Atheists bado ni jambo geni kabisa Tanzania ?

Atheists bado ni jambo geni kabisa Tanzania ?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
62,715
Reaction score
105,322
Leo nilikuwa kwenye bus muda mfupi baada ya safari kuanza kama ilivyo utaratibu wa bus nyingi kama sio zote za kisasa mhudumu wa gari akaanza matangazo mbalimbali lakini kabla ya yote akawataka abiria wasali kwa ajili ya safari.

Huyo mhudumu akasema anajua kwenye gari wapo watu wa aina mbalimbali ila WOTE tunamuamini Mungu akafanya mahubiri kama ya dakika tatu kuhusu mambo ya kiroho yasiyoonekana njiani katika safari na mwisho akatutaka wote tusali kwa imani zetu kwa dakika kama mbili!

Kinachoshanga ni kwamba mtandaoni kuna atheists wengi sana ila mtaani huo ni msamiati mgeni kabisa!
 
Inawezekana mitaani huwaoni sababu wengi wao wanajificha katika hayo hayo makundi ya kidini wakiofia kuweka wazi misimamo yao jamii itawatenga.

Watu wengi hasa hiki kizazi hawaamini uwepo wa Mungu pamoja na imani za kidini sababu ya kukosa majibu sahihi ya maisha na suluhisho la matatizo.

Narudia tena, watu wengi hata humo makanisani hawaamini huyo Mungu wanaishi kufuata upepo unaendaje, na wengi wao ndio wale utotoni utawaona walikuwa wafia dini hasa, lkn baadae unaona wameachana na hizo dini mpaka unashangaa hivi ndie huyu?.

Kila familia/koo kuna watu wa aina hii na huwezi kuwatambua mpaka uwe nao karibu,.
Ukweli mchungu ni kwamba, miaka 20 ijayo hizi dini zitakua ktk hatua mbaya ya kifo cha asili, watu wengi wataachana nazo, wengi hawataamini tena uwepo wa hiyo Miungu wala imani za kidini, makanisa/misikiti itabaki kama sehemu za makumbusho au mapango ya popo/mbwa.
 
Inawezekana mitaani huwaoni sababu wengi wao wanajificha katika hayo hayo makundi ya kidini wakiofia kuweka wazi misimamo yao jamii itawatenga.

Watu wengi hasa hiki kizazi hawaamini uwepo wa Mungu pamoja na imani za kidini sababu ya kukosa majibu sahihi ya maisha na suluhisho la matatizo.

Narudia tena, watu wengi hata humo makanisani hawaamini huyo Mungu wanaishi kufuata upepo unaendaje, na wengi wao ndio wale utotoni utawaona walikuwa wafia dini hasa, lkn baadae unaona wameachana na hizo dini mpaka unashangaa hivi ndie huyu?.

Kila familia/koo kuna watu wa aina hii na huwezi kuwatambua mpaka uwe nao karibu,.
Ukweli mchungu ni kwamba, miaka 20 ijayo hizi dini zitakua ktk hatua mbaya ya kifo cha asili, watu wengi wataachana nazo, wengi hawataamini tena uwepo wa hiyo Miungu wala imani za kidini, makanisa/misikiti itabaki kama sehemu za makumbusho au mapango ya popo/mbwa.
Mbona wakina Mwamposa, kiboko ya uchawi, Malisa, Kupola et Al wanaendelea kuvuna washirika wengi sana kwa maelfu?!
 
Kwasababu wengi ni wagonjwa na hawana Hela za matibabu wanasubiri miujiza kutibiwa. Ajira hakuna watu wanaenda kuombewa wapate kazi.

Misingi Yao ni shida za watu ila sio dini.
Mbona wakina Mwamposa, kiboko ya uchawi, Malisa, Kupola et Al wanaendelea kuvuna washirika wengi sana kwa maelfu?!
 
Leo nilikuwa kwenye bus muda mfupi baada ya safari kuanza kama ilivyo utaratibu wa bus nyingi kama sio zote za kisasa mhudumu wa gari akaanza matangazo mbalimbali lakini kabla ya yote akawataka abiria wasali kwa ajili ya safari.

