Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

Kila la kher mkuu mm ni mkaz wa maeneo hayo , hesab ziko sawa sema unesahau za usafir maana mashamba si ya ukaribu kiasi cha kuyafikia kiurahis hivyo!!
Karibu kiteto!!
[QUOTEh
Gharama za palizi ni 10k seriaz?
Vipi nikija mwezi wa 12 kulima ekari mbili nitazipata? na vipi ku
 
Kweli kipindi cha mawao mengi bei inashuka sana kwani kila mtu anakua amevuna na mahindi yanakua ni mengi wajanja wanaweka kwenye magala mahindi yao wanasubiria kipindi kama hichi ndio wanauza
Kwa iyo ukivuna mwez wa 3 yakupasa uyaweke ndan kwa mpk mwez wa 10 km huu ili uuze kwa Bei nzuri kdg
 
Habari wataalam,
kwa mara ya kwanza nimefika katika ardhi isemekanayo kutukuka kwa rutba na mvua za kutusha kwa kilimo cha mahindi kiukweli nimeshawishika sana kuingia katika kilimo cha mahindi japo kilimo cha kutegemea mvua ya mungu kupata ni majaliwa ya mola lakini mimi nitarisk na nimeplan kuanza na heka kumi (10) kulingana na uchumi wangu.

Nilichokipenda zaidi huku kulimo sio gharama sana gharama kubwa ni yakukodi shamba na kulima kwa trekta basi habari za mbolea hamna kabisa inasemekana ardhi hii inarutba ya kutosha kabisa kustawisha mazao bila kutegemea mbolea.
Kwa hesabu zangu za kawaida gharama ya kulima ekta 10 ni sawa mchanganuo huu chini..

Kukodi chamba 1kt = 30,000/- @10 (300,000/-)
Kulima kwa trekta 1kt = 30,000/- @10 (300,000/-)
Kupanda 1kt = 10,000/- @10 (100,000/)
Palizi 1kt =10,000/ @10x2 ( 200,000/-)
mbegu (200,000/-)


JUMLA. 1,100,000/-
Tuweke laki5 ya dharura ikitokea labda wadudu kununua dawa au kubadilika kwa bei ya vitu vingine
Jumla kuu itakua 1,600,0000/-

Sasa basi kwa kawaida kabisa kilimo kikitiki kwa ekta moja kupata gunia 7 ni kawaida kabisa sasa tuchukulie kiwango hichi cha chini kwa gunia7 kwa ekta kwaiyo sasa 7x 10 = 70 na kwa kawaida kabisa gunia moja kuuzwa elfu60 ni bei ya chini hivyo basi 70 x 60,000/- =( 4,200,000/)
Ukitoa hela niliowekeza (4,200,000/-1,600,000 =2,600,000/- ) napiga bingo la 2.6M kwa kipindi cha miezi 3 tu.
Naomba kuwasilisha nakaribisha mawazo na ushauri kutoka kwa wadau wa kilimo hasa kama umewai kulima kiteto.
you are very funny, farming is not as easy as you are writing. stop fooling people, you know nothing about farming.
 
Ni wazo zuri, bei sasa imefikia 120,000/= kwa gunia. Huenda kilimo kikawa na tija sasa
 
Mkuu kilimo cha kusikia usipimeeeee


Gharama za kuvuna umeacha

Gharama za Kupukucha

Gharama za kusafirisha mbegu

Gharama za magunia

Gharama za kusafirisha mazao

Gharama za Dawa ya kuua wadudu

Gharama za kupakia na kushusha mzigo

Gharama za ulinz shambani


Hiki kilimo we acha tu hahahaha
 
Habari wataalam,
kwa mara ya kwanza nimefika katika ardhi isemekanayo kutukuka kwa rutba na mvua za kutusha kwa kilimo cha mahindi kiukweli nimeshawishika sana kuingia katika kilimo cha mahindi japo kilimo cha kutegemea mvua ya mungu kupata ni majaliwa ya mola lakini mimi nitarisk na nimeplan kuanza na heka kumi (10) kulingana na uchumi wangu.

Nilichokipenda zaidi huku kulimo sio gharama sana gharama kubwa ni yakukodi shamba na kulima kwa trekta basi habari za mbolea hamna kabisa inasemekana ardhi hii inarutba ya kutosha kabisa kustawisha mazao bila kutegemea mbolea.
Kwa hesabu zangu za kawaida gharama ya kulima ekta 10 ni sawa mchanganuo huu chini..

Kukodi chamba 1kt = 30,000/- @10 (300,000/-)
Kulima kwa trekta 1kt = 30,000/- @10 (300,000/-)
Kupanda 1kt = 10,000/- @10 (100,000/)
Palizi 1kt =10,000/ @10x2 ( 200,000/-)
mbegu (200,000/-)


JUMLA. 1,100,000/-
Tuweke laki5 ya dharura ikitokea labda wadudu kununua dawa au kubadilika kwa bei ya vitu vingine
Jumla kuu itakua 1,600,0000/-

Sasa basi kwa kawaida kabisa kilimo kikitiki kwa ekta moja kupata gunia 7 ni kawaida kabisa sasa tuchukulie kiwango hichi cha chini kwa gunia7 kwa ekta kwaiyo sasa 7x 10 = 70 na kwa kawaida kabisa gunia moja kuuzwa elfu60 ni bei ya chini hivyo basi 70 x 60,000/- =( 4,200,000/)
Ukitoa hela niliowekeza (4,200,000/-1,600,000 =2,600,000/- ) napiga bingo la 2.6M kwa kipindi cha miezi 3 tu.
Naomba kuwasilisha nakaribisha mawazo na ushauri kutoka kwa wadau wa kilimo hasa kama umewai kulima kiteto.


Maisha sio rahsi hivi ndugu.
Utawaigiza watu chakike.
 
Angalia usije kupooza upande mmoja baada ya hiyo miezi mitatu. Kilimo ni nyoko sana ukiingia kichwa kichwa na data kama zako.
 
Kasahau na gharama za mbegu mkuu, au atazipata kwa upepo wa kisulisuli
Kila la kher mkuu mm ni mkaz wa maeneo hayo , hesab ziko sawa sema unesahau za usafir maana mashamba si ya ukaribu kiasi cha kuyafikia kiurahis hivyo!!
Karibu kiteto!!
[/QUOTE
 
Hizi sehemu nishapiga kazi sana kwa haraka haraka kilimo huko kinalipaa mashamba yapo mazuri sana pori kwa pori ,mbeli, kijungu,enguseroo na sehemu nyingi sana kama utaitajii msaada zaid ni pm kwa msaada zaid
 
Palizi eka elfu 10? naona ndogo Sana.
Wenyeji naomba majibu ya maswali yafuatayo, 1.Vibarua wapo?
2.ukitokea Dar unapanda magari ya wapi ili ufike Kiteto?
3.Vijijini gani vina ardhi ya kutosha kwa ajili ya kukodi mashamba?
 
Back
Top Bottom