Kuongezeka Ph.D za Heshima: Kuna haja TCU watoe ufafanuzi wa matumizi ya title ya Dr. kwa Ph.D za heshima na Ph.D za ukweli?

Hivi uitwe au uongeze Dr kwenye jina inaongeza au kupunguza nini kwani? Nionavyo mimi, what matters is matendo yako na reality yako katika maswala ya elimu na ufahamu, pamoja na utendaji wako wa kazi. Infact, wengi wenye real academic PhD hata hawapendi kuweka Dr. mbele ya jina lao na hawapendi kuitwa Dr. Maybe with the exception of Tanzania? Huwa either wanaweka PhD baada ya jina lao kwenye email signatures au kwenye other official communications. I see this mostly kwenye wasomi hasa huko western world. Huku makwetu tunapenda sana kuitwa Dr hata kwa wale waliopata degree za online offers, ambapo unalipa dola 100 unatengenezewa cheti. Itakayotofautisha ni matendo yako, ujuzi wa kitaalamu katika utendaji wa kazi zako, pamoja na heshima na uhusiano wako kwa international comm

Wanabodi,

Kiukweli kabisa mfumo dume bado ni tatizo kubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na haswa wa Kanda yetu fulani!.

Japo Rais Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walitunukiwa PhD za heshima za honoris causa lakini hawakuitwa kwa title za Dr. Lakini Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa aliitwa Dr na hakuna aliyepinga wala kupiga kelele, ila baada ya Rais Samia kutunukiwa PhD na kuanza kuitwa Dr, kelele zimeanza,


Anastahili

Hili kweli is not right, PhD za honoris causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, kwa kuzingatia hoja ya Prof. Kironde View attachment 2778748

Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Paskali
Namhala Pasi ngoja nikupe hiki kisa😁Wasukuma wako nakawaida ya kuandika majina kwenye baiskeli,kile kipande kinachofunika chain.Sasa kuna Mzee mmoja nikaona ameandika Hayati Masanja Abeli,nikamuuliza Mwenye hii baiskeli alifariki!? Akanijibu hapana Mimi ndiyo Hayati Masanja mwenyewe..Nikamuuliza unaelewa neno Hayati ni mtu Mwenye hadhi Aliyefariki!?akanijibu kijana Hayati tuko wachache mno ,kuna Hayati Nyerere,Hayati karume Hayati sokoine na Mimi Hayati Masanja😁
 
Kwa uwezo wa kukata umeme Karne ya 21 lazima aitwe Dr, Kinyerezi 1,2,3,4,5,...zote mabebebru wametia ndani na REA ndani yake.Chezea Bongo weye.Hapo ni mwendo wa kupandisgiwa bei za nishati ya mafuta hata kama hutaki,wakati gari za umeme Hadi za Dola 1,000 zimejaa hapo Beijing,Hong Kong na Wuhan,huu ni utumwa wa fikra.
Mama anastahili degree ya heshima. Kwa muda mfupi kafanya mambo makubwa sana. Wanaopinga wana wivu ila hatuwajali
 
Wanabodi,

Kiukweli kabisa mfumo dume bado ni tatizo kubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na haswa wa Kanda yetu fulani!.

Japo Rais Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walitunukiwa PhD za heshima za honoris causa lakini hawakuitwa kwa title za Dr. Lakini Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa aliitwa Dr na hakuna aliyepinga wala kupiga kelele, ila baada ya Rais Samia kutunukiwa PhD na kuanza kuitwa Dr, kelele zimeanza,


Anastahili

Hili kweli is not right, PhD za honoris causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, kwa kuzingatia hoja ya Prof. Kironde View attachment 2778748

Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Paskali

Kumbe kuwa Dokta ni dili eeeh!

Watu wana Fedha na Mamlaka lakini furaha mpaka iwe na Dr prefix.
 
