#COVID19 Kwanini Serikali imekurupuka kwenye chanjo ya COVID-19?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,747
1. Rais wa awamu ya 5 Hayati JPM mpaka umauti unamkumba hakubadilisha msimamo wa serikali yake kuhusu chanjo ya UVIKO 19. Alisema wazi kila mahala alipoenda kwamba huu ugonjwa ni hofu inayoenezwa makusudikally kuwatisha watu na kuyumbisha mataifa duniani.

Alienda mbele zaidi kwa kusema Chanjo ya UVIKO imeandaliwa mahususi kututhuru waafrika na inawezekana kuna maradhi yamepandikizwa humo.

2. Tangu mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kamilike, serikali ya awamu ta 6 ikitumia maafisa walewale ambao walisimama kidete kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa tiba na kinga za asili dhidi ya COVID-19, ilianza kugeuza wimbo huo kwa kuanza kuigeukia sayansi ambayo waliipa kisogo kipindi cha awamu ya 5.

3. Kabla hata ya miezi 6 tangu kipenzi chetu JPM atutoke, serikali ya awamu ya 6 ilishapeleka maombi ya kupata mkopo wa UVIKO Relief Fund kutoka mashirika makubwa ya fedha duniani ambapo inaonesha walipewa masharti muhimu kabla haijapewa fedha hizo.

Pamoja na serikali nzima ngazi za juu kuamua kuvaa barakoa kila wanapokiwa kwenye public, lakini walianza kueneza hofu ya uwepo wa wagonjwa mahututi wa UVIKO. Lakini wananchi hawakuhamasika na hizo hoja kwani Awamu ya 5 ilishafanyakazi kubwa kuwatoa hofu wananchi dhidi ya hili gonjwa.

Kinachofurahisha zaidi ni kwamba Waziri wa Afya ambaye pia ni mtaaluma wa Udaktari aligeuka kuwa COMICAL ALI kwenye awamu ya Tano, leo ndiye anayeongoza jahazi la kuyabugia matapishi yake yote bila kusaza kuhusu stigma dhidi ya UVIKO.

4. Serikali imepokea msaada wa chanjo 1M za UVIKO 19. Amiri Jeshi Mkuu alichanjwa hadharani kuonesha imani na usalama wa CHANJO hiyo kwa watu wake. Viongozi mbalimbali walijitokeza kuchanja wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Serikali imetoa maelekezo wananchi waanze kupokea chanjo kwa utaratibu uliowekwa ambapo makundi maalumu yataanza na kupewa kipaumbele.

==========

Kwa namna matukio yalivyokwenda kwa kasi kubwa, ni wazi Serikali ilipaswa kutafakari na kufanya maandalizi ya hatua hizi zote zilizofanyika kabla usiku wa msiba kumalizika.

A. ELIMU
Serikali ilipaswa kuanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu CORONA na kutoa muda mzuri wa elimu hiyo kuenea na kueleweka kwa wananchi. Ikumbukwe kwamba kwenye Hotuba za Hayati JPM aliweka quotations za Uzalendo na mahaba kwa wananchi wa hali ya chini (target ya Serikali) na ikichukuliwa taaluma yake ya UFAMASIA ilimpa nafasi nzuri kueleweka na wananchi na kumuamini.

Elimu dhidi ya magonjwa ya mlipuko haitolewi kupitia matamko. Ni muhimu sana kushirikisha kada mbalimbali. Kwanza unawajengea uelewa kisha wanaenda kuwaelimisha wengine. Leo tunashuhudia tafsiri za jumbe mbalimbali kwa Kiswahili zikisambazwa kwa kasi kubwa kupitia mitandao ya kijamii na makundi ya WhatsApp dhidi ya agenda hasi zilizo nyuma ya huu ugonjwa wa UVIKO 19 na chanjo zake. Kuna taarifa mbali mbali zinazohusu athari za chanjo zenye ushahidi.

Elimu ya kuikataa chanjo ilifanyika tangu awamu ya 5. Leo tunawaona watu kama Gwajima wakisimama hadharani kuhamasisha wananchi kuikataa chanjo hiyo. Serikali imeshikwa na kigugumizi

B. WAZIRI na NAIBU WAKE
Serikali kuendelea kuwatumia Waziri na Naibu walewale waliotuaminisha kuwa huu ugonjwa ni kituko cha kimataifa, ni wazi wananchi wanaona kuwa kinachoendelea ni Pwagu na Pwaguzi.

Kisiasa, walipaswa kuondolewa hapo na kuketwa sura mpya.

Kisayansi walipaswa kutolewa kwenye nafasi zao kwani wakiwa kwenye awamu ya 5 waliisaliti sayansi kwa viwango vya juu vya heshima (Hons)

Kama CCM iliweza kuwaweka pembeni wasaidizi wakuu wa Hayati JPM ili iweze kumpa mwanzo mpya Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa, basi Ikulu inapaswa kupiga hesabu kwenye eneo la wizara ya Afya na maeneo mengine

C. DHAMANA kwa WANAOCHANJWA
Serikali kupitia Msemaji wake Mkuu, imeweka utaratibu kwamba kabla mtu hajachanjwa (kwa hiyari), analazimika kujaza na kusaini fomu inayoitoa lawamani serikali endapo chanjo italeta changamoto kwa mchanjwaji.

Hii fomu inapingana na ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ijayotoa haki ya kuishi na hifadhi ya jamii. Serikali ilipaswa kuwalinda wananchi wake kwa any possible attack iwe ya kivita au kibaolojia kwani inapojiweka pembeni kitowajibika na athari za chanjo ni kukwepa jukumu la Kikatiba. Serikali ilipaswa basi kuwawajibisha watengemezaji ww chanjo hiyo ili kuondoa dhana inayoenea kuwa imekuja kwa majaribio na kabla haijathibitishwa nje ya mipaka ya dharura.

All in All Serikali ingeandaa mikakati na mpangokazi wa kutoa elimu inayoenda kufuta taswira hasi (kama zipo) zinazoweza kuzuia mafanikio ya kufikia malengo ya utoaji chanjo.

JamiiForums kama kisima cha thinkers, tujadili hili suala kwa lengo la kuisaidia nchi kwani tayari chanjo imefika na conspiracy imekuwa kubwa sana against.

20210731_114955.jpg
 
Mkuu hiyo picha ya mwisho ukweli ni kwamba imenitoa uweponi mwa Bwana ..!!! Ushauri mzuri , fukuza wote wanaojifanya kushadadia chanjo wakat mwanzo waliiponda , badae watupe usalama wa chanjo hyo , fomu ya kujitoa endapo likitokea la kutokea ndo imeharibu zaidi , inaonekana hyo chanjo ni 50/50 na kifo ,ni kama upo kwenye matibabu yanayohusisha upasuaji
 
Ushauri, Kinga ni Bora kuliko tiba, ukipata fursa kachanje. Inaongeza uwezo wa Kinga za mwili kupambana na Covid19.
 
Mkuu hiyo picha ya mwisho ukweli ni kwamba imenitoa uweponi mwa Bwana ..!!! Ushauri mzuri , fukuza wote wanaojifanya kushadadia chanjo wakat mwanzo waliiponda , badae watupe usalama wa chanjo hyo , fomu ya kujitoa endapo likitokea la kutokea ndo imeharibu zaidi , inaonekana hyo chanjo ni 50/50 na kifo ,ni kama upo kwenye matibabu yanayohusisha upasuaji
Nakazia
20210801_090244.jpg
 
1.
Rais wa awamu ya 5 Hayati JPM mpaka umauti unamkumba hakubadilisha msimamo wa serikali yake kuhusu chanjo ya UVIKO 19. Alisema wazi kila mahala alipoenda kwamba huu ugonjwa ni hofu inayoenezwa makusudikally kuwatisha watu na kuyumbisha mataifa duniani.

Alienda mbele zaidi kwa kusema Chanjo ya UVIKO imeandaliwa mahususi kututhuru waafrika na inawezekana kuna maradhi yamepandikizwa humo.

2.
Tangu mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kamilike, serikali ya awamu ta 6 ikitumia maafisa walewale ambao walisimama kidete kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa tiba na kinga za asili dhidi ya COVID-19, ilianza kugeuza wimbo huo kwa kuanza kuigeukia sayansi ambayo waliipa kisogo kipindi cha awamu ya 5.