Huyo mhudumu akasema anajua kwenye gari wapo watu wa aina mbalimbali ila WOTE tunamuamini Mungu akafanya mahubiri kama ya dakika tatu kuhusu mambo ya kiroho yasiyoonekana njiani katika safari na mwisho akatutaka wote tusali kwa imani zetu kwa dakika kama mbili!

Kinachoshanga ni kwamba mtandaoni kuna atheists wengi sana ila mtaani huo ni msamiati mgeni kabisa!
Inawezekana mitaani huwaoni sababu wengi wao wanajificha katika hayo hayo makundi ya kidini wakiofia kuweka wazi misimamo yao jamii itawatenga.

Watu wengi hasa hiki kizazi hawaamini uwepo wa Mungu pamoja na imani za kidini sababu ya kukosa majibu sahihi ya maisha na suluhisho la matatizo.

Narudia tena, watu wengi hata humo makanisani hawaamini huyo Mungu wanaishi kufuata upepo unaendaje, na wengi wao ndio wale utotoni utawaona walikuwa wafia dini hasa, lkn baadae unaona wameachana na hizo dini mpaka unashangaa hivi ndie huyu?.

Kila familia/koo kuna watu wa aina hii na huwezi kuwatambua mpaka uwe nao karibu,.
Ukweli mchungu ni kwamba, miaka 20 ijayo hizi dini zitakua ktk hatua mbaya ya kifo cha asili, watu wengi wataachana nazo, wengi hawataamini tena uwepo wa hiyo Miungu wala imani za kidini, makanisa/misikiti itabaki kama sehemu za makumbusho au mapango ya popo/mbwa.
Zama zime badilika mambo yamekuwa mengi,Muda umekuwa hautoshi na mambo yamekuwa mengi,Utandawazi umekuwa na Elimu zimekuwa nyingi na hakuna mipaka ya kupata maarifa mapya.
Ugumu wa maisha changamoto za kifamilia kiuchumi Siasa na mahusiano ni moja kati ya vitu ambavyo vina vuruga akili ya mwanadamu na kukosa utulivu wa kukaa na chini na kupata chakula cha kiroho.
 
Leo nilikuwa kwenye bus muda mfupi baada ya safari kuanza kama ilivyo utaratibu wa bus nyingi kama sio zote za kisasa mhudumu wa gari akaanza matangazo mbalimbali lakini kabla ya yote akawataka abiria wasali kwa ajili ya safari.

Huyo mhudumu akasema anajua kwenye gari wapo watu wa aina mbalimbali ila WOTE tunamuamini Mungu akafanya mahubiri kama ya dakika tatu kuhusu mambo ya kiroho yasiyoonekana njiani katika safari na mwisho akatutaka wote tusali kwa imani zetu kwa dakika kama mbili!

Kinachoshanga ni kwamba mtandaoni kuna atheists wengi sana ila mtaani huo ni msamiati mgeni kabisa!
Atheism inakua kwa kasi kubwa Tanzania.
 
Leo nilikuwa kwenye bus muda mfupi baada ya safari kuanza kama ilivyo utaratibu wa bus nyingi kama sio zote za kisasa mhudumu wa gari akaanza matangazo mbalimbali lakini kabla ya yote akawataka abiria wasali kwa ajili ya safari.

Huyo mhudumu akasema anajua kwenye gari wapo watu wa aina mbalimbali ila WOTE tunamuamini Mungu akafanya mahubiri kama ya dakika tatu kuhusu mambo ya kiroho yasiyoonekana njiani katika safari na mwisho akatutaka wote tusali kwa imani zetu kwa dakika kama mbili!

Kinachoshanga ni kwamba mtandaoni kuna atheists wengi sana ila mtaani huo ni msamiati mgeni kabisa!
Ni kweli
 
Atheism inakua kwa kasi kubwa Tanzania.
Ila wengi bado ni keyboard warriors, labda kwa sababu bongo sio rafiki sana kwa watu tofauti ambao ni minorities wa social issues.
 
Back
Top Bottom