi wapinzani kufanya siasa, nk.
 
Sinaga chuki mimi mwenzio na hiyo unayoiita ex ikishakua ex hainaga nafasi tena popote, nakushauri na wewe usiwe na chuki na mimi sababu kwa jazba ulilo nalo unaweza kutangulia huko ahera kabla ya muda wako kufika. Pole weee
mama D nakukubali Sana unajua Sana kujenga hoja kuliko hata wanaume wengi ambao wapo humu ingawa me sio mpenzi wa CCM Wala CHADEMA kiufupi me si mpenzi wa vyama Lakini napenda mtu ambaye anajua kujenga hoja na kutetea hoja bila matusi au miemuko bila kujali yupo upande gani wa siasa au Hana Itikadi ya vyama
 
Sinaga matusi mie wala sipendi matusi bali napenda kukosoa kama nilivyo kukosoa ila kama uliona nimemtumia lugha chafu basi unisamehe
Usisahau pia kuwa sio kila mtu atakuunga mkono kwa post yako inayolenga kukejeri aina furani ya watu, ni hakika umekejeri wapinzani kisa wameshindwa kushinda ccm oliyopewa ushindi wa chee na NEC
Ukiwa mtu timamu kiakili huwezi furahia huo ushindi wa CCM uliotengenezwa na NEC
Wenye akili tunaendelea kutafakari huo ushindi wa mezani
Wewe unaamini ccm wameshinda wkt hata shetani haamini huo ushindi
Unataka mawazo yangu nipeleke pm kwani nini haswa majengo ya jamiiforum jukwaa la siasa?

Kunywa ☕upumzike kidogo tuendelee kuijenga nchi ndugu yangu.

Sio yote tunayoyataka tunaweza kuyapata, na sio kila tunachokikubali sisi kila mtu anakikubali

Siasa ni imani kama ilivyo dini, sio shurti kila mtu aamini kwa unachoamini

Michango yangu inaweza kuwa ya kipuuzi kwa mwanaume wewe ila wengine wanaiona powa tuu, na hata kama hatukubaliani hatupingani kwa maneno machafu, matusi na dharau
 
Sijawahi kuwa na manzi maisha mwangu, lbd huyo ex huwa anatoka na mke wa shoga yako mama D chunguza vizuri

Utakuaje na manzi au mke wakati wanaume mlikua na mikakati ya kuhalalisha kuolewa na wanaume wenzenu. Hizi post zako hapa tuu zinawakilisha akili mlivyo, hamna hoja za kujenga ila matusi tuu na jazba

CHADEMA yenye dira ilijifiaga Dr Slaa alipowaacha na ACT imeondoka na jembe mama mghwira
 
Kwanini upinzani umeanguka vibaya:

1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote.

2) Hakuna Mtanzania anayeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

3) Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimari za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchini, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea.

4) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo. Being there done that no turning back.

5) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kuchagua chama kinachotaka kuzidi kufukarisha maskini kwa kurasimisha madalali kama kangomba, chama cha ACT kiliifanya hii kuwa sera yao kuu kwenye uchaguzi huu, na wananchi wameweza kuwajibu vizuri.

6) Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona.

7) Hakuna Mtanzania anayeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

8) Wananchi wanapenda vitu vinavyowatatiza viongelewe na vipewe suluhu, sasa wapinzani wanapoongelea kuwapa wananchi uhuru, sera ngumu sana kueleweka kwasababu watu wako huru unawezaje kuwaahidi uhuru, uhuru upi wa kutukana matusi ama upi, kwahiyo hapa upinzani hawakuwa na agenda ya msingi na walipoteza muda mwingi kulihubiri hili kumbe ni tatizo lililopo vichwani mwao tu na wananchi wameshindwa kuwaelewa.

9) Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu.

10) Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwa sababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Wenu katika ujenzi wa nchi.

Mwanakijiji Mpenda Nchi.
Mkuu unalipa kodi kiasi gani mkuu?
 
Nafikiri hata nyinyi wenyewe mkikaa mkatulia kabisa na nafsi zenu mnaona kabisa hamjafanya fair, nafsi zinawasuta.
 
Kwanini upinzani umeanguka vibaya:

1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote.

2) Hakuna Mtanzania anayeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

3) Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimari za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchini, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea.

4) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo. Being there done that no turning back.

5) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kuchagua chama kinachotaka kuzidi kufukarisha maskini kwa kurasimisha madalali kama kangomba, chama cha ACT kiliifanya hii kuwa sera yao kuu kwenye uchaguzi huu, na wananchi wameweza kuwajibu vizuri.

6) Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona.

7) Hakuna Mtanzania anayeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

8) Wananchi wanapenda vitu vinavyowatatiza viongelewe na vipewe suluhu, sasa wapinzani wanapoongelea kuwapa wananchi uhuru, sera ngumu sana kueleweka kwasababu watu wako huru unawezaje kuwaahidi uhuru, uhuru upi wa kutukana matusi ama upi, kwahiyo hapa upinzani hawakuwa na agenda ya msingi na walipoteza muda mwingi kulihubiri hili kumbe ni tatizo lililopo vichwani mwao tu na wananchi wameshindwa kuwaelewa.

9) Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu.

10) Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwa sababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Wenu katika ujenzi wa nchi.

Mwanakijiji Mpenda Nchi.
Ni NEC jawabu
 
Sinaga matusi mie wala sipendi matusi bali napenda kukosoa kama nilivyo kukosoa ila kama uliona nimemtumia lugha chafu basi unisamehe
Usisahau pia kuwa sio kila mtu atakuunga mkono kwa post yako inayolenga kukejeri aina furani ya watu, ni hakika umekejeri wapinzani kisa wameshindwa kushinda ccm oliyopewa ushindi wa chee na NEC
Ukiwa mtu timamu kiakili huwezi furahia huo ushindi wa CCM uliotengenezwa na NEC
Wenye akili tunaendelea kutafakari huo ushindi wa mezani
Wewe unaamini ccm wameshinda wkt hata shetani haamini huo ushindi

Pamoja mkuu tuachane na matusi na dharau tujenge hoja. Yaliyopita si ndwele
 
Back
Top Bottom