3.
Kabla hata ya miezi 6 tangu kipenzi chetu JPM atutoke, serikali ya awamu ya 6 ilishapeleka maombi ya kupata mkopo wa UVIKO Relief Fund kutoka mashirika makubwa ya fedha duniani ambapo inaonesha walipewa masharti muhimu kabla haijapewa fedha hizo.

Pamoja na serikali nzima ngazi za juu kuamua kuvaa barakoa kila wanapokiwa kwenye public, lakini walianza kueneza hofu ya uwepo wa wagonjwa mahututi wa UVIKO. Lakini wananchi hawakuhamasika na hizo hoja kwani Awamu ya 5 ilishafanyakazi kubwa kuwatoa hofu wananchi dhidi ya hili gonjwa.

Kinachofurahisha zaidi ni kwamba Waziri wa Afya ambaye pia ni mtaaluma wa Udaktari aligeuka kuwa COMICAL ALI kwenye awamu ya Tano, leo ndiye anayeongoza jahazi la kuyabugia matapishi yake yote bila kusaza kuhusu stigma dhidi ya UVIKO.

4.
Serikali imepokea msaada wa chanjo 1M za UVIKO 19. Amiri Jeshi Mkuu alichanjwa hadharani kuonesha imani na usalama wa CHANJO hiyo kwa watu wake. Viongozi mbalimbali walijitokeza kuchanja wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Serikali imetoa maelekezo wananchi waanze kupokea chanjo kwa utaratibu uliowekwa ambapo makundi maalumu yataanza na kupewa kipaumbele.
================================

Kwa namna matukio yalivyokwenda kwa kasi kubwa, ni wazi Serikali ilipaswa kutafakari na kufanya maandalizi ya hatua hizi zote zilizofanyika kabla usiku wa msiba kumalizika.

A. ELIMU
Serikali ilipaswa kuanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu CORONA na kutoa muda mzuri wa elimu hiyo kuenea na kueleweka kwa wananchi. Ikumbukwe kwamba kwenye Hotuba za Hayati JPM aliweka quotations za Uzalendo na mahaba kwa wananchi wa hali ya chini (target ya Serikali) na ikichukuliwa taaluma yake ya UFAMASIA ilimpa nafasi nzuri kueleweka na wananchi na kumuamini.

Elimu dhidi ya magonjwa ya mlipuko haitolewi kupitia matamko. Ni muhimu sana kushirikisha kada mbalimbali. Kwanza unawajengea uelewa kisha wanaenda kuwaelimisha wengine. Leo tunashuhudia tafsiri za jumbe mbalimbali kwa Kiswahili zikisambazwa kwa kasi kubwa kupitia mitandao ya kijamii na makundi ya WhatsApp dhidi ya agenda hasi zilizo nyuma ya huu ugonjwa wa UVIKO 19 na chanjo zake. Kuna taarifa mbali mbali zinazohusu athari za chanjo zenye ushahidi.

Elimu ya kuikataa chanjo ilifanyika tangu awamu ya 5. Leo tunawaona watu kama Gwajima wakisimama hadharani kuhamasisha wananchi kuikataa chanjo hiyo. Serikali imeshikwa na kigugumizi

B. WAZIRI na NAIBU WAKE
Serikali kuendelea kuwatumia Waziri na Naibu walewale waliotuaminisha kuwa huu ugonjwa ni kituko cha kimataifa, ni wazi wananchi wanaona kuwa kinachoendelea ni Pwagu na Pwaguzi.
Kisiasa, walipaswa kuondolewa hapo na kuketwa sura mpya.
Kisayansi walipaswa kutolewa kwenye nafasi zao kwani wakiwa kwenye awamu ya 5 waliisaliti sayansi kwa viwango vya juu vya heshima (Hons)
Kama CCM iliweza kuwaweka pembeni wasaidizi wakuu wa Hayati JPM ili iweze kumpa mwanzo mpya Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa, basi Ikulu inapaswa kupiga hesabu kwenye eneo la wizara ya Afya na maeneo mengine

C. DHAMANA kwa WANAOCHANJWA
Serikali kupitia Msemaji wake Mkuu, imeweka utaratibu kwamba kabla mtu hajachanjwa (kwa hiyari), analazimika kujaza na kusaini fomu inayoitoa lawamani serikali endapo chanjo italeta changamoto kwa mchanjwaji.

Hii fomu inapingana na ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ijayotoa haki ya kuishi na hifadhi ya jamii. Serikali ilipaswa kuwalinda wananchi wake kwa any possible attack iwe ya kivita au kibaolojia kwani inapojiweka pembeni kitowajibika na athari za chanjo ni kukwepa jukumu la Kikatiba. Serikali ilipaswa basi kuwawajibisha watengemezaji ww chanjo hiyo ili kuondoa dhana inayoenea kuwa imekuja kwa majaribio na kabla haijathibitishwa nje ya mipaka ya dharura.

All in All Serikali ingeandaa mikakati na mpangokazi wa kutoa elimu inayoenda kufuta taswira hasi (kama zipo) zinazoweza kuzuia mafanikio ya kufikia malengo ya utoaji chanjo.

JamiiForums kama kisima cha thinkers, tujadili hili suala kwa lengo la kuisaidia nchi kwani tayari chanjo imefika na conspiracy imekuwa kubwa sana against.

View attachment 1875891
Nimelielewa andiko hili na ushauri mzuri Kwa Serikali. . Ila LA kuongezea hapa kuhusu mawaziri wetu nadhani mhe. Rais hajafanya kosa lolote. .unajua kipindi kile kilikuwa kilikuwa kipindi kibaya cha mapambano. ..tulikuwa hatuna abc za huo ugonjwa...hatukuwa eidha na wataalam wenye knowledge yake zaidi ya kusubiri kusikia wazungu wanasema nini. ...we had to fight for survival na tulilazimika kutumia silaha zote tulizokuwa nazo. ..na nikwambie silaha tulizotumia ndizo bado zinatumika na wengi mpaka Sasa na zinasaidia sana...tulitumia silaha za jadi. ..na mawaziri Hawa kupitia kwa ushauri wa wataalam wa tiba asili walitoa ushirikiano ill kuwanasua wananchi na janga Hilo. ...tuwapongeze sana...hatuna ubishi kwamba silaha zile za jadi Zina boost sana immunity..na hivyo mdudu wa corona anadunda. .hatoboi. ..na ushauri uliopo mpaka Sasa ni kuendelea kutumia..msibweteke na kuvaa barakoa bila kuweka kinga jomba. ..kinga ni bora kuliko tiba..tiba haina uhakika utapona au hautapona. .ni probability...ingekuwa ni ushauri wangu kwa Serikali ningeshauri ingejikita sana kwenye ushawishi wa kutumia vyakula vyenye kuongeza kinga mwilini wakati huo tukiendelea kujikinga na barakoa. Na vitakasa. ..mpaka Sasa wazungu wanatamani hata rasilimali asili tulizonazo haya matangawizi malimao mavitunguu pilipili kichaa na mengimengi tu ili waweze kujitengenezea immunity...sisi tunadharau tunahimizwa tukimbilie barakoa.....haitoshi peke yakeee
 
1.
Rais wa awamu ya 5 Hayati JPM mpaka umauti unamkumba hakubadilisha msimamo wa serikali yake kuhusu chanjo ya UVIKO 19. Alisema wazi kila mahala alipoenda kwamba huu ugonjwa ni hofu inayoenezwa makusudikally kuwatisha watu na kuyumbisha mataifa duniani.

Alienda mbele zaidi kwa kusema Chanjo ya UVIKO imeandaliwa mahususi kututhuru waafrika na inawezekana kuna maradhi yamepandikizwa humo.

2.
Tangu mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kamilike, serikali ya awamu ta 6 ikitumia maafisa walewale ambao walisimama kidete kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa tiba na kinga za asili dhidi ya COVID-19, ilianza kugeuza wimbo huo kwa kuanza kuigeukia sayansi ambayo waliipa kisogo kipindi cha awamu ya 5.

3.
Kabla hata ya miezi 6 tangu kipenzi chetu JPM atutoke, serikali ya awamu ya 6 ilishapeleka maombi ya kupata mkopo wa UVIKO Relief Fund kutoka mashirika makubwa ya fedha duniani ambapo inaonesha walipewa masharti muhimu kabla haijapewa fedha hizo.

Pamoja na serikali nzima ngazi za juu kuamua kuvaa barakoa kila wanapokiwa kwenye public, lakini walianza kueneza hofu ya uwepo wa wagonjwa mahututi wa UVIKO. Lakini wananchi hawakuhamasika na hizo hoja kwani Awamu ya 5 ilishafanyakazi kubwa kuwatoa hofu wananchi dhidi ya hili gonjwa.

Kinachofurahisha zaidi ni kwamba Waziri wa Afya ambaye pia ni mtaaluma wa Udaktari aligeuka kuwa COMICAL ALI kwenye awamu ya Tano, leo ndiye anayeongoza jahazi la kuyabugia matapishi yake yote bila kusaza kuhusu stigma dhidi ya UVIKO.

4.
Serikali imepokea msaada wa chanjo 1M za UVIKO 19. Amiri Jeshi Mkuu alichanjwa hadharani kuonesha imani na usalama wa CHANJO hiyo kwa watu wake. Viongozi mbalimbali walijitokeza kuchanja wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Serikali imetoa maelekezo wananchi waanze kupokea chanjo kwa utaratibu uliowekwa ambapo makundi maalumu yataanza na kupewa kipaumbele.
================================

Kwa namna matukio yalivyokwenda kwa kasi kubwa, ni wazi Serikali ilipaswa kutafakari na kufanya maandalizi ya hatua hizi zote zilizofanyika kabla usiku wa msiba kumalizika.

A. ELIMU
Serikali ilipaswa kuanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu CORONA na kutoa muda mzuri wa elimu hiyo kuenea na kueleweka kwa wananchi. Ikumbukwe kwamba kwenye Hotuba za Hayati JPM aliweka quotations za Uzalendo na mahaba kwa wananchi wa hali ya chini (target ya Serikali) na ikichukuliwa taaluma yake ya UFAMASIA ilimpa nafasi nzuri kueleweka na wananchi na kumuamini.

Elimu dhidi ya magonjwa ya mlipuko haitolewi kupitia matamko. Ni muhimu sana kushirikisha kada mbalimbali. Kwanza unawajengea uelewa kisha wanaenda kuwaelimisha wengine. Leo tunashuhudia tafsiri za jumbe mbalimbali kwa Kiswahili zikisambazwa kwa kasi kubwa kupitia mitandao ya kijamii na makundi ya WhatsApp dhidi ya agenda hasi zilizo nyuma ya huu ugonjwa wa UVIKO 19 na chanjo zake. Kuna taarifa mbali mbali zinazohusu athari za chanjo zenye ushahidi.

Elimu ya kuikataa chanjo ilifanyika tangu awamu ya 5. Leo tunawaona watu kama Gwajima wakisimama hadharani kuhamasisha wananchi kuikataa chanjo hiyo. Serikali imeshikwa na kigugumizi

B. WAZIRI na NAIBU WAKE
Serikali kuendelea kuwatumia Waziri na Naibu walewale waliotuaminisha kuwa huu ugonjwa ni kituko cha kimataifa, ni wazi wananchi wanaona kuwa kinachoendelea ni Pwagu na Pwaguzi.
Kisiasa, walipaswa kuondolewa hapo na kuketwa sura mpya.
Kisayansi walipaswa kutolewa kwenye nafasi zao kwani wakiwa kwenye awamu ya 5 waliisaliti sayansi kwa viwango vya juu vya heshima (Hons)
Kama CCM iliweza kuwaweka pembeni wasaidizi wakuu wa Hayati JPM ili iweze kumpa mwanzo mpya Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa, basi Ikulu inapaswa kupiga hesabu kwenye eneo la wizara ya Afya na maeneo mengine

C. DHAMANA kwa WANAOCHANJWA
Serikali kupitia Msemaji wake Mkuu, imeweka utaratibu kwamba kabla mtu hajachanjwa (kwa hiyari), analazimika kujaza na kusaini fomu inayoitoa lawamani serikali endapo chanjo italeta changamoto kwa mchanjwaji.

Hii fomu inapingana na ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ijayotoa haki ya kuishi na hifadhi ya jamii. Serikali ilipaswa kuwalinda wananchi wake kwa any possible attack iwe ya kivita au kibaolojia kwani inapojiweka pembeni kitowajibika na athari za chanjo ni kukwepa jukumu la Kikatiba. Serikali ilipaswa basi kuwawajibisha watengemezaji ww chanjo hiyo ili kuondoa dhana inayoenea kuwa imekuja kwa majaribio na kabla haijathibitishwa nje ya mipaka ya dharura.

All in All Serikali ingeandaa mikakati na mpangokazi wa kutoa elimu inayoenda kufuta taswira hasi (kama zipo) zinazoweza kuzuia mafanikio ya kufikia malengo ya utoaji chanjo.

JamiiForums kama kisima cha thinkers, tujadili hili suala kwa lengo la kuisaidia nchi kwani tayari chanjo imefika na conspiracy imekuwa kubwa sana against.

View attachment 1875891
Hivi ww uko dunia ya ngapi ambaye hujui kinachoendelea? Huko duniani kote kuna malalamiko na wasiwasi juu ya madhara ya chanjo! Hata ukiweka kwenye mizania ya kisayansi faida vs madhara ni wazi madhara yame elemea faida kwa hali zote! Faida ya chanjo ni kukinga tena kwa 100%, basi ikipungua sana iwe 90+! Lakini ilivyo kwa sasa mtu anachanjwa na maambukizi yanampata na hata kifo bado kinaweza kumuondoa vilevile! Pfizer iliyokuwa inapigiwa upatu imefahamika kuwa inaweza kukinga si zaidi ya miezi6 tu...baada ya hapo mchanjwaji ni kama hajawahi chanjwa! Sasa kama zinakinga kimagumashi ya nini sasa? Watu wanatishwa watakufa kwa corona wasipopokea chanjo...wakati huohuo waliopokea chanjo wanakufa vilevile kwa corona...huu ni ujuha!
Kwa upande mwingine ukiacha kuganda kwa damu, na kuharibu kinga ya asili ya mwili, madhara ya muda mrefu bado kujurikana kwa sasa na hivyo kuleta sintofahamu nyingj kwa wanaochanjwa! Hii inatokana na kutofanyika utafiti wa awali wa muda mrefu wa kutosha hasa kwa wanyama!
Ukweli huu hauwezi kuchepushwa na kuuhadaa kwa mapambio ya elimu yoyote inayoweza tolewa kwa raia hasa kwa kipindi hiki cha information technology ambapo kila mtu ana'access' ya taarifa ni ngumu saana kumdanganya!
Ukiachia uwezekano mkubwa wa wanasayansi wasio waaminifu kuingiza message za hovyo kwenye mRNA zikiambatanishwa na chanjo hizo, haya ni baadhi ya hoja nzito na ngumu kuzipotezea!
 
Hivi ww uko dunia ya ngapi ambaye hujui kinachoendelea? Huko duniani kote kuna malalamiko na wasiwasi juu ya madhara ya chanjo! Hata ukiweka kwenye mizania ya kisayansi faida vs madhara ni wazi madhara yame elemea faida kwa hali zote! Faida ya chanjo ni kukinga tena kwa 100%, basi ikipungua sana iwe 90+! Lakini ilivyo kwa sasa mtu anachanjwa na maambukizi yanampata na hata kifo bado kinaweza kumuondoa vilevile! Pfizer iliyokuwa inapigiwa upatu imefahamika kuwa inaweza kukinga si zaidi ya miezi6 tu...baada ya hapo mchanjwaji ni kama hajawahi chanjwa! Sasa kama zinakinga kimagumashi ya nini sasa? Watu wanatishwa watakufa kwa corona wasipopokea chanjo...wakati huohuo waliopokea chanjo wanakufa vilevile kwa corona...huu ni ujuha!
Kwa upande mwingine ukuacha kuganda kwa damu, na kuharibu kinga ya asili ya mwili, madhara ya muda mrefu bado kujurikana kwa sasa na hivyo kuleta sintofahamu nyingj kwa wanaochanjwa! Hii inatokana na kutofanyika utafiti wa awali wa muda mrefu wa kutosha hasa kwa wanyama!
Ukweli huu hauwezi kuchepushwa na kuuhadaa kwa mapambio ya elimu yoyote inayoweza tolewa kwa raia hasa kwa kipindi hiki cha information technology ambapo kila mtu ana'access' ya taarifa ni ngumu saana kumdanganya!
Ukiachia uwezekano mkubwa wa wanasayansi wasio waaminifu kuingiza message za hovyo kwenye mRNA zikiambatanishwa na chanjo hizo, haya ni baadhi ya hoja nzito na ngumu kuzipotezea!
Umetoa ushauri mzuri sana.

Tatizo ninaloliona ni kwamba, sisi Waafrika tunaamini lazima kila kitu kitoke nje ndo kitusaidie
 
Mkuu hiyo picha ya mwisho ukweli ni kwamba imenitoa uweponi mwa Bwana ..!!! Ushauri mzuri , fukuza wote wanaojifanya kushadadia chanjo wakat mwanzo waliiponda , badae watupe usalama wa chanjo hyo , fomu ya kujitoa endapo likitokea la kutokea ndo imeharibu zaidi , inaonekana hyo chanjo ni 50/50 na kifo ,ni kama upo kwenye matibabu yanayohusisha upasuaji
Mtaje anayetakiwa kufukuzwa mkuu. Usipindishe.
Isitoshe haulazimishwi kuchanja.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
1. Rais wa awamu ya 5 Hayati JPM mpaka umauti unamkumba hakubadilisha msimamo wa serikali yake kuhusu chanjo ya UVIKO 19. Alisema wazi kila mahala alipoenda kwamba huu ugonjwa ni hofu inayoenezwa makusudikally kuwatisha watu na kuyumbisha mataifa duniani.

Alienda mbele zaidi kwa kusema Chanjo ya UVIKO imeandaliwa mahususi kututhuru waafrika na inawezekana kuna maradhi yamepandikizwa humo.

2. Tangu mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kamilike, serikali ya awamu ta 6 ikitumia maafisa walewale ambao walisimama kidete kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa tiba na kinga za asili dhidi ya COVID-19, ilianza kugeuza wimbo huo kwa kuanza kuigeukia sayansi ambayo waliipa kisogo kipindi cha awamu ya 5.

3. Kabla hata ya miezi 6 tangu kipenzi chetu JPM atutoke, serikali ya awamu ya 6 ilishapeleka maombi ya kupata mkopo wa UVIKO Relief Fund kutoka mashirika makubwa ya fedha duniani ambapo inaonesha walipewa masharti muhimu kabla haijapewa fedha hizo.

Pamoja na serikali nzima ngazi za juu kuamua kuvaa barakoa kila wanapokiwa kwenye public, lakini walianza kueneza hofu ya uwepo wa wagonjwa mahututi wa UVIKO. Lakini wananchi hawakuhamasika na hizo hoja kwani Awamu ya 5 ilishafanyakazi kubwa kuwatoa hofu wananchi dhidi ya hili gonjwa.

Kinachofurahisha zaidi ni kwamba Waziri wa Afya ambaye pia ni mtaaluma wa Udaktari aligeuka kuwa COMICAL ALI kwenye awamu ya Tano, leo ndiye anayeongoza jahazi la kuyabugia matapishi yake yote bila kusaza kuhusu stigma dhidi ya UVIKO.

4. Serikali imepokea msaada wa chanjo 1M za UVIKO 19. Amiri Jeshi Mkuu alichanjwa hadharani kuonesha imani na usalama wa CHANJO hiyo kwa watu wake. Viongozi mbalimbali walijitokeza kuchanja wakiwemo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Serikali imetoa maelekezo wananchi waanze kupokea chanjo kwa utaratibu uliowekwa ambapo makundi maalumu yataanza na kupewa kipaumbele.

==========

Kwa namna matukio yalivyokwenda kwa kasi kubwa, ni wazi Serikali ilipaswa kutafakari na kufanya maandalizi ya hatua hizi zote zilizofanyika kabla usiku wa msiba kumalizika.

A. ELIMU
Serikali ilipaswa kuanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu CORONA na kutoa muda mzuri wa elimu hiyo kuenea na kueleweka kwa wananchi. Ikumbukwe kwamba kwenye Hotuba za Hayati JPM aliweka quotations za Uzalendo na mahaba kwa wananchi wa hali ya chini (target ya Serikali) na ikichukuliwa taaluma yake ya UFAMASIA ilimpa nafasi nzuri kueleweka na wananchi na kumuamini.

Elimu dhidi ya magonjwa ya mlipuko haitolewi kupitia matamko. Ni muhimu sana kushirikisha kada mbalimbali. Kwanza unawajengea uelewa kisha wanaenda kuwaelimisha wengine. Leo tunashuhudia tafsiri za jumbe mbalimbali kwa Kiswahili zikisambazwa kwa kasi kubwa kupitia mitandao ya kijamii na makundi ya WhatsApp dhidi ya agenda hasi zilizo nyuma ya huu ugonjwa wa UVIKO 19 na chanjo zake. Kuna taarifa mbali mbali zinazohusu athari za chanjo zenye ushahidi.

Elimu ya kuikataa chanjo ilifanyika tangu awamu ya 5. Leo tunawaona watu kama Gwajima wakisimama hadharani kuhamasisha wananchi kuikataa chanjo hiyo. Serikali imeshikwa na kigugumizi

B. WAZIRI na NAIBU WAKE
Serikali kuendelea kuwatumia Waziri na Naibu walewale waliotuaminisha kuwa huu ugonjwa ni kituko cha kimataifa, ni wazi wananchi wanaona kuwa kinachoendelea ni Pwagu na Pwaguzi.

Kisiasa, walipaswa kuondolewa hapo na kuketwa sura mpya.

Kisayansi walipaswa kutolewa kwenye nafasi zao kwani wakiwa kwenye awamu ya 5 waliisaliti sayansi kwa viwango vya juu vya heshima (Hons)

Kama CCM iliweza kuwaweka pembeni wasaidizi wakuu wa Hayati JPM ili iweze kumpa mwanzo mpya Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa, basi Ikulu inapaswa kupiga hesabu kwenye eneo la wizara ya Afya na maeneo mengine

C. DHAMANA kwa WANAOCHANJWA
Serikali kupitia Msemaji wake Mkuu, imeweka utaratibu kwamba kabla mtu hajachanjwa (kwa hiyari), analazimika kujaza na kusaini fomu inayoitoa lawamani serikali endapo chanjo italeta changamoto kwa mchanjwaji.

Hii fomu inapingana na ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ijayotoa haki ya kuishi na hifadhi ya jamii. Serikali ilipaswa kuwalinda wananchi wake kwa any possible attack iwe ya kivita au kibaolojia kwani inapojiweka pembeni kitowajibika na athari za chanjo ni kukwepa jukumu la Kikatiba. Serikali ilipaswa basi kuwawajibisha watengemezaji ww chanjo hiyo ili kuondoa dhana inayoenea kuwa imekuja kwa majaribio na kabla haijathibitishwa nje ya mipaka ya dharura.

All in All Serikali ingeandaa mikakati na mpangokazi wa kutoa elimu inayoenda kufuta taswira hasi (kama zipo) zinazoweza kuzuia mafanikio ya kufikia malengo ya utoaji chanjo.

JamiiForums kama kisima cha thinkers, tujadili hili suala kwa lengo la kuisaidia nchi kwani tayari chanjo imefika na conspiracy imekuwa kubwa sana against.

View attachment 1875891
Jee Corona ipo au haipo Tanzania? Na kama ipo jee ulitaka nini kifanyike ili kuokoa maisha ya watu?
 
Jee Corona ipo au haipo Tanzania? Na kama ipo jee ulitaka nini kifanyike ili kuokoa maisha ya watu?
CORONA ipo na ilikuwepo. Lakini bahati nzuri mikakati ya kuitokomeza ikafanyika bila chanjo wala pesa za misaada na nchi haikiwekwa LOCKDOWN....

Kuilazimisha hiyari si jambo lenye wepesi mnaoutarajia
 
Back
Top Bottom