future mind
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 221
- 227
Vibarua wapo wagogo wapiga iyo kazi sana na wako vizuriPalizi eka elfu 10? naona ndogo Sana.
Wenyeji naomba majibu ya maswali yafuatayo, 1.Vibarua wapo?
2.ukitokea Dar unapanda magari ya wapi ili ufike Kiteto?
3.Vijijini gani vina ardhi ya kutosha kwa ajili ya kukodi mashamba?
Ukitokea dar unapanda magari ya Kiteto yapo ya kampuni ya kamwana dar to kiteto.
Kuhusu mashamba yako mengi mno niwew tu kuja kujionea na kuchangua unapopenda kulima.