maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,233
- 1,320
Hoja ipo... kwasababu watu watajikita kwenye kupoteza muda kwa jambo la kufikirika.Bado sijaona hoja kwa hawa wanaopinga uwepo wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja ipo... kwasababu watu watajikita kwenye kupoteza muda kwa jambo la kufikirika.Bado sijaona hoja kwa hawa wanaopinga uwepo wa Mungu.
Ni scenario mbili tofauti.. hapo kwasababu najua all about saa.... ndio maana conclusion yangu itakuwa sahihi....Kuna msemaji mmoja aliwahi kuivunja hiyo mada kwa maneno machache sana akasema hivi:- UKIPITA PORINI UKAKUTA SAA YA MKONONI IMEDONDOKA PALE, JAMBO LA KWANZA KUKUJIA KICHWANI NI KWAMBA LAZIMA KUNA MTU AMEPITAPO MAENEO HAYO NA KUIDONDOSHA.
Wazo hilo hilo pia hebu lihamishie katika kumtafuta huyu Mungu na uwepo wa vilivyopo.
Allah na Mungu... kwako wew unasema ni tafsiri tu lakini ni huyo huyo mmoja.... ndio nimekuja na hilo swali.Ni andiko gani hilo linasema hivyo
Jr[emoji769]
Naomba twende kwa mtiririko... Ni andiko gani limesema hivyo? Nijibu hili halafu hayo mengine yatafuatia hakuna haja ya kuwa na harakaAllah na Mungu... kwako wew unasema ni tafsiri tu lakini ni huyo huyo mmoja.... ndio nimekuja na hilo swali.
Je, unajua kwamba Allah na Yehova wana some attributes ambazo hazifanani????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mathayo 19:4-5 .............Ni andiko gani hilo linasema hivyo
Jr[emoji769]
Inasemaje? Sina Bible hapaMathayo 19:4-5 .............
( Yohana 8:28 Yesu mwenyewe anasema maneno anayoyasema yanatoka kwa baba, Mungu na si kwa utashi wake)
Quran 4:3 .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja ya kuwa na haraka... utasoma ukiwa nayo mkuu.Inasemaje? Sina Bible hapa
Jr[emoji769]
SIJUI KAMA NINA AKILI...Una akili au huna akili? Jibu NDIO au HAPANA...
Jr[emoji769]
Akili ni uwezo wa kufikiri, kuhoji na kung'amua mambo.Una akili au huna akili? Jibu NDIO au HAPANA...
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hujui kama una akili? Duu ok sawa... Hata hivyo hukuzingatia swali ulitakiwa kujibu ndio au hapana....SIJUI KAMA NINA AKILI...
JE UNA MAANA GANI UKINIULIZA NINA AKILI AU SINA AKILI???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani DINI ni nini?.Ebu tuanzie hapa kwanza.sawa mkuu.. me kwa upande wangu naamin mungu yupo but siamini eti dini ndio itanifanya niwepo alipo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisahau kuwekea SIJUI.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hujui kama una akili? Duu ok sawa... Hata hivyo hukuzingatia swali ulitakiwa kujibu ndio au hapana....
Jr[emoji769]
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.
Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)
Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.
Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.
Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.
Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.
Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?
Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
Ok atheist ni nani basi au atheism ninini''kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)"
Tafsiri uliyotoa hapa ni ya agnostic na wala sio atheist.
Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Ok atheist ni nani basi au atheism ninini
Jr[emoji769]
Sasa umepinga nini?
Jr[emoji769]