Mzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema:

"Mimi naamini chama kipo kwenye mazingira mazuri, lakini watu wanasema Politics is local, kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa na uchaguzi wa Mkuu mwakani sina hofu na CCM, itaendelea kushinda na Rais atapata mandate yake sasa Rasmi. Coz Mandate hii anayo ndiyo maana ya Mgombea mwenza.

Maana watu wanasema Samia hakuchaguliwa, hapana tulichagua watu wawili Rais na Makamu wa Rais. 2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye. Mimi sina hofu ya CCM kushindwa na vyama vya upinzani. Unless kutokee mambo ya ajabu maana hakuna dalili zilizo wazi."
 
I hope Kikwete nae alitoa mchango wake kwenye zile milioni 120 alizochangiwa Samia za kuchukua form, uwepo wa Samia ikulu unamsuuza sana nafsi, ni kama vile anaogopa asije Rais mwingine akamuweka tena roho juu.

• Ni vitu gani vinavyomkosesha amani endapo 2025 atakuja Rais mwingine tofauti?

• Anaficha nini kupitia uwepo wa Samia madarakani?

• Kwanini anaonekana kuwa huru sana kutokana na uwepo wa Samia ikulu?

Ni kama vile anaongoza nchi kutokea Msoga, ndio maana hataki Samia aondoke ikulu.
 
I hope Kikwete nae alitoa mchango wake kwenye zile milioni 120 alizochangiwa Samia za kuchukua form, uwepo wa Samia ikulu unamsuuza sana nafsi, ni kama vile anaogopa asije Rais mwingine akamuweka tena roho juu.

• Ni vitu gani vinavyomkosesha amani endapo 2025 atakuja Rais mwingine tofauti?

• Anaficha nini kupitia uwepo wa Samia madarakani?

• Kwanini anaonekana kuwa huru sana kutokana na uwepo wa Samia ikulu?

Ni kama vile anaongoza nchi kutokea Msoga, ndio maana hataki Samia aondoke ikulu.
Mkuu huu ni mtazamo wako na uheshimiwe! JK naye ana mtazamo wake, naye wa kwake uheshimiwe! Chuki ya nini, wakati mtazamo wako weye umeheshimiwa???
 
Mkuu huu ni mtazamo wako na uheshimiwe! JK naye ana mtazamo wake, naye wa kwake uheshimiwe! Chuki ya nini, wakati mtazamo wako weye umeheshimiwa???
Kutoa maoni yangu hakuhusiani na chuki, wewe hiyo chuki yangu kwa JK umeiona wapi kwenye maandiko yangu?

Mahaba yako yaliyopitiliza kwake yasikufanye umuone mwenye mawazo tofauti nae/nawe ni chuki, fungua akili.

Naamini JK anaufurahia uwepo wa Samia madarakani kwasababu anaweza hata kujigeuza bodyguard wake aende nae nje kutalii kwa gharama ya kodi zetu, wewe kwa mahaba yako huwezi kuona hili, stay as you are.
 
I hope Kikwete nae alitoa mchango wake kwenye zile milioni 120 alizochangiwa Samia za kuchukua form, uwepo wa Samia ikulu unamsuuza sana nafsi, ni kama vile anaogopa asije Rais mwingine akamuweka tena roho juu.

• Ni vitu gani vinavyomkosesha amani endapo 2025 atakuja Rais mwingine tofauti?

• Anaficha nini kupitia uwepo wa Samia madarakani?

• Kwanini anaonekana kuwa huru sana kutokana na uwepo wa Samia ikulu?

Ni kama vile anaongoza nchi kutokea Msoga, ndio maana hataki Samia aondoke ikulu.
Mbona unafanya assumptions zako na kumpakazia Kikwete mzee? Ni wapi aliposema alikuwa hana amani hadi Samia alipoingia madarakani?
 
Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema:

"Mimi naamini chama kipo kwenye mazingira mazuri, lakini watu wanasema Politics is local, kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa na uchaguzi wa Mkuu mwakani sina hofu na CCM, itaendelea kushinda na Rais atapata mandate yake sasa Rasmi. Coz Mandate hii anayo ndiyo maana ya Mgombea mwenza.

Maana watu wanasema Samia hakuchaguliwa, hapana tulichagua watu wawili Rais na Makamu wa Rais. 2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye. Mimi sina hofu ya CCM kushindwa na vyama vya upinzani. Unless kutokee mambo ya ajabu maana hakuna dalili zilizo wazi."
Waandishi wangekuwa na akili kama wenzetu wangemuulizi ni katika uchaguzi upi CCM iliwahi kushinda bila wizi wa kura?
 
Back
Top Bottom