Unapambana sana kutafuta teuzi,kuna nafasi mama abdul amekuandalia UWT
Mkuu,mheshimu Mayalla. Hajatukana mtu wala kumkejeli mtu,yeye katoa mawazo yake na yana mantiki maana itafikia hatua kila mwenye pesa au cheo ataitwa Dr.
Huoni kama hilo ni tatizo maana kitaaluma upo utaratibu lakini sio huo. Anyway mtasema ni roho mbaya lakini kuna sehemu haiko sawa
 
Wanabodi,

Kiukweli kabisa mfumo dume bado ni tatizo kubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na haswa wa Kanda yetu fulani!.

Japo Rais Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walitunukiwa PhD za heshima za honoris causa lakini hawakuitwa kwa title za Dr. Lakini Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa aliitwa Dr na hakuna aliyepinga wala kupiga kelele, ila baada ya Rais Samia kutunukiwa PhD na kuanza kuitwa Dr, kelele zimeanza,


Anastahili

Hili kweli is not right, PhD za honoris causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, kwa kuzingatia hoja ya Prof. Kironde View attachment 2778748

Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Paskali
Wenye ile ya darasani tukubaliane kuanza na Dr. Ikifuatiwa na jina, na wale wa ukumbini tuanze na jina kisha dr.(ndogo).
 
Mkuu,mheshimu Mayalla. Hajatukana mtu wala kumkejeli mtu,yeye katoa mawazo yake na yana mantiki maana itafikia hatua kila mwenye pesa au cheo ataitwa Dr.
Huoni kama hilo ni tatizo maana kitaaluma upo utaratibu lakini sio huo. Anyway mtasema ni roho mbaya lakini kuna sehemu haiko sawa
Kwa taarifa yako, Waziri Juma baada ya kutenguliwa balozi China aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa UWT taifa.
 
Wanabodi,

Kiukweli kabisa mfumo dume bado ni tatizo kubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na haswa wa Kanda yetu fulani!.

Japo Rais Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walitunukiwa PhD za heshima za honoris causa lakini hawakuitwa kwa title za Dr. Lakini Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa aliitwa Dr na hakuna aliyepinga wala kupiga kelele, ila baada ya Rais Samia kutunukiwa PhD na kuanza kuitwa Dr, kelele zimeanza,


Anastahili

Hili kweli is not right, PhD za honoris causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, kwa kuzingatia hoja ya Prof. Kironde View attachment 2778748

Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Paskali
Paschal uwe mkweli hata kwa nafsi yako. Mbona kelele zilipigwa sana hadi kuitwa kihiyo au hukuwa unafuatilia habari. PhD za heshima huwa si za kutumia kama waliozishotea. Ni ulimbukeni au ujinga kujipa udaktari usiostahiki. Kwa ambao tumzisotea, we acha tu. Kama ni zile za kupeana kama za akina Mwigulu na wenzake, bado kuna tatizo tu hapa kwa mtumiaji. Kwa hiyo, wanaozitumia wawe wanaume au wanawake siyo suala la ujinsia.
 
Mama anastahili degree ya heshima. Kwa muda mfupi kafanya mambo makubwa sana. Wanaopinga wana wivu ila hatuwajali.
Hakuna anayepinga Samia kupewa hizo degree za heshima..

Tunachopinga ni kujiita daktari wakati hajasomea.

Mwaka 2013, rais wa wakati ule wa US, Barack Obama alizuru Tanzania na akatunukiwa PhD ya heshima na Chuo Kikuu Huria (OUT). Ukiacha hiyo, anazo PhD zingine za kupewa zaidi ya 10. Uliwahi kusikia anajiita Dr. Barack Obama?!

1697085032216.png


Angalia za USA pekee..

Honorary degrees received by Barack Obama..
LocationDateSchoolDegreeGave Commencement Address
23px-Flag_of_Illinois.svg.png
Illinois
June 4, 2005Knox CollegeDoctor of Laws (LL.D.)[5][6]Yes [7]
23px-Flag_of_Massachusetts.svg.png
Massachusetts
June 2, 2006University of Massachusetts BostonDoctor of Laws (LL.D.)[8]Yes [9]
23px-Flag_of_Illinois.svg.png
Illinois
June 16, 2006Northwestern UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[10]Yes [11]
23px-Flag_of_Louisiana.svg.png
Louisiana
August 13, 2006Xavier University of LouisianaDoctor of Laws (LL.D.)[12]Yes [13]
23px-Flag_of_the_District_of_Columbia.svg.png
District of Columbia
May 12, 2007Howard UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[14]
23px-Flag_of_New_Hampshire.svg.png
New Hampshire
May 19, 2007Southern New Hampshire UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[15]Yes [16]
19px-Flag_of_Connecticut.svg.png
Connecticut
May 25, 2008Wesleyan UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[17][18]Yes [19]
23px-Flag_of_Indiana.svg.png
Indiana
May 17, 2009University of Notre DameDoctor of Laws (LL.D.)[20][21]Yes [22]
23px-Flag_of_Michigan.svg.png
Michigan
May 1, 2010University of MichiganDoctor of Laws (LL.D.)[23]Yes [24]
23px-Flag_of_Virginia.svg.png
Virginia
May 9, 2010Hampton UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[25]Yes [26]
25px-Flag_of_Ohio.svg.png
Ohio
May 5, 2013Ohio State UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[27]Yes [28]
23px-Flag_of_Georgia_%28U.S._state%29.svg.png
Georgia (U.S. state)
May 19, 2013Morehouse CollegeDoctor of Laws (LL.D.)[29]Yes [29]
23px-Flag_of_the_District_of_Columbia.svg.png
District of Columbia
May 7, 2016Howard UniversityDoctor of Science (D.Sc.)[14][30]Yes [31]
23px-Flag_of_New_Jersey.svg.png
New Jersey
May 15, 2016Rutgers UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[
 
Hakuna anayepinga Samia kupewa hizo degree za heshima..

Tunachopinga ni kujiita daktari wakati hajasomea.

Mwaka 2013, rais wa wakati ule wa US, Barack Obama alizuru Tanzania na akatunukiwa PhD ya heshima na Chuo Kikuu Huria (OUT). Ukiacha hiyo, anazo PhD zingine za kupewa zaidi ya 10. Uliwahi kusikia anajiita Dr. Barack Obama?!

View attachment 2779540

Angalia za USA pekee..

Honorary degrees received by Barack Obama..
LocationDateSchoolDegreeGave Commencement Address
23px-Flag_of_Illinois.svg.png
Illinois
June 4, 2005Knox CollegeDoctor of Laws (LL.D.)[5][6]Yes [7]
23px-Flag_of_Massachusetts.svg.png
Massachusetts
June 2, 2006University of Massachusetts BostonDoctor of Laws (LL.D.)[8]Yes [9]
23px-Flag_of_Illinois.svg.png
Illinois
June 16, 2006Northwestern UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[10]Yes [11]
23px-Flag_of_Louisiana.svg.png
Louisiana
August 13, 2006Xavier University of LouisianaDoctor of Laws (LL.D.)[12]Yes [13]
23px-Flag_of_the_District_of_Columbia.svg.png
District of Columbia
May 12, 2007Howard UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[14]
23px-Flag_of_New_Hampshire.svg.png
New Hampshire
May 19, 2007Southern New Hampshire UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[15]Yes [16]
19px-Flag_of_Connecticut.svg.png
Connecticut
May 25, 2008Wesleyan UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[17][18]Yes [19]
23px-Flag_of_Indiana.svg.png
Indiana
May 17, 2009University of Notre DameDoctor of Laws (LL.D.)[20][21]Yes [22]
23px-Flag_of_Michigan.svg.png
Michigan
May 1, 2010University of MichiganDoctor of Laws (LL.D.)[23]Yes [24]
23px-Flag_of_Virginia.svg.png
Virginia
May 9, 2010Hampton UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[25]Yes [26]
25px-Flag_of_Ohio.svg.png
Ohio
May 5, 2013Ohio State UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[27]Yes [28]
23px-Flag_of_Georgia_%28U.S._state%29.svg.png
Georgia (U.S. state)
May 19, 2013Morehouse CollegeDoctor of Laws (LL.D.)[29]Yes [29]
23px-Flag_of_the_District_of_Columbia.svg.png
District of Columbia
May 7, 2016Howard UniversityDoctor of Science (D.Sc.)[14][30]Yes [31]
23px-Flag_of_New_Jersey.svg.png
New Jersey
May 15, 2016Rutgers UniversityDoctor of Laws (LL.D.)[
Jiite wewe
 
