mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Kila la kher mkuu mm ni mkaz wa maeneo hayo , hesab ziko sawa sema unesahau za usafir maana mashamba si ya ukaribu kiasi cha kuyafikia kiurahis hivyo!!
Karibu kiteto!!
[QUOTEh
Gharama za palizi ni 10k seriaz?
Vipi nikija mwezi wa 12 kulima ekari mbili nitazipata? na vipi ku