Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
Wanabodi
Mimi ni mwana JF mwenzenu humu JF na ni verified tangu 2008, katika miaka hii zaidi ya 15, nimepandisha mabandiko mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kati ya mabandiko hayo, kuna mabandiko ni powerful na yameleta some positive impact kwa kujibiwa kwa utekelezaji.
Hili ni bandiko la kufanya assessment ya baadhi ya mabandiko yaliyoleta impact kama hoja zangu zina mashiko?, zimesaidia kitu au ninaandika for nothing kupoteza tuu muda?.
Wakati ukitafakari na mimi pia najifanyia self assessment, kuna baadhi ya mada zangu huwa zinaandamana na ushauri wa a way forward na baadhi zina onyesha the consequences za kitakachotokea. Baadhi ya mabandiko yangu yenye matokeo nimeyazungumza hapa "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
Kwa vile mwandishi ni mimi, karibu kila bandiko langu lina the drive force, the motives behind and the intended consequences, yaani naandika ili nipate nini au hilo bandiko lilete matokeo gani chanya.
Sasa from now on nitakuwa na share na nyinyi the motive behind ya baadhi ya mabandiko yangu na the intended consequences ya mabandiko hayo na kuitumia hiyo consequences au matokeo hayo as the drive force behind me kuendelea kuandika kwa kuthibitisha sifanyi kazi bure na kazi iendelee!.
Hapa kwenye bandiko kuu nitaweka line up ya mabandiko yenye big impact only halafu uchambuzi utafuata kwenye individual posts.
Na hii ni lineup ya mabandiko yote
Paskali
Mimi ni mwana JF mwenzenu humu JF na ni verified tangu 2008, katika miaka hii zaidi ya 15, nimepandisha mabandiko mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kati ya mabandiko hayo, kuna mabandiko ni powerful na yameleta some positive impact kwa kujibiwa kwa utekelezaji.
Hili ni bandiko la kufanya assessment ya baadhi ya mabandiko yaliyoleta impact kama hoja zangu zina mashiko?, zimesaidia kitu au ninaandika for nothing kupoteza tuu muda?.
Wakati ukitafakari na mimi pia najifanyia self assessment, kuna baadhi ya mada zangu huwa zinaandamana na ushauri wa a way forward na baadhi zina onyesha the consequences za kitakachotokea. Baadhi ya mabandiko yangu yenye matokeo nimeyazungumza hapa "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
Kwa vile mwandishi ni mimi, karibu kila bandiko langu lina the drive force, the motives behind and the intended consequences, yaani naandika ili nipate nini au hilo bandiko lilete matokeo gani chanya.
Sasa from now on nitakuwa na share na nyinyi the motive behind ya baadhi ya mabandiko yangu na the intended consequences ya mabandiko hayo na kuitumia hiyo consequences au matokeo hayo as the drive force behind me kuendelea kuandika kwa kuthibitisha sifanyi kazi bure na kazi iendelee!.
Hapa kwenye bandiko kuu nitaweka line up ya mabandiko yenye big impact only halafu uchambuzi utafuata kwenye individual posts.
- Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
- Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
- Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Na hii ni lineup ya mabandiko yote
Inaendelea
- Madudu ya Ajabu ya Ubatili wa Katiba Yetu, Mabadiliko Fake ya Sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia Asilaumiwe Kwasababu Yeye Sio Mwanasheria!.
- Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.
- Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii
- Ushauri kwa Rais Samia: Kwenye mabadiliko ya Cabinet kufuatia Ripoti ya CAG, tumia wazoefu; Fedha mpe Dkt. Kimei, Biashara Uwekezaji mpe Deo Mwanyika
- Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?
- Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?.
- Kupigwa billioni 75 ni ujinga au upumbavu? Tutaendelea kukubali kufanywa kichwa cha mwendawazimu hadi lini?
- Hongera Rais Samia kwa Ph.D Nyingine ya Heshima, Akemee Kuitwa Dr? Kuna Haja TCU/MCT/Maelezo Kutoa Ufafanuzi/Muongozo kwa Media Kuita Watu Dr?
- Kuongezeka Ph.D za Heshima: Kuna haja TCU watoe ufafanuzi wa matumizi ya title ya Dr. kwa Ph.D za heshima na Ph.D za ukweli?
- LIVE - Mjadala kupinga adhabu ya kifo nchini. TLS yajali utu, yaonesha njia. Adhabu hii ifutwe
Paskali