Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
oooh, ukilipata niwekee hHahahaaa, kwa uelewa wako.
Kama sijasahau, tume ilikataa tena ilitoa tangazo wiki moja kabla kuwa, haitawezekana mtu kupiga kura(hata ya uRais) sehemu ambayo hakujiandikishia.