Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Kwakweli hali imezidi kuwa tete kwa baadhi ya maeneo hadi ninavyoongea bei ya mahidi inazidi kupaa tsh120,000/-kwa gunia lenye visado 30,wizara husika tunaomba itupie jicho hili kwa kweli tutaangamia.
 
"Haujaelewa au dharau? Kama hauwezi kula ugali we kula wali, kama hauwezi wali kula ndizi au viazi..kama hauwezi vyote bhasi usile ufe na njaa"
Alisikika mlevi mmoja akiongea toka Swekeni.
 
Kwakweli hali imezidi kuwa tete kwa baadhi ya maeneo hadi ninavyoongea bei ya mahidi inazidi kupaa tsh120,000/-kwa gunia lenye visado 30,wizara husika tunaomba itupie jicho hili kwa kweli tutaangamia.
Ifike hata laki mbili ndio wakati wetu wakulima kula jasholetu kwa halal
 
Kwakweli hali imezidi kuwa tete kwa baadhi ya maeneo hadi ninavyoongea bei ya mahidi inazidi kupaa tsh120,000/-kwa gunia lenye visado 30,wizara husika tunaomba itupie jicho hili kwa kweli tutaangamia.
Na wewe kalime. Ikiwa bei chin mnashangilia na kuwadhihak wakulima
 
Kipindi wakulima wanauzq gunia kwa tsh 28,000 mbona hamkuanzisha mada mitandaoni? Acha na wao wanufaike maana kutesa nikwazamu.
Kwa mawazo yako hayo mahindi yapo kwa wakulima? Kwa! Kwa! Kwa! Mitanzania ya mjini sijui mpoje? Sisi huku shamba tulishauza kitambo tangu yakiwa shambani.
 
Kama mliuza kitambo basi mnunuzi amekaa nayo toka kitambo na hela yake ilikuwa haizunguki toka kitambo. Lifikilie na hilo yeye kazika hela yake bila kujari mabadiriko yoyote mbele.
 
Kwakweli hali imezidi kuwa tete kwa baadhi ya maeneo hadi ninavyoongea bei ya mahidi inazidi kupaa tsh120,000/-kwa gunia lenye visado 30,wizara husika tunaomba itupie jicho hili kwa kweli tutaangamia.

Bro ingia shamba ulime.
 
Ila binadamu ni miongoni mwa viumbe vya ajabu ajabu kiwahi kutokea duniani.

Juzi tu hapa hata hatujasahau mmeimba nyimbo na mapambio yote kuhusu bei ya korosho, pamba, mkonge, koroshow, n.k

Leo bei ya mahindi imepanda binadamu wale wale wanalalamikia bei kubwa.

Ukiona mazao yanapanda hiyo ni furaha kwa wakulima ambao ni zaidi asilimia 80 Watanzania wameajiriwa na kujiajiri.

Natamani ndoo moja ya mahindi inunuliwe kwa laki moja ili mkulima ambaye ameteseka miaka na miaka anufaike.

Nimemkubali Bashe kwa kutoa kauli ya serikali kutokuingilia bei ya mazao.
 
Kwakweli hali imezidi kuwa tete kwa baadhi ya maeneo hadi ninavyoongea bei ya mahidi inazidi kupaa tsh120,000/-kwa gunia lenye visado 30,wizara husika tunaomba itupie jicho hili kwa kweli tutaangamia.
Mkuu kaa tayari kumwagiwa mapovu, kuna hawa wakulima wa kukopa hela benki wanaota kuuza gunia kwa milioni moja. Hawawezi kukuelewa, wana mafrustration ya mikopo ya benki, wakulima wenyewe orijino kule vijijini hawana hizi tamaa kabisa.
 
Sio lazima utumie ugali kama chakula na pia ukumbuke kuwa wakulima walipokuwa wanapata hasara hakuna aliyewasemea hivyo ni wakati mzuri wa wakulima kurudisha kilichopotea
 
Tuombe Mungu hali ya hewa iendelee kama ilivyo. Kufikia mwezi wa Desemba mwishoni maeneo mengi wataanza kuanza kuvuna mahindi ya kwanza. Kwa kweli maeneo kama Mkoa wa Mara hasa Tarime, Rorya kuna matumaini ya kupata mavuno makubwa ya vuli.
 
Muhimu kuangalia hili maana hili swala sio wakulima ni wafanyabiashara wa mazao ndo wanapandisha bei..mkulima alishauza siku nyingi saa hizi anajiandaa na msimu mpya.. walanguzi wamepata kisigizio cha neno wakulima
Kwakweli hali imezidi kuwa tete kwa baadhi ya maeneo hadi ninavyoongea bei ya mahidi inazidi kupaa tsh120,000/-kwa gunia lenye visado 30,wizara husika tunaomba itupie jicho hili kwa kweli tutaangamia.
 
Nahitaji kulima ekari tatu (3) za mahindi msimu huu ambao mvua zinaanza hususani kwa Nyanda za Juu Kusini.

Ila nina muda kidogo tangu nilime zao hili kwa hiyo kuna mambo nataka kujikumbusha naomba mnisaidie najua huku kuna wajuzi wa mambo haya.
- Bei ya mbegu za mahindi kwa kilo
- Nitahitaji mbegu kilo ngapi kwa ekari 3?
- Mbolea ya kupandia hizo ekari 3 zitanigharimu kiasi gani?

Nauliza hivyo kwa sababu kama mjuavyo, bajet zinabana, nahitaji nijipange ndani ya wiki mbili hizi.

Gharama zingine nazielewa. Shamba langu ni safi kabisa, ninasubiri mvua ishuke tu niingize trekta. Gharama za trekta na vibarua wa kupanda nazijua.
 
Mbolea nzuri ya kupandia ni DAP AU Yaramila otesha, utahitaji almost 24 to 30 kg ya mbegu kwaajili ya ekari Tatu.

Bei ya mbegu kwa sasa 12,000 kwa pakti yenye 2kg
 
Mbolea nzuri ya kupandia ni DAP AU Yaramila otesha, utahitaji almost 24 to 30 kg ya mbegu kwaajili ya ekari Tatu.

Bei ya mbegu kwa sasa 12,000 kwa pakti yenye 2kg

Asante sana mkuu. Na hiyo mbolea ili nipandie hizo ekari 3 nahitaji mifuko mingapi na bei unaijua?
 
Back
Top Bottom