Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,399
- 3,921
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amempatia kijana wa kiume mjasiriamali mwenye ulemavu kiasi cha Tsh Milioni 2 kama sehemu ya kujiendeleza katika biashara yake ya duka la vinywaji.
Mwenezi Makonda amefanya hivyo mara baada ya kusikiliza malalamiko ya kijana huyo anayedai alichukua mkopo wa Halmshauri na kupatiwa fedha Tsh Milioni 2 lakini ndugu yake aliyemtaja kwa jina la Salvata Kalanga kwa kumnunulia bidhaa za vinywaji aina ya maji na soda visivyoendana na thamani ya pesa hiyo na hatimaye kumdhulumu na kumnyanyasa.
Mara baada ya kusikia hayo yote, Mwenezi Makonda aliamua kutoa fedha Tsh Milioni 2 na kumpatia kijana huyo kujiinua tena kwa biashara yake ambapo amesema fedha hizo shukrani iende kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani anayafanya hayo yote kwa kumwakilisha yeye.
Naye, Mbunge wa Jimbo la Pangani na Waziri wa Maji Ndugu. Aweso aliunga mkono kwa kutoa Tsh Milioni 1 kwa kijana huyo.
#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee
PIA, SOMA:
Matamko mengine ya Paul Makonda
Mwenezi Makonda amefanya hivyo mara baada ya kusikiliza malalamiko ya kijana huyo anayedai alichukua mkopo wa Halmshauri na kupatiwa fedha Tsh Milioni 2 lakini ndugu yake aliyemtaja kwa jina la Salvata Kalanga kwa kumnunulia bidhaa za vinywaji aina ya maji na soda visivyoendana na thamani ya pesa hiyo na hatimaye kumdhulumu na kumnyanyasa.
Mara baada ya kusikia hayo yote, Mwenezi Makonda aliamua kutoa fedha Tsh Milioni 2 na kumpatia kijana huyo kujiinua tena kwa biashara yake ambapo amesema fedha hizo shukrani iende kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani anayafanya hayo yote kwa kumwakilisha yeye.
Naye, Mbunge wa Jimbo la Pangani na Waziri wa Maji Ndugu. Aweso aliunga mkono kwa kutoa Tsh Milioni 1 kwa kijana huyo.
#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee
PIA, SOMA:
Matamko mengine ya Paul Makonda
- Makonda: Siasa imemlipa Mbowe kajenga kasri
- Mwenezi Makonda amuagiza Meya na Mkurugenzi Halmshauri ya Pangani kuhakikisha kituo cha afya cha mwenbeni kinajengwa - Pangani
- Makonda ambananisha meneja TANROADS Geita: Ahoji ni lini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kahama - Kakoro (km 60) utasainiwa ili ujenzi kuanza
- Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana
- Makonda: Mbinguni walimchukulia fomu Rais Samia. Adai Mbowe anajua kama Samia ametumwa na Mungu
- Makonda: Wafanyabiashara huichangia CCM kwa kuogopa wasiletewe TRA, TAKUKURU, uhamiaji ama Polisi
- Makonda: Stendi mpya Iringa ipewe jina la Chongolo