maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,233
- 1,320
Mjadala umekushinda wewe mkuu....uliyeuanzisha. sisi wengine tunachomekea tu. Mjibu mshika ulikuwa na maana gani ya unapoandika "akili".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjadala umekushinda wewe mkuu....uliyeuanzisha. sisi wengine tunachomekea tu. Mjibu mshika ulikuwa na maana gani ya unapoandika "akili".
Umeitoa wapi maana hii ya neno DINI uliyoitoa hapa?.Imani inayohusika na kuamini katika Mungu ama miungu
Jr[emoji769]
Na IMANI ni nini mkuu?.Imani inayohusika na kuamini katika Mungu ama miungu
Jr[emoji769]
Akili ni kitu kisichoonekana , lakini kinafanya kazi, ni kama charge inavyoingia kwenye simu yako . huioni lakini unasoma asilimia zilivyoingia , na ina kutaarifu muda utakaokuwepo hewani, just like that. Maswali mengine ndio maana maprofesa wanaamua kunywa pombe ili wayajibu..[emoji41][emoji41]Mjadala umekushinda wewe mkuu....uliyeuanzisha. sisi wengine tunachomekea tu. Mjibu mshika ulikuwa na maana gani ya unapoandika "akili".
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Kweli.tatizo kinachotufanya tusiamini hizi dini, ni kuwa waanzilishi wa dini wenyewe yaan wazungu hawapo serious na dini zao(kama kilivyo kijito cha maji, ambacho chanzo chake kikikauka basi na kijito hakitakuwepo daima)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshajibu zaidi ya mara 20... Fuatilia utaona... Sasa nakuuliza tena maxime una AKILI ama huna AKILI? jibu NDIO au HAPANAMjadala umekushinda wewe mkuu....uliyeuanzisha. sisi wengine tunachomekea tu. Mjibu mshika ulikuwa na maana gani ya unapoandika "akili".
Sent using Jamii Forums mobile app
HAPANANimeshajibu zaidi ya mara 20... Fuatilia utaona... Sasa nakuuliza tena maxime una AKILI ama huna AKILI? jibu NDIO au HAPANA
Jr[emoji769]
AKILI NI AKILI.... ndio lilikuwa jibu lako.. vipi uliweka masahihisho???Nimeshajibu zaidi ya mara 20... Fuatilia utaona... Sasa nakuuliza tena maxime una AKILI ama huna AKILI? jibu NDIO au HAPANA
Jr[emoji769]
Mshana ndio katakiwa kutoa definition mkuu.... not you.Akili ni kitu kisichoonekana , lakini kinafanya kazi, ni kama charge inavyoingia kwenye simu yako . huioni lakini unasoma asilimia zilivyoingia , na ina kutaarifu muda utakaokuwepo hewani, just like that. Maswali mengine ndio maana maprofesa wanaamua kunywa pombe ili wayajibu..[emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo DINI ni IMANI,na IMANI ni KUAMINI si ndiyo?.Kuamini
Jr[emoji769]
Hivi ni mambo mangapi ulikuwa unayaamini utotoni lakina sasa hivi hauyaamini tena????...Ndio
Jr[emoji769]
Mambo kwa muktadha upi? Huwa siamini kitu mpaka niwe na hakika nacho ili baada ya hapo nikipiganieHivi ni mambo mangapi ulikuwa unayaamini utotoni lakina sasa hivi hauyaamini tena????...
Sent using Jamii Forums mobile app
Je unajua kwamba ukishakuwa na uhakika nacho hakiwi kwenye dhana ya kuamini... ?Mambo kwa muktadha upi? Huwa siamini kitu mpaka niwe na hakika nacho ili baada ya hapo nikipiganie
Jr[emoji769]
Hapana sio kweli kabisa... Ni lazima uwe na hakika nacho kwanza. La sivyo inakuwa ni blind faithJe unajua kwamba ukishakuwa na uhakika nacho hakiwi kwenye dhana ya kuamini... ?
Sent using Jamii Forums mobile app