wewe muongo sana , wananchi wamewakataa kwenye boksi la kurakama hawana sera mbovu kwanini imebidi mtumie mabeki ya kura feki ili kushinda??
wewe muongo sana , wananchi wamewakataa kwenye boksi la kurakama hawana sera mbovu kwanini imebidi mtumie mabeki ya kura feki ili kushinda??
Tunarudi kwenye chama kimoja kwa miaka 20 ijayoWameshindwa kujipanga wakiwa na pesa ya ruzuku, sembuse wakiwa kapuku!
Baada ya miaka 20 labda !
Hovyo sana weweTatzo lao walikuwa na fikra kwamba Watanzania bado wajinga vilevile Kila kitu kupinga kisa wao wapinzani, washaonyeshwa makali sasa & hope 2025 watajipanga kwa sera nzuri.
Utakuaje na manzi au mke wakati wanaume mlikua na mikakati ya kuhalalisha kuolewa na wanaume wenzenu. Hizi post zako hapa tuu zinawakilisha akili mlivyo, hamna hoja za kujenga ila matusi tuu na jazba
CHADEMA yenye dira ilijifiaga Dr Slaa alipowaacha na ACT imeondoka na jembe mama mghwira
mama D nakukubali Sana unajua Sana kujenga hoja kuliko hata wanaume wengi ambao wapo humu ingawa me sio mpenzi wa CCM Wala CHADEMA kiufupi me si mpenzi wa vyama Lakini napenda mtu ambaye anajua kujenga hoja na kutetea hoja bila matusi au miemuko bila kujali yupo upande gani wa siasa au Hana Itikadi ya vyama
Uchaguzi huu umedhulumiwa.Hilo liko wazi kwa kila mtu ikiwa ni pamoja na wewe.Baada ya CCM kulawiti uchaguzi huu jiandae kwa wananchi wote kuanza kulawitiwa ikiwa ni pamoja na wana CCM wote.Kwenye hilo hakutakuwa na ubaguzi.Shetani(dikteta) huwa hana rafiki.Kuzimwa kwa internet/mitandao ya kijamii ni manyunyu tu,the worst is yet to come!Usifikiri kuwa upo salama kwa sababu upo CCM.
Stephano Mgendanyi haupo salama wewe wala familia yako wala ndugu zako wala marafiki zako.Njia pekee ya wewe kuwa salama ni kusimamia haki,kupinga dhuluma hii na kuwa upande wa wale wote wanaopinga ulawiti huu wa demokrasia Tanzania uliofanywa na CCM.
Sababu ni wizi wa kura. Umeandaliwa na kutekelezwa hivi.Kwanini upinzani umeanguka vibaya:
1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote.
2) Hakuna Mtanzania anayeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.
3) Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimari za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchini, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea.
4) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo. Being there done that no turning back.
5) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kuchagua chama kinachotaka kuzidi kufukarisha maskini kwa kurasimisha madalali kama kangomba, chama cha ACT kiliifanya hii kuwa sera yao kuu kwenye uchaguzi huu, na wananchi wameweza kuwajibu vizuri.
6) Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona.
7) Hakuna Mtanzania anayeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.
8) Wananchi wanapenda vitu vinavyowatatiza viongelewe na vipewe suluhu, sasa wapinzani wanapoongelea kuwapa wananchi uhuru, sera ngumu sana kueleweka kwasababu watu wako huru unawezaje kuwaahidi uhuru, uhuru upi wa kutukana matusi ama upi, kwahiyo hapa upinzani hawakuwa na agenda ya msingi na walipoteza muda mwingi kulihubiri hili kumbe ni tatizo lililopo vichwani mwao tu na wananchi wameshindwa kuwaelewa.
9) Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu.
10) Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwa sababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.
Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mpenda Nchi.
kupika data hakujawai kumuacha mtu salama, tena na kama hesabu ni tatizo kwako ndio kabisa unaumbuka
Kwamba watz wote wanachukia upinzani?? si ndo manake?? hivi ukilinganisha majimbo yaliyoongozwa naupiznani ya yale dominant ya ccm kimaendeleo vinalingana??Tatzo lao walikuwa na fikra kwamba Watanzania bado wajinga vilevile Kila kitu kupinga kisa wao wapinzani, washaonyeshwa makali sasa & hope 2025 watajipanga kwa sera nzuri.
Hoja yako na za wengine wengi zinaweza kuwa ya msingi katika mtazamo wa upinzani nchini kama wananchi walio wengi watasimama nazo, lakini kama viongozi wa upinzani ndio wanasimama kuwasemea wananchi kwamba hawapati haki zao ilihali hao wananchi wanaona hakuna haki waliyoikosa nawashauri mfanye maamuzi mengine
Maslahi yao binafsi wanalazimisha yawe maslahi ya kila Mtanzania!
