Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga kashindikana kwa hoja mzito mshana hatoweza kwa uoga wake. Anajua ataumbuka kiranga ni jina kubwa jf kasha angusha mibuyu mikubwa kama Max shimba, Eiyer,Katalan, hawa ni manguli kwenye battle ya namna hii. Mshana una tujazia server jibu AKILI NI NINI? Ukijibu hili mjadala umekwisha tuna mpa kombe kiranga mara ya pili. Huo mtawi ulio shika shikilia hivyo hivyo ukiachia tu tunapata point 3 team kiranga
 
Nimefuatilia sana, umeona hapo ulipozuka mjadala wa akili zipi?
Hapo ndio nikaona tunataka kutoka kwenye msingi wa mjadala.
Na tunataka kutokakwa sababu ndogo tu.

Mshana hataki kujibu swali, akili ni nini?

Ajibu tu, nimjibu na mimi, tuendelee na mjadala.

Ama sivyo kauliza kitu ambachohata yeye mwenyewe anashindwa kukifafanua ili swali lieleweke.
 
Tukiwa darasa la tatu kwenye mtihani tuliambiwa tuelezee kuhusu mbuzi, wengi tuli focus kwa mbuzi mnyama na mwalimu kwenye marking scheme yake ndio lilikuwa jibu sahihi ila kuna mshkaji alielezea kuhusu mbuzi kikunio cha nazi! Ila alipatia tu na ilichora kabisa pamoja na kuelezea mama yake amapoiwekaga baada ya kukuna nazi.
@kiranga nae anapaswa kujibu akili ipi anayoielewa kwanza. Kasema anazijua nyingi
 
Muuliza swali kuliweka swali lake vizuri anaogopa nini? We mkali wa ndumba uoga huo umeanza lini? Ahhh SAA tano hii swali halija jibiwa.
 
Na tunataka kutokakwa sababu ndogo tu.

Mshana hataki kujibu swali, akili ni nini?

Ajibu tu, nimjibu na mimi, tuendelee na mjadala.

Ama sivyo kauliza kitu ambachohata yeye mwenyewe anashindwa kukifafanua ili swali lieleweke.

Mshana Jr sio tu kwamba hasemi akili ni nini? Hata ukiwapanga maprofesa wa vyuo unavyovifaham vinavyoheshimika hawatakupa jibu moja linalofanana la hilo swali kwamba akili ni nini.

Wengi tunachokiona ni matokeo au vitu ambavyo vinatufanya tuone akili inavyofanya kazi. Lakini ukisema akili kwenye jamii, watu wanakuelewa unachomaanisha.

Msiwabeze waliosema akili ni nywele kila mtu ana zake.
 
Yeye kiranga hajasema hajui maana ya akili, kasema anajua tena nyingi.
Sasa atuambie angalau mbili tujue anacho maanisha
Awaambie ili iweje?
Si mnataka kujua kama ana akili?mwambieni akili gani mnayomuuliza....MBONA NI RAHISI SANA!
 
Back
Top Bottom