Utajiri upo katika kilimo bora cha mpunga chukua nondo hizi

Mhina Martin

Member
Apr 3, 2017
93
134
KILIMO BORA CHA MPUNGA:
A: kuandaa shamba
  • shamba lilimwe vizur na kusawazishwa liwe level (Hallow)
  • Piga dawa ya magugu kabla ya kupanda Kama Bafoseti
  • weka mifereji ya Maji vizuvizur
  • Andaa majaruba mapema yawe level kupitika Kwa maji

B: UANDAAJI WA MBEGU NA KUPANDA

  • Kwa kilimo Cha nchi kavu kwenye miinuko andaa Mbegu kama,BAROKA,TUMAINI,PATO,FARAJA,WAB zinahimili magojwa na ukame kwenye hekta Moja Tumia kilo 80 au ekari Moja debe mbili,Unaweza mwaga Kwa mistari au zigi zaga
  • Kwa kilimo Cha umwagiliaji kwanza andaa Mbegu kama SARO 5,KOMBOKA,TAI,TARIKI,SUPA
  • Andaa kitalu Cha mita 5 Kwa 20 tuta
  • Loweka Mbegu Kwa siku tatu Kisha kasie kwenye kitalu
  • Mbegu itakaa kwenye kitalu Kwa muda wa Siku 21-28 hamisha kwenye majaruba Ukiwa Tayar ushachavyanga na kupiga dawa ya kuua magugu
  • Panda Kwa mistari mche Hadi mche ni sm 15 Kwa sm15
  • Miche 2-3 kw Shina Moja pandikiza Kwa kamba

C: UWEKAJI WA MBOLEA
- Mbolea ya kupandia kama DAP.,NPK ,MINJINGU kilo 40 Kwa ekari moja
zinasaidia kutoa mizizi na pacha
- Mbolea ya kukuzia Kuna nyakati Mbili
(1) Wakati wa kupacha hii unaweza MBOLEA siku 14 baada ya kupandikiza UREA ,SA, CAN
(2) Wakati wa mimba dume hii siku 25 kabla ya kuchanua UREA,SA inasaidia ujazo wa punje na uzito

D: PALIZI

-Ni muhimu shamba lipaliliwe Kuanzia siku 16 mpaka 24 tangu kupandikiza au kumwagwa
-kuna Njia tatu za PALIZI
(1) Kutumia mashine ya palizi
(2) Kungolea Kwa mkono
(3) Kutumia viatilifu vya kuua wadudu kama PILAR SPIRIT 167 OD,RICE CLEAR 100SC,PILARILO 500EC

E: MAGONJWA
  • Ukungu,mabaka baka,mnyauko wa majani,kimnyangaa, Kuwepo Kwa funza weupe
  • Tiba kung'oa mimea iliyoathiliwa, Nyunyiza dawa kama THIODEN,ENDOSULFET,FETHIONI Kila baada ya wiki Mbili ikiambatana na MBOLEA za Busta kama SUPER GLOW, FINCH NK

F: ULINZI NA MAVUNO
  • Ni muhimu kulinda ndega mapema pindi mpunga unapoanza kuchanua mpaka kuvuna
  • Ni muhimu kuwahi kuvuna usiuachie ukauke Sana mpaka upukutike shambani.

KILIMO CHA MPUNGA NI UTAJIRI MKUBWA USIO NA KIFANI MKAWE NA MAANDALIZI MEMA
BY MHINA JR
 
KILIMO BORA CHA MPUNGA:
A: kuandaa shamba
  • shamba lilimwe vizur na kusawazishwa liwe level (Hallow)
  • Piga dawa ya magugu kabla ya kupanda Kama Bafoseti
  • weka mifereji ya Maji vizuvizur
  • Andaa majaruba mapema yawe level kupitika Kwa maji

B: UANDAAJI WA MBEGU NA KUPANDA

  • Kwa kilimo Cha nchi kavu kwenye miinuko andaa Mbegu kama,BAROKA,TUMAINI,PATO,FARAJA,WAB zinahimili magojwa na ukame kwenye hekta Moja Tumia kilo 80 au ekari Moja debe mbili,Unaweza mwaga Kwa mistari au zigi zaga
  • Kwa kilimo Cha umwagiliaji kwanza andaa Mbegu kama SARO 5,KOMBOKA,TAI,TARIKI,SUPA
  • Andaa kitalu Cha mita 5 Kwa 20 tuta
  • Loweka Mbegu Kwa siku tatu Kisha kasie kwenye kitalu
  • Mbegu itakaa kwenye kitalu Kwa muda wa Siku 21-28 hamisha kwenye majaruba Ukiwa Tayar ushachavyanga na kupiga dawa ya kuua magugu
  • Panda Kwa mistari mche Hadi mche ni sm 15 Kwa sm15
  • Miche 2-3 kw Shina Moja pandikiza Kwa kamba

C: UWEKAJI WA MBOLEA
- Mbolea ya kupandia kama DAP.,NPK ,MINJINGU kilo 40 Kwa ekari moja
zinasaidia kutoa mizizi na pacha
- Mbolea ya kukuzia Kuna nyakati Mbili
(1) Wakati wa kupacha hii unaweza MBOLEA siku 14 baada ya kupandikiza UREA ,SA, CAN
(2) Wakati wa mimba dume hii siku 25 kabla ya kuchanua UREA,SA inasaidia ujazo wa punje na uzito

D: PALIZI

-Ni muhimu shamba lipaliliwe Kuanzia siku 16 mpaka 24 tangu kupandikiza au kumwagwa
-kuna Njia tatu za PALIZI
(1) Kutumia mashine ya palizi
(2) Kungolea Kwa mkono
(3) Kutumia viatilifu vya kuua wadudu kama PILAR SPIRIT 167 OD,RICE CLEAR 100SC,PILARILO 500EC

E: MAGONJWA
  • Ukungu,mabaka baka,mnyauko wa majani,kimnyangaa, Kuwepo Kwa funza weupe
  • Tiba kung'oa mimea iliyoathiliwa, Nyunyiza dawa kama THIODEN,ENDOSULFET,FETHIONI Kila baada ya wiki Mbili ikiambatana na MBOLEA za Busta kama SUPER GLOW, FINCH NK

F: ULINZI NA MAVUNO
  • Ni muhimu kulinda ndega mapema pindi mpunga unapoanza kuchanua mpaka kuvuna
  • Ni muhimu kuwahi kuvuna usiuachie ukauke Sana mpaka upukutike shambani.

KILIMO CHA MPUNGA NI UTAJIRI MKUBWA USIO NA KIFANI MKAWE NA MAANDALIZI MEMA
BY MHINA JR

maeneo gan safi kwa kilimo cha umwagiliaj
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom