Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hapana usitwezwe na mwanzilishi bali uhalisia

Jr[emoji769]
uhalisia ndio unanifanya kupingana na ubeberu unaoendelea ktk makanisa.. yaan me sioni misingi ya kiimani inayosimamiwa na pesa, na wameenda mbali hadi kufkia hatua ya kuwaita watu wasio toa zaka na sadaka ni majizi.. hii si sahihi jamani...[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na mengine yote jibu swali la asili. . je una AKILI? Ukishalijibu hilo ndio tutakuja sasa kwenye tafsiri ya akili
Kumbuka swali halijibiwi kwa swali kama unajiamini
Mzee baba unafeli... unaweza ukaulizwa swali kama mtu hajakuelewa... ulipaswa utoe definition alafu ujibiwe... una maana gani ukisema akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwendakwa hoja.

Moja ya kanuni za msingi kabisa za insha, mijadala, utafiti etc ni ku define vitu mwanzo kabisa.

Umeuliza swali, umetumia neno, neno tata, swali halipo clear.

Umeulizwa kufafanua swali lako.

Wewe unayeuliza swali huwezikufafanua swali lako, huwezi kuniambia akili ni nini.

Unategemeaje mimi niweze kukujibu?

Unaniambia nikutafsirie ndoto.

Nakwambia sawa, niambie hiyo ndoto, unaniambia ndoto yenyewe nayo sikwambii, wewe niambie ndoto yangu niliyoota kisha itafsiri.

Kama Nebuchadnezzer.

Sawawa hiyoo?

Hataaaaa.

Hiyo si sawa Mshana, acha vituko!
Hapa umenikosha mzee mzima....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
target ya swali lake nimeielewa vizur,ukisema ndio una akili atakuuliza uthibitishe akili ilivyo hahahaha ukisema aionekan ilo jibu litaamia kwa mungu kua nae aonekan umewezaje kuamini akili unayo wakati aionekan,,,,,, picha tamu ili nisiharibu mitego[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Existence ya kitu haipimwi kwa macho tu....bali inaweza kuwa kwa kuhisi, kusikia, kuonja, kunusa... au combination ya hivyo...

Harufu ya maharage yanayoungua na nyama ni tofauti.... ndio maana hata ukijamba kimya kimya, harufu ya ushuzi wako ndio itatueleza umejamba. Hapo ni pua na sio macho....

Mtu ambae anakosa milango yote hiyo 5 ya fahamu... hawezi kujitambua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu neno akili ni msamiati mpya?
Mnona tukienda ktk staili hii mijadala humu haita isha?

Mfn: wewe tukianza kuuliza kila neno la hoja zako utoe maana zake sidhan kama mjadala utaisha, kwasababu hata majibu utakayotoa tinaweza uliza maana ya kila neno katika jibu hilo ninini!!
Nadhani hata wewe ungeweza kutoa maana ya neno akili.. sio lazima awe Mshana.... anyone angeweza kutoa tafsiri... ili mshana aconfirm kwamba ndicho alichokuwa anamaanisha.... nadhani kusingekuwa na kurudia rudia.. muuliza swali ana haki ua kurudishiwa swali in case kuna ambiguity...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza tu unamuliza mtu swali wew ni mrefu... alafu unataka ukijibu ndio au hapana. Hilo swali halijakamilika, unapaswa umuulize wewe na fulani nani mrefu?... kuna swali ukiuliza halina jibu kwa kuwa halijakamilika....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa una point au kusema akili inatafsiri nyingi basi ungejibu kwa tafsiri unayoijua ww halafu yeye angekuambia sijauliza kwa mlengo huo nawe ungejitetea kuwa swali lake halikuwa wazi sio kujizungusha zungusha tu ..
Sasa ndio au hapana....inakujulishaje maana uliyokuwa nayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi, mambo ya imani yanabaki kuwa ya imani na taaluma ichukue mkondo wake.

Niliwahi kusema awali, hata hii elimu yetu, vitu vingi tunaamini kwa kuwa tumeambiwa hivyo, na vingine inafika wakati vinabadilika au wanagundua kingine inakuja taarifa tofauti.
Lakini hivi vya taaluma haujawahi kuambiwa vinatoka kwa Mungu na viko sahihi 100%....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr sio tu kwamba hasemi akili ni nini? Hata ukiwapanga maprofesa wa vyuo unavyovifaham vinavyoheshimika hawatakupa jibu moja linalofanana la hilo swali kwamba akili ni nini.

Wengi tunachokiona ni matokeo au vitu ambavyo vinatufanya tuone akili inavyofanya kazi. Lakini ukisema akili kwenye jamii, watu wanakuelewa unachomaanisha.

Msiwabeze waliosema akili ni nywele kila mtu ana zake.
Akili ni nywele.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kuwa na uhakika wa akili nilizonazo nipe maana ya akili.

Akili ni nini?

Kuna mtu katoa mfano wake kuwa mwenye akili ni yule anayeamini uwepo wa mungu, je kama siamini uwepo wa mungu ?