Wanabodi,

Kiukweli kabisa mfumo dume bado ni tatizo kubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na haswa wa Kanda yetu fulani!.

Japo Rais Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walitunukiwa PhD za heshima za honoris causa lakini hawakuitwa kwa title za Dr. Lakini Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa aliitwa Dr na hakuna aliyepinga wala kupiga kelele, ila baada ya Rais Samia kutunukiwa PhD na kuanza kuitwa Dr, kelele zimeanza,


Anastahili

Hili kweli is not right, PhD za honoris causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, kwa kuzingatia hoja ya Prof. Kironde View attachment 2778748

Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Paskali
Nyingi ni za kununua toka diploma mills. Waulize walionunua kama akina Gwajima utajua kuwa si PhD chochote bali kutapeliwa na kujidanganya.
 
Wanabodi,

Kiukweli kabisa mfumo dume bado ni tatizo kubwa kwa baadhi ya Watanzania wenzetu na haswa wa Kanda yetu fulani!.

Japo Rais Nyerere, Mwinyi na Mkapa, walitunukiwa PhD za heshima za honoris causa lakini hawakuitwa kwa title za Dr. Lakini Rais Jakaya Kikwete baada ya kutunukiwa aliitwa Dr na hakuna aliyepinga wala kupiga kelele, ila baada ya Rais Samia kutunukiwa PhD na kuanza kuitwa Dr, kelele zimeanza,


Anastahili

Hili kweli is not right, PhD za honoris causa, hazibadili title ya mtu kuitwa Dr!. Mwalimu Nyerere alipewa na hakuitwa Dr, Ali Hassan Mwinyi alipewa na hakuitwa Dr. Benjamin Mkapa alipewa na hakuitwa Dr. Jakaya Kikwete alipewa na akaitwa Dr, sasa kama JK aliitwa Dr kwa PhD ya honoria causa, na hatukusema wala kupinga, now Mama kapewa, why sasa ndio tunasema na tunapinga?.
Tuiombe TCU ilifafanue hili, kwa kuzingatia hoja ya Prof. Kironde View attachment 2778748

Usikute sio yeye, au usikute...
ila kwa vile JK aliitwa na hakugoma, why not her?.

Sisi washauri wa bure, tumeikubali hii title ni well befitting her na tumeshauri Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Paskali
The answer is simple and very clear..

Haimfai, hastahili isipokuwa kwa waliompa wenyewe..

By the way, kwani akiitwa Mama Samia Suluhu Hassan au Madam President Samia Suluhu Hassan au Bi. Samia Suluhu Hassan atapungukiwa nini?

Hii "heshima" kutunukiwa huwa ni heshima gani wakati chini ya uongozi wake nchini mwake kuna shida na matatizo kibao yanayowakabili wananchi wake?

Ina maana aheshimiwe kwa kushindwa kutatua matatizo?

It sounds very awkwardly, right...?
 
Ninaomba michango yenu!

Kumekuwa na tabia watu kupewa Phd ambazo Sio Za kusomea wanspita mitaani wakikutana Phd( Dr)

TCU njooni Jf!
 
Tea-see-you tuko hapa, mkuu!

Haya uliza swali lako tuone kweli iwapo PhD yako ni halali au ya kuheshimishana.
 
Back
Top Bottom