Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kitu kama hakipo huwezi kuuliza kipi!


Mungu tunaesema hayupo ni yule wa biblia na vitabu vingine vya dini.

Mungu huyu anaesujudiwa muumba wa nchi na mbingu.

Huyo ndio nasema wazi hayupo.

Ila ukisema Beyonce ni Mungu, sifa zake ni anaimba mziki, kaolewa na Jay Z, nitakuambia ndio Beyonce ni Mungu. Nitajibu hivyo kwasababu ya sifa ya Mungu alivyoelezwa kwa Beyonce

Kimsingi, mambo ya imani yanabaki kuwa ya imani na taaluma ichukue mkondo wake.

Niliwahi kusema awali, hata hii elimu yetu, vitu vingi tunaamini kwa kuwa tumeambiwa hivyo, na vingine inafika wakati vinabadilika au wanagundua kingine inakuja taarifa tofauti.
 
Uzi ushaenda mbali mno...nadhani nitakuwa nimekosa uondo kwenye page za kati kati kat ya Mshana Jr (ingawa wakati fulani huwa na mtuhumu kuwa uwenda ni mtanzania aliyewahi kuishi Urusi na juzi kati alishutua magwiji wa mnada bongo{purely joke}) vs. Kiranga
 
Inafurahisha sana ukisema Mungu unaambiwa hayupo bila kuulizwa Mungu yupi lakini ukisema akili unatakiwa useme unamaanisha akili ipi.
Mkuu utakuwa hujafuatilia vizuri, huwa inasemwa bayana kuwa ni Mungu yupi, ni yule mwenye uwezo wote, upendo wote na mwenye kujua yote. OMNIPOTENT, OMNIBENEVOLENT and OMNISCIENT.
 
Tukiwa darasa la tatu kwenye mtihani tuliambiwa tuelezee kuhusu mbuzi, wengi tuli focus kwa mbuzi mnyama na mwalimu kwenye marking scheme yake ndio lilikuwa jibu sahihi ila kuna mshkaji alielezea kuhusu mbuzi kikunio cha nazi! Ila alipatia tu na ilichora kabisa pamoja na kuelezea mama yake amapoiwekaga baada ya kukuna nazi.
 
Imebid nirud tena kusoma mada nimegundua kiranga a kuchukua neno moja tu akili na kulileta hapa.

Badala ya kujibu kile anachopaswa kujibu.

NAANGALIA HAPA MSHANA ALIPOMALIZIA NA NDIPO KIRANGA ALIPOPATA SILAHA YAKE ISIYO NA UZITO

"/Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?"
Akili ni nini?
 
Walimu waliokufundisha walipata taabu sana nadhan maswali yao ilibidi yaanze na tafsiri ya maneno yote ya kwenye swali la msingi halafu ndo swali liulizwe huku likiwa na jibu ndani yake


Walimu walionifundisha hawajawahi kuuliza vitu ambavyo havina maelezo na muktadha.
 
Back
Top Bottom