Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Una akili?
Mbona swali dogo zaidi ya swali lako?
Mana sisi tutatoa maelezo marefu kuliko wewe.

Ww ndie mwenye swali jepesinlkn hutaki kutujibu.

Vinginenvyo ni kuto tutendea haki ktk mjadala
Siwezi kujibu kama nina kitu ama sina kamaanayeuliza hajafafanua kitu hicho ni nini.
 
Siwezi kujibu kama nina kitu ama sina kamaanayeuliza hajafafanua kitu hicho ni nini.
mkuu unazingua...nikikuuliza kiranga una pesa? unataka mpk nifafanue maana ya pesa ni nini ndipo ujibu swali langu?

hoja yako ya kutaka kufafanuliwa kila swali unaloulizwa ni dalili ya kushindwa mtihani, umeshawahi kuingia chumba cha mtihani na kumwita mwalimu akufafanulie swali ndipo ujibu mtihani? nadhani hapa umezingua mkuu na kinachoendelea hapa ni porojo tu

"asiekubali kushindwa si mshindani"
 
Akili ni nini? Unaposema akili, unamaanisha nini?
Mkuu hawatakwambia kamwe maana ya akili japo wamekuuliza kama unayo au huna.
Tunakoelekea ni kujaza mada tu bila hoja za msingi.
[HASHTAG]#Akilininini[/HASHTAG]?
 
mkuu unazingua...nikikuuliza kiranga una pesa? unataka mpk nifafanue maana ya pesa ni nini ndipo ujibu swali langu?

hoja yako ya kutaka kufafanuliwa kila swali unaloulizwa ni dalili ya kushindwa mtihani, umeshawahi kuingia chumba cha mtihani na kumwita mwalimu akufafanulie swali ndipo ujibu mtihani? nadhani hapa umezingua mkuu na kinachoendelea hapa ni porojo tu

"asiekubali kushindwa si mshindani"
Fact
 
mkuu unazingua...nikikuuliza kiranga una pesa? unataka mpk nifafanue maana ya pesa ni nini ndipo ujibu swali langu?

hoja yako ya kutaka kufafanuliwa kila swali unaloulizwa ni dalili ya kushindwa mtihani, umeshawahi kuingia chumba cha mtihani na kumwita mwalimu akufafanulie swali ndipo ujibu mtihani? nadhani hapa umezingua mkuu na kinachoendelea hapa ni porojo tu

"asiekubali kushindwa si mshindani"
Mkuu una akili?
 
Nilicho kigundua kwenye uzi huu mnaogopa kujibu hoja za kiranga sasa kwa style hii ndugu kiranga atazidi kila siku kuwashinda kwenye midahalo ya hapa jf
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hoja zipi? Za kushindwa kujibu swali rahisi kabisa!? Ila kwakuwa ni mtazamo wako yote kheri
 
Nilicho kigundua kwenye uzi huu mnaogopa kujibu hoja za kiranga sasa kwa style hii ndugu kiranga atazidi kila siku kuwashinda kwenye midahalo ya hapa jf
Mimi na kiranga hatutofautiani sana kwenye suala la kuwepo au kutokuwepo kwa mungu.

Niliachana na habari za mungu miaka kumi iliyopita, nikiwa na miaka 16 tu.

Kuna maswali mpk leo nimeshindwa kujibiwa, nikaona ni habari za kipuuzi.

Mshana tunatofautiana sana humu kwa habari zake za mungu na uchawi, lkn kwenye mjadala huu nimejikita kwenye swali lake la msingi kwa Kiranga. Naona yupo sawa kabisa.

Lkn nimekuta mjadala, nimeona swali sawia kabisa akiulizwa kiranga Je Ana Akili?

Yeye nae hakujibu bali kauliza apewe maana ya akili kwanza kwani anajua tafsiri nyingi.

Sasa anapaswa atupe hizo tafsiri, sisi tuweze kujua kweli swali lilikuwa halieleweki kwake.

Sasa km hawezi kutupa hata tafsiri mbili tujionee kweli anatafsiri zaifi ya moja huko ni kutuchanganya zaidi.

Angesema hajui maana ya akili au ni msamiati mpya kwake, au aelezwe maana yake kwanza ili ajibu hapa tingesema kweli tumsaidie ili aweze kutujibu swali leti kwa ufasaha.

Sasa kusema ana tafsiri nyingi alafu hazisemi ni kutuhadaa.
 
mkuu unazingua...nikikuuliza kiranga una pesa? unataka mpk nifafanue maana ya pesa ni nini ndipo ujibu swali langu?

hoja yako ya kutaka kufafanuliwa kila swali unaloulizwa ni dalili ya kushindwa mtihani, umeshawahi kuingia chumba cha mtihani na kumwita mwalimu akufafanulie swali ndipo ujibu mtihani? nadhani hapa umezingua mkuu na kinachoendelea hapa ni porojo tu

"asiekubali kushindwa si mshindani"
Hapana, nataka kuwamakini kwamba najibu swali vizuri.

Mtu anaweza kuniuliza nina pesa anataka nimsaidie hapo hapo mia tano.

Mimi ninapesa benki na kwenye kadi, siwezi kumpa hapo hapo.

Akiniuliza "Una pesa" nikimuuliza unamaanisha nini? Noti au pesa benki?

Ili nielewe vizuri jinsi ya kumsaidia, nimekosea nini?

Kwa nini yeye aone tabu kunieleza anamaana gani?
 
Nimepitia comment zote hapa kwa kifupi tu kiranga umechemka .. na hili swali la mshana linakutafakarisha mengi sana juu ya kutokuamini kwako uwepo wa Mungu.. wanaokusapoti ni wana uwezo mdogo sana wanajua kushabikia tu lkn ukiwaachia wanakimbia yaan kesho ukisema unaamini Mungu yupo na wao wanaamini .. Bendera
 
Ungekuwa una point au kusema akili inatafsiri nyingi basi ungejibu kwa tafsiri unayoijua ww halafu yeye angekuambia sijauliza kwa mlengo huo nawe ungejitetea kuwa swali lake halikuwa wazi sio kujizungusha zungusha tu ..
 
Back
Top Bottom