Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 278
- 283
Kwani kazi yake hiyo?Tunafahamishana tu kwa wale mliolala usingizi Kwamba Shujaa Magufuli amerudi kivingine
Hii haina kuremba Hapa Kazi Tu na 4R
Mungu wa mbinguni awabariki 😀
Kwani kazi yake hiyo?Tunafahamishana tu kwa wale mliolala usingizi Kwamba Shujaa Magufuli amerudi kivingine
Hii haina kuremba Hapa Kazi Tu na 4R
Mungu wa mbinguni awabariki 😀
Huyo mshamba aliyekufa ndio katuletea huyo mshamba.Kuna wakati Katibu mwenezi na msemaji wa CCM alikuwa akitumia maneno "nataka" Kasimu Majaliwa, Waziri, wakuu wa mikoa, nk wafanye hivi na vile. Utamaduni huu ni mpya kwa watanzania kuona msemaji wa CCM akiwa na nguvu nyingi kama hizi.
Serikali imebanwa sana na upinzani?
CCM imepasuka?
Waziri Mkuu hafanyikazi yake? Hatakiwi?
Kifo cha Maguli kinaisumbua serikali?
Haya ni miongoni mwa maswali tunayojiuliza Watanzania baada ya ujio wa Makonda.
Waziri mkuu ni muajiriwa wa ccm. Jua hilo kwanza. Na Makonda ni boss katika chama.Nani ni mkubwa kati ya Makonda na Waziri Mkuu?
Wote ni wachafu, wasukuma ni washamba sanaAcha kumlinganisha Magufuli na uchafu.
Mkuu, hawafanani.Usiwe Chura 😃😃
Kwa kuwa we ni zuzuNilimkubali sana Shujaa Magufuli 😂
Ni walewale waliopumbazwa, hao wote wako sawa. Magu alikuwa hajui hata anaenda wapiMkuu, hawafanani.
Magufuli alikuwa na lengo.
Magufuli alikuwa anataka kufika mahali..
Njia yake tu ndio ilikuwa na miba!!
Huyu sasa....
Mifumo inambeba maana waziri mkuu mwenyewe kabebwa na Chama.Anataka kumu outsmart prime minister
Sasa ndo utajua hujui pale utakaposikia Takukuru ondokeni nae huyu mkandarasi au waziri akaeleze ela ziko wapi😂Makonda anayofanya katumwa na nani?
View attachment 2800441
Aliyo tabiri askofu gwajima yanaenda kutokea it's just matter of time...Mifumo inambeba maana waziri mkuu mwenyewe kabebwa na Chama.
Kusimamia ilani ya uchaguzi ya CCM ni kazi pana ambayo hujaielezea kwa kina inafanywa vipi.Makonda anayofanya katumwa na nani?
View attachment 2800441
Sawa kabisa. Anajaribu kuwakumbushia tu watendaji yale ambayo chama kimeelekezaUzuri anasema chama kinaelekeza
WANANCHI>>>>>>CCM>>>>>>>SERIKALIJiulize nani ni mkubwa Kati ya CCM na Serikali?
Nashaur kama upo serous mkuu jarib kusoma soma japo unapopata muda politics zinafanyaje kaz.unless if ur facebook orientedIlikuwa dharau kumpa Waziri mkuu muda. Yani hata Rais mwenyewe hawezi kufanya vile. Mtatoa ufafanuzi Hadi mchoke