Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Akili ni nini?

Jibu la swalihili halinipi jibu kamanina akili ama sina,linanisaidia kujua ninapojibu kamanina akiliau sina, ninajibu kitu gani.

Sasa mnataka nijibu swali ambalohata hamjalifafanua?
Ndio wapaswa kujibu kama una akili au huna au hujui.
Sasa kutuambia unajua maana nyingi pasipo kusema hata moja tuweze kujua ufahamu wako wa huu mjadala.

Tunapaswa kujua kwanza unaelewaje kwa hizo tafsiri zako, tujue tunakusahihisha vp
 
Nakuona kama kinyonga au ndumi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
umekuja karibu "" naona umetoa fact nzito sana pale kuhusu Akili "" ......hahaa acha zako huu nimjadala " na mjadala huwa unawaruhusu watu waweze kuwa na mitazamo tofauti " ili waweze kuleta mantiki ya jambo fulani ambalo Lina mkanganyiko Fulani hivi katika Jamii"" ......so Niko hapa kujifunza zaidi "" kama una angalia vyema ids za washiriki wa hii debate nadhani utakuwa umepata wasaa wakujua kuwa " hii mada inashambuliwa na watu wazito kiasi gani wakiongozwa na mtoa mada ......Hebu niache niendelee kuelimika mie "
 
Sijauliza elimu au ujinga.. Nimeuliza akili ninini
Wapi nimesema umeuliza hivyo?

Nimekupa mfano juu ya swali lako linavyoendana na mfano huo.

Kama haujaelezea unachouliza linakuwa swali tata na unayetegemea akujibu anakuwa haelewi nini unamaanisha.

Hata haujauliza akili ni nini?

Umeuliza ana akili?

Unajipinga mbona

Akili ni nini?
 
umekuja karibu "" naona umetoa fact nzito sana pale kuhusu Akili "" ......hahaa acha zako huu nimjadala " na mjadala huwa unawaruhusu watu waweze kuwa na mitazamo tofauti " ili waweze kuleta mantiki ya jambo fulani ambalo Lina mkanganyiko Fulani hivi katika Jamii"" ......so Niko hapa kujifunza zaidi "" kama una angalia vyema ids za washiriki wa hii debate nadhani utakuwa umepata wasaa wakujua kuwa " hii mada inashambuliwa na watu wazito kiasi gani wakiongozwa na mtoa mada ......Hebu niache niendelee kuelimika mie "
Hahahahaha ngoja kwanza nikuulize
Mjadala ni nini?
Tuanzie hapo kwanza.
 
Ukiacha gape kwa tafsirk yako maana yake umekosa swali.

Kiranga hataki kukiri hajui maana ya akili ili tumpe maana.
Yeye anasema anazijua tafsiri nyingi pasipo kueleza hizo tafsiri
Huwezi kusema nitakuwa nimekosa wakati sikuweka jibu hivyo msahishaji ataniwekee alama ya kuuliza maana swali lile litakuwa halijajibiwa
 
Atheist ni asiyeamini uwepo wa Mungu kwake hakuna mwanzo wa vitu kila kitu by chance. Hata hivyo hakuna atheist asilimia mia kwani anachohofia ni Mungu wake. Karibu na kifo kila mtu anamkumbuka Mungu wake including atheists
 
Ndio wapaswa kujibu kama una akili au huna au hujui.
Sasa kutuambia unajua maana nyingi pasipo kusema hata moja tuweze kujua ufahamu wako wa huu mjadala.

Tunapaswa kujua kwanza unaelewaje kwa hizo tafsiri zako, tujue tunakusahihisha vp
Akili ni nini?

Kwa nini swali hili dogolinakuwa gumu sana kwenu?
 
Back
Top Bottom