chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,663
Idara ya Itikadi na Uenezi ya CCM kwa sasa inaongozwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
Majukumu ya Idara hiyo kama yaliyovyoanishwa kwenye Tovuti ya CCM ni pamoja na;
- Kushughulikia masuala ya msingi ya Itikadi na Sera za Chama Cha Mapinduzi.
- Kueneza na kufafanua Itikadi na Sera za CCM.
- Kupanga na kusimamia Mafunzo na Maandalizi ya Makada na Wanachama.
- Kusimamia Vyombo vya Habari vya Chama, Mawasiliano na Uhamasishaji wa Umma kwa Jumla.
- Kuongoza na kusimamia maandalizi ya Sera, Programu na Ilani za Uchaguzi za CCM.
- Kusimamia Utafiti, Maktaba na Nyaraka za Chama