Uchaguzi 2020 Kwanini Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimeanguka vibaya sana katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani

Tatzo lao walikuwa na fikra kwamba Watanzania bado wajinga vilevile Kila kitu kupinga kisa wao wapinzani, washaonyeshwa makali sasa & hope 2025 watajipanga kwa sera nzuri.
Kufumbia macho dhuluma iliyofanywa kwa vyama vya upinzani haitowasaidia chochote, pia mkumbuke kwamba kutowachagua hao wabunge wa upinzani hamtaweza kamwe kuufuta upinzani nchini, kama ambavyo mmejionea baada ya miaka 5 ya kupiga marufuku mikutano haikuweza kuuwa upinzani.
 
Alafu wanatulingishia Armstadam mkoloni.

Jambo dogo eti"armstadam atainyoosha Tanzania itawekewa vikwazo.

Nyambaf zao, Watanzania wamewatia adabu wao na vibarakawao.
Wewe unawashangilia wenzako wanaenda kugawana vyeo huku wewe ukiendelea kusugua makalio huko madongo kuinama.
 
Ila Tanzania watu wengi hawajitambui mpaka wanaboa sijui tatizo njaa au nini mpaka kuzaa huu unafiki dah
 
Tanzania imeonekana kuwa ni nchi ya kipumbavu sana maana wameachiwa wajisimamie wenyewe uchaguzi lakini matokeo yake wameshindwa kabisa na hivyo inahitaji kusimamiwa zaidi hata ya ilivyokuwa awali kwakuwa haijaweza bado kujitawala.

Hatua kali sana zitakazochukuliwa dhidi ya Tanzania zitakuwa na mabadiliko makubwa. Na mimi naziunga mkono na nimeshaanza kuwachukulia hatua kali mashabiki wa Magufuli. Kucheka na mpumbavu ni upumbavu zaidi.
Ulivyoandika inakusaidia sana kupunguza machungu. Endelea kuandika hivi hivi utapata ahueni.
 
Kaondoe chuki kwa ex wako, mambo ya kutupangia ya kufanya watanzania tulioibiwa yatakufikisha ahera kabla ya muda wako kufika
Chadema iliuwawa na Mbowe na Tundu 2015

Chadema ilizikwaga na Lowasa

Haya yaliyofanywa na Tundu juzi ndio matanga yake.

Pole kwa wafuasi wa chadema, sasa tuondoe chuki, tuweke maslahi ya taifa mbele na kuungana kujenga nchi yetu
 
Mengine siwezi kusema hapa, ila nimeshuhudia mengi uchaguzi huu na roho inaniuma sana kwa yote yanayotendeka na chama changu pendwa cha CCM.
Chukua aspirin unywele mkuu na flajili ili upate usingizi.
 
Kaondoe chuki kwa ex wako, mambo ya kutupangia ya kufanya watanzania tulioibiwa yatakufikisha ahera kabla ya muda wako kufika
Sinaga chuki mimi mwenzio na hiyo unayoiita ex ikishakua ex hainaga nafasi tena popote, nakushauri na wewe usiwe na chuki na mimi sababu kwa jazba ulilo nalo unaweza kutangulia huko ahera kabla ya muda wako kufika. Pole weee
 
Sasa kama huna mpango wa kurudi kwa ex wako unawashwa nn hadi utoe wazo kwa watanzania waache kukosoa uongozi mbovu kisa waneshinda uchaguzi ilhali hata shetani mwenyewe anajua hawajashinda huo uchaguzi?
Sina chuki na wewe ila ukijifanya kuwa msemaji wa watanzania ambao hawakubaliani na dhurma hatuwezi kamwe kukubali ujinga, mm sikuungi mkono na wazo lako la kipepo
Sinaga chuki mimi mwenzio na hiyo unayoiita ex ikishakua ex hainaga nafasi tena popote, nakushauri na wewe usiwe na chuki na mimi sababu kwa jazba ulilo nalo unaweza kutangulia huko ahera kabla ya muda wako kufika. Pole weee
 
