Naipongeza serikali kwa kuchukua hatua mbali mbali kuhakikisha hili gonjwa la COVIDS 19 halisambai, ikiwa ni pamoja na kuwataka wananchi kupunguza misongamano. Lakini hili la mwenge nadhani sasa ni wakati mwafaka kusimamisha mbio hizi kama ilivyofanya miaka miwili iliyopita. Serikali isionee aibu hili.
Mbio za mwenge hukusanya watu wengi, kwenye vyombo vya usafiri, mikesha na sherehe zinazoambatana nazo.
Chonde chonde.
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?

Kwa sababu nasikia Mwenge wa Uhuru una kibali cha mikusanyiko na ni kusanyiko la lazima na lenye umuhimu wake. Waitre ongeza moja baridiii

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Naipongeza serikali kwa kuchukua hatua mbali mbali kuhakikisha hili gonjwa la COVIDS 19 halisambai, ikiwa ni pamoja na kuwataka wananchi kupunguza misongamano. Lakini hili la mwenge nadhani sasa ni wakati mwafaka kusimamisha mbio hizi kama ilivyofanya miaka miwili iliyopita. Serikali isionee aibu hili.
Mbio za mwenge hukusanya watu wengi, kwenye vyombo vya usafiri, mikesha na sherehe zinazoambatana nazo.
Chonde chonde.
Tuwaonee huruma wenzetu wanaopoteza maisha, ni wengi sana, tunaowasikia ni wale tu wenye vyeo na waliokuwa na vyeo. Lumpens hawasikiki na hawahesabiwi. Mungu nae bwana hana upendeleo, hata vigogo unawakumba TU.
 
Gwajima ndo anatupotosha kabisaa, ana uhakika kuwa kwakuwa ulaya na marekani wamechanja chanjo ya covid-19 basi ana uhakika kuwa watageuka mazombi muda si mrefu, hivyo ajiandaa aende akazoe madola Yao kwenye mabenki na madege Yao makubwamakubwa ayapeleke usukumani mitaa ya Gamboshi. Hizi ni ndoto za mchana.
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?


Ndio upuuzi wenyewe, yaani tunatuma mixed messages ambazo kwa mtu anaetumia akili ya kawaida tu, hawezi kukubali. Huku tunaambiwa tuepuke misongamano, huku Simba na Yanga wanacheza, huku Mwenge, huku chanjo, ukiuliza ya nini wakati Corona sio tishio kwetu, hakuna majibu, huku unaambiwa usaini form ya kuchanjwa, basi ili mradi ni vururu vururu.
 
Ndio upuuzi wenyewe, yaani tunatuma mixed messages ambazo kwa mtu anaetumia akili ya kawaida tu, hawezi kukubali. Huku tunaambiwa tuepuke misongamano, huku Simba na Yanga wanacheza, huku Mwenge, huku chanjo, ukiuliza ya nini wakati Corona sio tishio kwetu, hakuna majibu, huku unaambiwa usaini form ya kuchanjwa, basi ili mradi ni vururu vururu.
Tunademka. Nanaamini tusichokiamini kama vile mtu anavyoaminishwa kuwa mume na Mke ni mwili mmoja.
 
Hatuko serious, tunawahadaa walimwengu na kupata sababu ya kuzuia mikutano ya kisiasa ....
 
Kwanza kwa heshoma na taadhima sina budi kumshukuru ALLAH(MWENYEZI MUNGU)KWA KUENDELEA KUTUPA AMANI NA UPENDO MIONGONI MWETU WATANZANIA.Kwa kifupi tu kama heading yangu nilivyoiandika ni kuhusu mikusanyiko ya watu n.k Serikali kupitia Wizara ya Afya chini ya Dr Gwajima ilituagiza na kutuhimiza sana kufuata masharti ya ugonjwa huu hatari wa covid19.Pamoja na kuchanja,kuvaa barakoa,kunawa na sabuni kwenye maji yanayotiririka PIA WALITUSHAURI KUEPUKANA NA MIKUSANYIKO YA LAZIMA MPAKA SEHEMU ZA IBADA.MPAKA HAPO WAPO SAHIHI KABISA.TUSIPOFUATA USHAURI WA WATAALAAM WA AFYA TAIFA LITAANGAMIA.NIRUDI KULE NINAPOTAKA KUTOA HOJA YANGU.KIFUPI KILA MTANZANIA ANAELEWA UMUHIMU WA MWENGE UHURU HILO HALINA UBISHI.LAKINI KUTOKANA NA HALI ILIVYO NA HASA MAAGIZO YA WAZIRI WA AFYA MAMA GWAJIMA KUHUSU MIKUSANYIKO,NAPENDA KUMWULIZA HIVI SASA WAKUU WA WILAYA WANATUHIMIZA WANANCHI KUKUSANYIKA KWA WINGI KUUPOKEA NA KUKESHA NA HUO MWENGE.SASA HAPO ILIBIDI MAMA WAZIRI WA AFYA ATOE MWONGOZO WA KUSHAURI KUTOKUSANYIKA KWA WATU.IKIWA ALITOA MAAGIZO MPAKA KWENYE MAENEO YA IBADA ATASHINDWA NINI KUTOA MAAGIZO YA KUZUIA MIKUSANYIKO YA MWENGE?IKIWA DUNIANI HAKUNA NCHI INAYOAKHIRISHA SHEREHE ZA NCHI KUPATA UHURU LAKINI SISI TULITHUBUTU ITAKUWA LA MWENGE?NIMESHAURI AACHIE NGAZI KWA SABABU SERIKALI YA AWAMU YA SITA SIYO AUTHOUROTANIAN.KILA WAZIRI INABIDI ATOE MAAGIZO KWA MANUFAA YA WANANCHI,ASINGOJEE MPAKA RAIS AMWAMBIE.SASA NASHAURI CHAMA NA SERIKALI KUSIMAMISHA MBIO ZA MWENGE ILI KUEPUSHA MADHARA YA MIKUSANYIKO YA COVID 19.HUU NI UDHAIFU WA WAZIRI MAMA GWAJIMA.FUATA TAALUMA YAKO ULINDE HESHIMA YAKO LAKINI BADALA YAKE UMEKAA KIMYA.NAKUSHAURI UJIUZULU.NAOMBA KUWASILISHA.
😂😂😂😂😂😂😂😂huu mwandikole babaaaaaaaaa
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?

Gwajima kipindi cha jiwe alikuwa anashinda na nyungu akipigia selfie huku akituhimiza kujifukiza.

Leo hii baada ya miezi 4 kuondoka mwendazake anajidai kuyakubali maneno yetu na ushauri wa kitaalam.
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?
Serikali ya Tanzania inatoa tahadhari kuhusu wimbi la tatu la coronavirus. Ila mitaani mamilioni ya watu na mbio za mwenge .nini kifanyike kuhusu mikusanyiko ya mbio za mwenge wa uhuru na janga la coronavirus.
Wakubwa wanajua hakuna cha corona wala baba yake na corona!! Anafanyiwa maigizo beberu ili atoe pochi ya msaada (japo siyo msaada ila ni mkopo)!! Mabeberu walitoa masharti mpaka mkiri kuna corona na muanze kutoa data ndio tuachie pochi!! Kwa mbongo hilo ni sharti dogo sana!! Kinachoendelea ni usanii!!! Hivi ingekuwa kuna corona kweli nani àngeenda kwenye mwengè?
 
Back
Top Bottom