Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,608
- 860,789
- Thread starter
- #3,141
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hata Kingunge hakua atheist, alikua kama Kilanga tu, sema yeye aliathiriwa na mafundisho ya kina Karl Max yale ya Ukominist, remember moja kati ya nguzo za ukominist ni kuto kuamini uwepo wa Mungu but kihistoria Kingunge alizaliwa na kulelewa kwa madhehebu ya Kikatoliki so anajua ABC za mambo ya dini na mungu pia. Kwa ujumla nakubaliana na mleta uzi, Kilanga nae ni hivyo hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app