Sasa kama huna mpango wa kurudi kwa ex wako unawashwa nn hadi utoe wazo kwa watanzania waache kukosoa uongozi mbovu kisa waneshinda uchaguzi ilhali hata shetani mwenyewe anajua hawajashinda huo uchaguzi?
Sina chuki na wewe ila ukijifanya kuwa msemaji wa watanzania ambao hawakubaliani na dhurma hatuwezi kamwe kukubali ujinga, mm sikuungi mkono na wazo lako la kipepo

Acha jazba basi

Sio amri wewe kuamini ninachokiamini mimi, wala sio amri Mimi kuamini unachokiamini wewe

Ukisoma kisipokupendeza pita kimyakimya.... btw sikua nimekuquote wewe na sijui kwanini uliniquote
 
Kufumbia macho dhuluma iliyofanywa kwa vyama vya upinzani haitowasaidia chochote, pia mkumbuke kwamba kutowachagua hao wabunge wa upinzani hamtaweza kamwe kuufuta upinzani nchini, kama ambavyo mmejionea baada ya miaka 5 ya kupiga marufuku mikutano haikuweza kuuwa upinzani.

Ukiacha wabunge lowasa aliowaletea, link upinzani tena ulikua na nguvu? Nyie mnahesabu kura za ukawa kama ndo za chadema, kura za lowasa ndo unahesabia chadema? Upinzani ni always below 20% ya watanzania wote
 
Nikulipe mshahara! Nikujazie mafuta ya gari! Halafu umtangaze mpinzani! Hii ndiyo siri ya mafanikio. Huku Neccm na policcm wakitimiza wajibu wao ipasavyo!

Vyombo vya habari na NGO's kupigwa mkwara mzito iwapo watawapa nafasi wapinzani kufanya siasa, nk.
Mkuu,kuna kitu kimoja ambacho misukule mingi haiwezi kukupa jibu.
Kwa nini CCM ( hapa namaanisha wale top ambao wananufaika na huu mfumo wa CCM ya Magufuli,tukiachana na hawa misukule walioajiriwa kwa ujira wa buku 7) walijinasibu hapo awali kabisa kuwa CCM na JPM watapata ushindi wa kishindo!?
Kiashiria gani kiliwapa matumaini hayo!?
Ukiwa na akili timamu na kuongozwa na hofu ya Mungu,katu huwezi kusema kuwa wananchi hawana imani na upinzani.
CCM wenye utimamu wa akili,mwili na roho wanakiri ushindi huu wa CCM Zanzibar na Tanzania,hauakisi ukweli wa mapenzi ya Watanzania kwa CCM na wagombea wao kwa ngazi zote,bara na visiwani.
 
Si
Kwanini upinzani umeanguka vibaya:

1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote.

2) Hakuna Mtanzania anayeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

3) Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimari za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchini, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea.

4) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo. Being there done that no turning back.

5) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kuchagua chama kinachotaka kuzidi kufukarisha maskini kwa kurasimisha madalali kama kangomba, chama cha ACT kiliifanya hii kuwa sera yao kuu kwenye uchaguzi huu, na wananchi wameweza kuwajibu vizuri.

6) Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona.

7) Hakuna Mtanzania anayeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

8) Wananchi wanapenda vitu vinavyowatatiza viongelewe na vipewe suluhu, sasa wapinzani wanapoongelea kuwapa wananchi uhuru, sera ngumu sana kueleweka kwasababu watu wako huru unawezaje kuwaahidi uhuru, uhuru upi wa kutukana matusi ama upi, kwahiyo hapa upinzani hawakuwa na agenda ya msingi na walipoteza muda mwingi kulihubiri hili kumbe ni tatizo lililopo vichwani mwao tu na wananchi wameshindwa kuwaelewa.

9) Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu.

10) Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwa sababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Wenu katika ujenzi wa nchi.

Mwanakijiji Mpenda Nchi.
Sio sababu hizo rudi ukafanye utafiti usikurupuke na mipasho
 
Poleni sana Chadema jipangeni kwa 2025...ila njaa haina baunsa msishangae kuona kundi kubwa likitimkia CCM najua mtabiasha ila it's matter of time.

Hongera CCM.

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom