kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
- Thread starter
- #101
Kwanini wataliban waliichukua nchi ndani ya wiki mbili tu kwenye nchi yenye askari waliofunzwa vizuri kwa miaka 20 na kupewa silaha za kisasa?Kwani hujui kama mwenge ni wa siisiiemuuuu , sasa jichanganye wewe na kibango chako sijui katiba gani sijui mpya uone cha mtemakuni, utapea kesi zote hadi ya kumuua mungu wa chettle , achilia mbali kuwa unaeneza kotrona hata kama uko pekeyako , hii ndio nchi bana akili wanazo wao tu, kila siku wanahubiri social distance na kuacha mikusanyiko lakini wao looooo hayawahusu hizo ni kwa wapiinzaniiii tu