Hili ndio jambo muhimu kujadili sasa hivi ili kujipanga upya.Kwanini upinzani umeanguka vibaya:
1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote.
2) Hakuna Mtanzania anayeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.
3) Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimari za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchini, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea.
4) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo. Being there done that no turning back.
5) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kuchagua chama kinachotaka kuzidi kufukarisha maskini kwa kurasimisha madalali kama kangomba, chama cha ACT kiliifanya hii kuwa sera yao kuu kwenye uchaguzi huu, na wananchi wameweza kuwajibu vizuri.
6) Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona.
7) Hakuna Mtanzania anayeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.
8) Wananchi wanapenda vitu vinavyowatatiza viongelewe na vipewe suluhu, sasa wapinzani wanapoongelea kuwapa wananchi uhuru, sera ngumu sana kueleweka kwasababu watu wako huru unawezaje kuwaahidi uhuru, uhuru upi wa kutukana matusi ama upi, kwahiyo hapa upinzani hawakuwa na agenda ya msingi na walipoteza muda mwingi kulihubiri hili kumbe ni tatizo lililopo vichwani mwao tu na wananchi wameshindwa kuwaelewa.
9) Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu.
10) Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwa sababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.
Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mpenda Nchi.
kama mlijua wananchi wamewakataa kwenye masanduku ya kura kulikua na haja gani mkaanza kutengeneza haya makura feki???wewe muongo sana , wananchi wamewakataa kwenye boksi la kura
Umeandika upumbavu mtupu..wizi wote na manyanyaso kwa mawakala na utumiaji wa vyombo vya ulinzi katika mchakato wote af unauliza kwanini upinzani umeanguka vibaya..?unahitaji maombi kuweza kuona kilichosababisha..Kwanini upinzani umeanguka vibaya:
1) Hakuna Mtanzania yeyote anayeweza kuchagua mbunge ambaye anashauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote.
2) Hakuna Mtanzania anayeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.
3) Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimari za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchini, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea.
4) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo. Being there done that no turning back.
5) Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kuchagua chama kinachotaka kuzidi kufukarisha maskini kwa kurasimisha madalali kama kangomba, chama cha ACT kiliifanya hii kuwa sera yao kuu kwenye uchaguzi huu, na wananchi wameweza kuwajibu vizuri.
6) Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona.
7) Hakuna Mtanzania anayeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.
8) Wananchi wanapenda vitu vinavyowatatiza viongelewe na vipewe suluhu, sasa wapinzani wanapoongelea kuwapa wananchi uhuru, sera ngumu sana kueleweka kwasababu watu wako huru unawezaje kuwaahidi uhuru, uhuru upi wa kutukana matusi ama upi, kwahiyo hapa upinzani hawakuwa na agenda ya msingi na walipoteza muda mwingi kulihubiri hili kumbe ni tatizo lililopo vichwani mwao tu na wananchi wameshindwa kuwaelewa.
9) Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu.
10) Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwa sababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.
Wenu katika ujenzi wa nchi.
Mwanakijiji Mpenda Nchi.
IHili ndio jambo muhimu kujadili sasa hivi ili kujipanga upya.
Kushindwa vibaya kwa upinzani hususani chama kikuu chadema, binafsi nayaweka ktk sababu mbili. Makosa ya kitaasisi (Chama) na makosa yanayofanywa na mgombe.
MAKOSA YA KITAASISI
1. Chama kimeingia kwenye kinyang'anyio kikiwa hakijajiandaa. Kutojiandaa kumetokana na kupoteza muda mwingi kudhibiti migogoro ya ndani, hasa kuhusu ubadhirifu wa fedha. Kosa hili lilisababisha Mwenyekiti kutumia nguvu sana kudhibiti hata kukiuka mambo mengi ya kikatiba. Utaliona hili hata ktk uchaguzi wa ndani ya chama alipolazimisha nani awe kiongozi na na nani atoswe. Hata makamu wa mwenyekiti alIpatikana kwa tamko tu la mwenyekiti kuwa ameamua awe nani na akampelekea fomu huko alikokuwa.
2. Kosa kubwa jingine ni lile lililofanywa 2019 kususia Uchaguzi wa serikali za Mitaa na CCM Kuchukua mitaa yote. Chadema walikosa viongozi ktk base ya chini kabisa kama fulsa ya kufanya siasa za ushawishi.
3. Ususiaji wa vikao vya Bunge hasa wakati wa janga la Korona kulitoa taswira hasi kwa wapiga kura. Uchafuzi kwa mataifa na Shinikizo ulioshindwa, uliofanywa ndani na nje ya nchi na chama hiki kwa kuongozwa na kushikiwa kidedea na Lissu, lilifanya mtu huyu aonekane kama msaliti wa Taifa. Lissu alitiliwa mashaka na wapiga kura tangu alipoanza kuzunguka duniani akitoa kashfa kwa Taifa lake, inashangaza kwa nini chama kiliamua kumuingiza kwa nguvu katika mchakato wa kinyang'anyio cha ngazi ya juu ya uongozi wa nchi.