Akili ni nini?

Unapozungumzia akili una maana gani?
Hii ni kama hawaioni vile......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivouliza akili ni nini, umetoa nafasi ya mjadala kua mkubwa na kumfanya Mshana aonekane bado ana hoja.

Akili - neno linalohusisha namna mtu anavyofikiri, anavyotafuta majawabu, anavyotafsiri muonekano wa vitu, anavyokubaliana na mambo na jinsi anavyohisi.

Kwa maana hii akili sio umbo bali neno, kwahio swali la kwamba mtu ana akili au lah ni batili. Kwakua kazi nyingi za akili zinahusiana na ubongo ndio maana waswahili hua tunauliza kama mtu ana akili lakini si sahihi .
Akili kwa kiingereza ni mind . Kwa mtu anaeongea kiingereza hawezi kukuuliza kama una akili, yani " the question as to whether one has a mind or not is either invalid or futile "
Ila unaweza kuulizwa kama una ubongo au lah .

Ref;
Mind - Wikipedia https/en.m.wikipedia.org/wiki/Mind?iorg_service_id_internal=803478443041409%3BAfonYAdB1BsjBypX
Hii ni according to wewe.. huenda mshana ana definition yake... so anapaswa kusema hata kama hatadefine basi aonyeshe ni kwa definition yako..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza tu unamuliza mtu swali wew ni mrefu... alafu unataka ukijibu ndio au hapana. Hilo swali halijakamilika, unapaswa umuulize wewe na fulani nani mrefu?... kuna swali ukiuliza halina jibu kwa kuwa halijakamilika....

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli naona kuna kitu unajaribu kukikwepa hapa... Kumbuka hapa ni JF na sio darasa la chekechea, huwezi kulinganisha kimo na mtu na akili... Utakuwa hujaelewa muktadha wa swali

Jr[emoji769]
 
Hakika huwa namuheshimu sana Mshana Jr lakini sijajua ni nIini kimempata hata kufikia hatua ya kujidharirisha namna hii mbele ya halaiki hii ya wana jamiiforums. Nimefuatilia kwa kina mjadala huu ila sijaona kitu cha tofauti kilicholetwa na ndugu Mshana zaidi ya porojo zilezile dhaifu ambazo Kiranga amekuwa akizivuruga vuruga humu.
Sasa hapa Mshana kauliza swali akitaka kujua kama Kiranga ana akili au laa, na Kiranga ameuliza hizo akili ni kitu gani? mjadala ndio umeishia hapo....

Mshana hataki kutoa jibu sababu anajua akitoa tu jibu basi swali lake la mwanzo linakosa mashiko. Mshana bila shaka angejibiwa ndio basi angeuliza unaamini vipi kuwa una akili hali ya kuwa hujawahi kuziona? Na angehitimisha kuwa hata kwa uwepo wa Mungu ni vivyo hivyo kwa maana haonekani ila tunaamini kuwa yupo. Hii hoja dhaifu sana.

Akili sio kitu tangible kama ilivyo figo au ini. Akili ni matokeo ya mchakato fulani unaotendeka ndani ya ubongo ambao kisayansi unaelezeka vizuri tu. Na huu mchakato huweza kuathiriwa na mambo mengi kama mazingira, lishe na mambo mengine. Sasa matokeo ya huu mchakato hubainishwa na tabia za nje za mtu husika hapa inahusu maamuzi, Kauli, muonekano na mambo mengine mengi ambao yakiwa tofauti na matarajio ya wengi tunaweza kuhitimisha kuwa huyu hana akili, yaani mchakato katika ubongo wake umeleta matokeo yasiyotarajiwa yapo chini ya kiwango ila hapa niweke angalizo kwamba huenda huyo anayeonekana hana akili ndiye mwenye akili ila tu akili zake zipo viwango vya juu sana kuliko uwezo wa walio wengi wanaomtazama.

Kulingana na hilo Kiranga ana akili na hili tunalipima kutokana na hoja zake japo sikubaliani nae kwamba hakuna Mungu ila akili zake zimefanya hoja zake ziwe hazijibiki. Mungu yupo ila kuna mapungufu makubwa sana katika hivi vitabu vinavyojaribu kumuelezea. Vinajipinga vyenyewe kabla hata havijapingwa, vinajichanganya. Na hii kusema sijui ili kuvielewa ni lazima kuwa na imani ni sawa na kuwema ili kuvielewa hupaswi kuwa na fikra huru, unapaswa uwe zwazwa kwanza ndipo uvielewe sasa hapo ndipo ninapojiuliza Mungu alitupa uwezo wa kufikiria wa kazi gani kama hataki tuhusishe fikra huru tunapotaka kumuelewa yeye?

Mshana jipange upya maana bado hujafikia uwezo wa kukabiliana na fikra za Kiranga, tukubaliane tu katika hilo mkuu.
You nailed it... na ndio hapo wasimuamini wanapokuwa na hoja. Kwanin tuamini wakati tuna maarifa ya kuchambua utata uliopo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom