WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,610
- 3,738
Tanzania ni nchi ambayo inaongoza Afrika kwa Marais wake na wanasiasa wake kutunukiwa PhD za Heshima.
Kibaya zaidi, vyombo vya habari kwa kujipendekeza, uchawa, na elimu ndogo ya uandishi wa habari, huwaita wahuska Doctor-Dr (kinyume na matakwa ya Doctorate ya heshima).
Je, ni fashion, ulimbukeni, rushwa, inferiority complex au ni nini?
Kibaya zaidi, vyombo vya habari kwa kujipendekeza, uchawa, na elimu ndogo ya uandishi wa habari, huwaita wahuska Doctor-Dr (kinyume na matakwa ya Doctorate ya heshima).
Je, ni fashion, ulimbukeni, rushwa, inferiority complex au ni nini?