4. Kupinga maendeleo waliyoyaita ya vitu hali kuwa wananchi wamekomboka kwa vitu hivyo hivyo ni kosa jingine kubwa. Mbaya zaidi kutaka kuaminisha watu wa maeneo fulani hawasahili kupatiwa maendeleo hayo yanayofanywa nchi nzima kwa kigezo cha atokako Rais imekuwa kichekesho sana hasa pale kwa watu wa eneo hilohilo unalodhani halisitahili kupata vitu hivyo, ati unaenda kuomba kura
MAKOSA YA MGOMBEA:
1. Kosa la kwanza la mgombea ni kutumia madhira ya kujeruhiwa kwa risasi 16 iwe ni kigezo cha kuchaguliwa. Kwa tukio hilo, alianza kampeni kwa kuamiisha kukosekana kwa Demokrasia haki na utawala wa sheria. Cha ajabu akililia hayo mwenyewe na mwenyekiti wake wakionekana mubashara wakiwafukuza waandishi wa habari na walinzi ktk mikutano yao, wakisahau kuwa nao pia ni wapiga kura. Wakipinga mambo ambayo yapo kisheria. Na muda mwingi akizungumzia Hayo bila kueleza atawafanya nini akishika madaraka.
2. Mgombea alijikita katika vitisho akidhani anaitishia serikali CCM na Tume ya uchaguzi. Asijue asijue wapiga kura sio wana CCM tu. vitisho hivyo vinamadhara mpaka wa wapiga kura watakaompigia kura yeye ktk kujitokeza kupiga kura. Alitaka kudanganya wapiga kura kuwa kwa kumtumia wakili wake toka ughaibuni serikali serikali imeingia woga wa kumuacha afanye atakavyo. Kumbe huyu amemharibia kwa kumjengea taswira ya kuwa na mamluki katika mapambano hayo kwa uhuru aliompatia kupambana na serikali kwa niaba yake.
3. Kosa la kiufundi la dakika ya 96 ni kumeza ndoana iliyorushwa na Mgombea wa CCM. Pale alipowaomba vijana wasijiingize kwenye vurugu zinazonadiwa na mgombe huyu sababu yeye ana tiketi ya kuondoka nchi akiwaacha wanashughulikiwa. Bila, kujua madhara yake akajitokeza na kukiri kuwa ni kweli ana tiketi hiyo na ataondoka baada ya uchaguzi. Hiyo pekee imepunguza kura na waliomshabikia kuona hakuna haja ya kusikiliza ushawishi wake wa kufanya vurugu. Hata maagizo ya kutokubaliana na matokeo yamekosa nguvu.
4. Kosa jingine. Alijikita kuaminisha kuonewa kwa Wafanyakazi, wafanya biashara na Wakulima. Kwa hili natawalaumu viongozi wa chama chake iwapo si kiburi cha mgombea wao. Hawaku mfahamisha, kwa miaka mitatu aliyokuwa ughaibuni Rais alishakutana wa makundi hayo na wakamueleza shida zao, wakulima wakafutiwa kodi zenye kero, road brock zikabaki kwa wakulima/wafanyabiashara wakubwa wa mazao. Wafanyabiashara wakaeleza na kutatuliwa matatizo yao na TRA. Wamachinga wakatatuliwa matatizo yao. Wachimbaji madini wakubwa kwa wadogo n.k. Tena kwa kero nyingine kutatuliwa papo kwa papo ktk mikutano yake na makundi hayo. Matokeo ndiyo hayo, makundi yote hayo yamemupuuza na kumchagua mgombea ayedhani anamfitini nao.
I appreciate your thought,Hili ndio jambo muhimu kujadili sasa hivi ili kujipanga upya.
Kushindwa vibaya kwa upinzani hususani chama kikuu chadema, binafsi nayaweka ktk sababu mbili. Makosa ya kitaasisi (Chama) na makosa yanayofanywa na mgombe.
MAKOSA YA KITAASISI
1. Chama kimeingia kwenye kinyang'anyio kikiwa hakijajiandaa. Kutojiandaa kumetokana na kupoteza muda mwingi kudhibiti migogoro ya ndani, hasa kuhusu ubadhirifu wa fedha. Kosa hili lilisababisha Mwenyekiti kutumia nguvu sana kudhibiti hata kukiuka mambo mengi ya kikatiba. Utaliona hili hata ktk uchaguzi wa ndani ya chama alipolazimisha nani awe kiongozi na na nani atoswe. Hata makamu wa mwenyekiti alIpatikana kwa tamko tu la mwenyekiti kuwa ameamua awe nani na akampelekea fomu huko alikokuwa.
