hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,347
- 80,220
kichwa kingine hicho "" huyu mkuu sijui yuko wapi siku hizi
kichwa kingine hicho "" huyu mkuu sijui yuko wapi siku hizi
kichwa kingine hicho "" huyu mkuu sijui yuko wapi siku hizi
Nahamia jamii intelligencehuyu amesha kunywa Maji ya vibuyu mkuu"" hawezi kufanya hivyo '' siwaona leo hata chit chat ame iasi ""
hapana "" mimi natambua uwepo wa Mungu "" ijapo kuwa sina hoja madhubuti za kumuelezea ambazo zitawza kueleweka na atheist"" sina hoja kwa sabbu " huwa naona hivi vitabu ambavyo vina muelezea huyo Mungu vikiwa na ujanja ujanja mwingi mnoo"" Muda mwingine mpka huwa nahisi kuwa baadhi ya sehemu ya maandiko Yke huwa yana msingizia Mungu mwenyew"" so hii ni mada tofauti kabisa na hii iliyopo mezaniNa ww si huwa unapinga ama?
Karibu sana "" huku ni mwendo wa Nondo tu "" ukitoka Humu lazima ujione kuwa upo tofauti " tena utofauti wa mbali sana na kina Mwajuma nipeNahamia jamii intelligence
Kiranga, Mshana Jr kashajibu tayari akili ipi au ni nini uliyotaka kujua, baada ya majiibu haya wewe sasa unatakiwa ujibu kama una akili ama hauna, kwa vyovyote vile na kwa kutumia akili yeyote ile lazima ujibu, maelezo yanafafanua na yanajitosheleza kukuwezesha wewe kujua maana ya akili ni nini na kujibu swali.Iko hivi
Kwanza wale wasio waamini katika Mungu mmoja wamekwepa sana sana kujibu hili swali kwakuwa wanajitambua wazi kuwa wanazo akili lakini kimbembe ni kuthibitisha! Na kamwe hawawezi kukwambia hawana akili... Hivyo hivyo ni sawa na uwepo wa Mungu! Yupo lakini huwezi kumthibitisha kimwili kama usivyoweza kuthibitisha akili ulizonazo japo zipo
Dunia ina pande mbili giza na nuru, juu na chini, kushoto na kulia VINAVYOONEKANA na VISIVYOONEKA...
Tunahisi, njaa kiu ama hamu ya kitu lakini hatuwezi kuvionyesha vikaonekana... Ila vinatulizwa na vitu VINAVYOONEKANA yaani chakula, maji nk
Kama tunakubali kuwa kila kitu duniani kina pande mbili basi tutakuwa wajinga tukibisha kama kuna upande wa pili wa dunia usioonekana na huu ndio ulimwengu wa roho, ulimwengu wa Kimungu usio na ithibati za kisayansi lakini upo
Kuna mtu kasema juu hapo akili ni kutambua uwepo wa Mungu, nikasema kwa definition hiyo sina akili.@kiranga nae anapaswa kujibu akili ipi anayoielewa kwanza. Kasema anazijua nyingi
Wapi kajibu?Kiranga, Mshana Jr kashajibu tayari akili ipi au ni nini uliyotaka kujua, baada ya majiibu haya wewe sasa unatakiwa ujibu kama una akili ama hauna, kwa vyovyote vile na kwa kutumia akili yeyote ile lazima ujibu, maelezo yanafafanua na yanajitosheleza kukuwezesha wewe kujua maana ya akili ni nini na kujibu swali.
Hapana.Mitihani yenu huwa kuna definitions na swali hapohapo kama hilo?
Yani unaulizwa mbuni ni ......... Then unaulizwa unamjua mbuzi?
Sasa huo ni mtihani?
Ndiyo maana nikasema huyu anauliza swali kuhusu kitu ambacho hata yeye mwenyewe hakielewi.Mshana Jr sio tu kwamba hasemi akili ni nini? Hata ukiwapanga maprofesa wa vyuo unavyovifaham vinavyoheshimika hawatakupa jibu moja linalofanana la hilo swali kwamba akili ni nini.
Wengi tunachokiona ni matokeo au vitu ambavyo vinatufanya tuone akili inavyofanya kazi. Lakini ukisema akili kwenye jamii, watu wanakuelewa unachomaanisha.
Msiwabeze waliosema akili ni nywele kila mtu ana zake.
Kushinda mabishano si kitu kibaya.Hata uwe na elimu au ujuzi kiasi gani ila ukibishana na mjinga atakushinda tu.
Kiranga amejikita kwenye kushinda mabishano tu kwa hali yeyote ile.
Umenikumbusha darasa la falsafa nilikuwa nabishana sana na mwalimu, kuna msichana mmoja akawa ananiuliza, hivi wewe unavyobishana na mwalimu kuhusu Mungu hayupo, ni kweli unaamini hivyo au unabisha tu.Mshana.
Ila mimi naamini kuwa Kiranga anabishana tu hapa jukwaani kuwa hakuna Mungu.
Ila kiuhalisia kwenye maisha yake anajua kuwa Mungu yupo na anasali kila siku.
Tatizo ukiiona "Socratic Method" huwezi kuijua.Kiranga hana lolote silaha yake huwa ni maswali badala ya kujibu anatoka nje ya mada wajanja tumeshamjua tunacheka kihutuuu
Naweza kuelewa,kujifunza na kuchambua mambo mbalimbali katika mazingira ninayoishi.Enhe?Akili ni uwezo wa kuelewa, kujifunza na kuchambua mambo mbalimbali katika mazingira yetu na kuweza kupata ujuzi na maarifa ya kutuwezesha kuishi kwa ufanisi.
Ikumbukwe ni dhana pana, hiyo ni mojawapo.
Naweza kuelewa,kujifunza na kuchambua mambo mbalimbali katika mazingira ninayoishi.Enhe?
Anyway ila hizi imani za kuletewa zina mambo ambayo yanatia mashaka sana.Hizo ni tafsiri tu za kibinadamu.... Kiroho Mungu ni mmoja na yule yule