Nakwendakwa hoja.Usitafute sympathy.... Twende kwa mjadala na hoja.... N prove your abilities!
Huyo anauliza kitu ambacho hata yeye mwenyewe swali lake hawezi kulifafanua lieleweke vizuri, halafu anataka jibu.naona wazee mmewekana kwenye mitego kila mtu kaushtukia mtego wa mwenzake mmebakia kuzungukana tu,,(AKILI)
Wewe umeniuliza kama nina akili, hukuniuliza akili ni nini.Nimekuuliza mimi in the first place! Jibu
target ya swali lake nimeielewa vizur,ukisema ndio una akili atakuuliza uthibitishe akili ilivyo hahahaha ukisema aionekan ilo jibu litaamia kwa mungu kua nae aonekan umewezaje kuamini akili unayo wakati aionekan,,,,,, picha tamu ili nisiharibu mitego[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo anauliza kitu ambacho hata yeye mwenyewe swali lake hawezi kulifafanua lieleweke vizuri, halafu anataka jibu.
Kuna watu wengi wanafuatilia huu uzi.Atajiaibisha bureee!Hahahaa, akatengeneze tunguri tu huyo apige hela, kwenye logic akae pembeni.
@mshana jr naomba uachane na hizi habari maana huna unachokielewa..! Kuanzia kwenye definition ya atheist umeingia chaka mpaka kwenye kujaribu kumuelezea Kiranga pole mkuu endelea na madogoli tu..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.
Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)
Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.
Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.
Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.
Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.
Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?
Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!
Umemkamata pabayaHuyu kazoea kupinda pinda maneno kwa hao hao walozi wenzake, hapa tunatumia truth table kuangalia kila kauli.
Kakwaa kisiki..
Mkuu,haupo sahihi hata kiduchu.Umemuuliza Kiranga kama 'ana akili',yeye kataka umwambie maana ya akili unayouliza kama anayo ili akamwambie "NDIYO NINAYO AU SINA".Mimi ndio muuliza swali jibu ninalo... Mjibuji hajui au hana jibu hivyo anataka kupata jibu kwangu kijanja
Kabla ya kufika mbali kote huko, inabidi mtu a define akili ni nini.target ya swali lake nimeielewa vizur,ukisema ndio una akili atakuuliza uthibitishe akili ilivyo hahahaha ukisema aionekan ilo jibu litaamia kwa mungu kua nae aonekan umewezaje kuamini akili unayo wakati aionekan,,,,,, picha tamu ili nisiharibu mitego[emoji23] [emoji23] [emoji23]