Una akili?Akili zipi?, za darasani au za maisha? Maana wale waliokuwa wanafaulu darasani halafu hawajafanikiwa maishani wanaambiwa walikuwa na akili za darasani tu, sio za kwenye maisha, wewe na Mshana Jr mnazungumzia zipi?
Na madogoli yako hayo unaamini Mungu mmoja wa wapi we jamaa, acha kutuchora ujue!Hapana mimi ni mkristo mwamini katika Mungu mmoja
Nakaziaamjadala mzuri
Akili za darasani au za mtaani?Una akili?
Ina maana hii ni mara ya kwanza kukutana na swali km hili?
Ndio swali umelikuta kwenye mtihani hilo, sasa km unanyoosha mkono upewe maana ya hilo swali huko ni kuchokoza kupata majibu ya mtihani.Siwezi kujibu ndio au hapana pasipo kujua unamanisha nini, hivyo nalazimika kuomba ufafanuzi wa kile ulichouliza
Nimekuuliza swali dogo umeshindwa kulijibu, akili ni nini?Hii mbinu yako ya kuhamisha mjadala haitakusaidia kitu kwenye kujibu swali... Huyo mtu ni mfu wa karne lukuki hana msaada hapa... Jibu kama wewe
Akili ni nini?Ndio swali umelikuta kwenye mtihani hilo, sasa km unanyoosha mkono upewe maana ya hilo swali huko ni kuchokoza kupata majibu ya mtihani.
Una akili?
Mimi sijui, swali lina baki kama lilivyo.Akili za darasani au za mtaani?
"Ni nini" maana yake ni ipi?Akili ni nini?
Kwa hiyo kuna original version, na fake version ya mbuzi au?Angalia original version ya mbuzi ninini...
Asante sana Mkuu nimejifunza piaNi wazi hujamsoma Socrates na hujui Socratic method ni nini.
Somo la bure, anzia hapa Socratic method - Wikipedia
Nakuona kama kinyonga au ndumi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha hahaa...acha bangi " mkuu
Akili ni nini?Kama hajui basi kakosa! Akiri kutojua basi
Akiri kwanza haelewi maana ya akili.Mshana, kiranga haelewi maana ya akili,
Kwahyo mjibu akili ni....
Ili akwambie anayo au ana hyo akili.
Mshana akili ni nini?
Kama ni kwenye mtihani naacha "gape" maana si lazima nilijibu vinginevyo nitakuwa nacheza kamri tuNdio swali umelikuta kwenye mtihani hilo, sasa km unanyoosha mkono upewe maana ya hilo swali huko ni kuchokoza kupata majibu ya mtihani.
Una akili?
Kama wewe hujui, basi hujui unachouliza, mimi nimekupa mfano neno "akili"ambavyo ni pana.. unatakiwa useme unauliza akili gani.Mimi sijui, swali lina baki kama lilivyo.
Ww ndio wapaswa kujibu, ndio au hapana au sijui.
Au ukajibu ndio na kuongeza hizo mbwembwe zako kuwa ni zipi unazo na zipi huna.