2. Kosa kubwa jingine ni lile lililofanywa 2019 kususia Uchaguzi wa serikali za Mitaa na CCM Kuchukua mitaa yote. Chadema walikosa viongozi ktk base ya chini kabisa kama fulsa ya kufanya siasa za ushawishi.
3. Ususiaji wa vikao vya Bunge hasa wakati wa janga la Korona kulitoa taswira hasi kwa wapiga kura. Uchafuzi kwa mataifa na Shinikizo ulioshindwa, uliofanywa ndani na nje ya nchi na chama hiki kwa kuongozwa na kushikiwa kidedea na Lissu, lilifanya mtu huyu aonekane kama msaliti wa Taifa. Lissu alitiliwa mashaka na wapiga kura tangu alipoanza kuzunguka duniani akitoa kashfa kwa Taifa lake, inashangaza kwa nini chama kiliamua kumuingiza kwa nguvu katika mchakato wa kinyang'anyio cha ngazi ya juu ya uongozi wa nchi.
4. Kupinga maendeleo waliyoyaita ya vitu hali kuwa wananchi wamekomboka kwa vitu hivyo hivyo ni kosa jingine kubwa. Mbaya zaidi kutaka kuaminisha watu wa maeneo fulani hawasahili kupatiwa maendeleo hayo yanayofanywa nchi nzima kwa kigezo cha atokako Rais imekuwa kichekesho sana hasa pale kwa watu wa eneo hilohilo unalodhani halisitahili kupata vitu hivyo, ati unaenda kuomba kura
MAKOSA YA MGOMBEA:
1. Kosa la kwanza la mgombea ni kutumia madhira ya kujeruhiwa kwa risasi 16 iwe ni kigezo cha kuchaguliwa. Kwa tukio hilo, alianza kampeni kwa kuamiisha kukosekana kwa Demokrasia haki na utawala wa sheria. Cha ajabu akililia hayo mwenyewe na mwenyekiti wake wakionekana mubashara wakiwafukuza waandishi wa habari na walinzi ktk mikutano yao, wakisahau kuwa nao pia ni wapiga kura. Wakipinga mambo ambayo yapo kisheria. Na muda mwingi akizungumzia Hayo bila kueleza atawafanya nini akishika madaraka.
2. Mgombea alijikita katika vitisho akidhani anaitishia serikali CCM na Tume ya uchaguzi. Asijue asijue wapiga kura sio wana CCM tu. vitisho hivyo vinamadhara mpaka wa wapiga kura watakaompigia kura yeye ktk kujitokeza kupiga kura. Alitaka kudanganya wapiga kura kuwa kwa kumtumia wakili wake toka ughaibuni serikali serikali imeingia woga wa kumuacha afanye atakavyo. Kumbe huyu amemharibia kwa kumjengea taswira ya kuwa na mamluki katika mapambano hayo kwa uhuru aliompatia kupambana na serikali kwa niaba yake.
3. Kosa la kiufundi la dakika ya 96 ni kumeza ndoana iliyorushwa na Mgombea wa CCM. Pale alipowaomba vijana wasijiingize kwenye vurugu zinazonadiwa na mgombe huyu sababu yeye ana tiketi ya kuondoka nchi akiwaacha wanashughulikiwa. Bila, kujua madhara yake akajitokeza na kukiri kuwa ni kweli ana tiketi hiyo na ataondoka baada ya uchaguzi. Hiyo pekee imepunguza kura na waliomshabikia kuona hakuna haja ya kusikiliza ushawishi wake wa kufanya vurugu. Hata maagizo ya kutokubaliana na matokeo yamekosa nguvu.
4. Kosa jingine. Alijikita kuaminisha kuonewa kwa Wafanyakazi, wafanya biashara na Wakulima. Kwa hili natawalaumu viongozi wa chama chake iwapo si kiburi cha mgombea wao. Hawaku mfahamisha, kwa miaka mitatu aliyokuwa ughaibuni Rais alishakutana wa makundi hayo na wakamueleza shida zao, wakulima wakafutiwa kodi zenye kero, road brock zikabaki kwa wakulima/wafanyabiashara wakubwa wa mazao. Wafanyabiashara wakaeleza na kutatuliwa matatizo yao na TRA. Wamachinga wakatatuliwa matatizo yao. Wachimbaji madini wakubwa kwa wadogo n.k. Tena kwa kero nyingine kutatuliwa papo kwa papo ktk mikutano yake na makundi hayo. Matokeo ndiyo hayo, makundi yote hayo yamemupuuza na kumchagua mgombea ayedhani anamfitini nao.