kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,305
12,600
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?

 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?
Tanzania hakuna Corona
 
Kwani Tanzania kuna covid-19. Iko wapi? Mkuu? Usiamini vitu visivyoonekana kirahisi namna hivyo. Afrika hakuna corona, au nasema uongo ndugu zangu?
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?
Ukiona hivyo ujue hakuna cha corona wala nini! Mungu ni mwaminifu alituponya!
 
Serikali ya Tanzania inatoa tahadhari kuhusu wimbi la tatu la coronavirus. Ila mitaani mamilioni ya watu na mbio za mwenge .nini kifanyike kuhusu mikusanyiko ya mbio za mwenge wa uhuru na janga la coronavirus.
 
Chakwanza tuzike makaburi tupu kisha tutangaze vifo vyote kuwa vimesababishwa na corona hata mtu akigongwa na gari tuseme alipata shida ya upumuaji akadondokea barabarani...

Tupate mikopo tujenge nchi.
 
Wote tunafahamu Mwenge wa Uhuru ni moja ya tunu za Taifa letu. Kwa kuwepo kwa mbio za mwenge nchi nzima siyo tu ni utaratibu, lakini ni hamasa kwa jamii kujenga uzalendo.

Kwa vile tayari tuna janga la Covid-19 ni vyema tukazingatia namna pendekezwa hasa kuepuka mikusanyiko mikubwa. Ukiangalia namna mbio za mwenge wetu zilivyo na jinsi umati mkubwa wa watu unavyokusanyika kuulaki ni hatari tupu. Ni asilimia ndogo sana unawakuta wamevaa barakoa! Nimebahatika kuwa maeneo fulani Mkoani Mwanza na kushuhudia haya niliyoyaeleza.

Na omba viongozi husika walione hili kuwa ni janga. Kimsingi sipingi mbio za mwenge, ila tumchukue tahadhari. Kwani, ni lazima sana kila unapolala kulundika watu mikesha, na vivyo hivyo uzinduzi wa miradi yetu, siyo lazima wahudhurie watu wengi.
 
Serikali haipo makini kabisa na hii ni aibu kubwa wanasema kuna Covid 19 na kuna mdau kaniambia hali Bugando hosp sio njema kabisa, then ilipaswa mbio za Mwenge zisiwepo kabisa. Maonesho ya sabasaba ya nini katikati ya janga hili? Kukosa umakini kabisa.
 
Wazo zuri sana,

Kama iliwezekana kusitisha mwaka ule kwa sababu ile. Kwa nini isiwezekane kusitishwa mbio za mwenge mwaka huu kwa sababu hii kubwa ya Covid21?
 
Wazo zuri sana...

Kama iliwezekana kusitisha mwaka ule kwa sababu ile. Kwa nini isiwezekane kusitishwa mbio za mwenge mwaka huu kwa sababu hii kubwa ya Covid21?
JamiiForums waweke option ya ku comment kama anonymous. Ili watu wafunguke ukweli kwasababu licha ya kutumia I'd fake bado wanaogopa.

Ila this time mchungaji na wazee wa kanisa wameshapokea msaada wa ujenzi wa sehemu msikiti, na nyumba zao lakini sharti ya msaada waumini watolewe kafara ili kuongeza sehemu ya kufanyia mhadhara hawa watoa misaada.
 
Jamii forums waweke option ya ku comment kama anonymous. Ili watu wafunguke ukweli kwasababu licha ya kutumia I'd fake bado wanaogopa.

Ila this time mchungaji na wazee wa kanisa wameshapokea msaada wa ujenzi wa sehemu msikiti, na nyumba zao lakini sharti ya msaada waumini watolewe kafara ili kuongeza sehemu ya kufanyia mhadhara hawa watoa misaada.
Hhahahaa mkuu huu mwandiko umenikumbisha shule somo la lugha mada fasihi. Hahahah
 
Mkesha wa mwenge usitishwe kutokana na wimbi kubwa la COVID -19,

MH.Rais ametoa tahadhari na ametaja baadhi ya hospitali ambazo Zina wagonjwa wengi, hivyo mikusanyiko ya mkesha wa mwenge ipigwe marufuku.
 
Back
Top Bottom