Habari zenu wana jukwaa la kilimo.
Nina shamba ninafanya kilimo cha mahindi. Nimenunua mbolea ya kupandia lakini muuzaji alichanganya akawapa vibarua UREA badala ya mbolea ya kupandia.
Naomba kujua hatua za kuchukua baada mkanganyiko huu kwani vibarua wameshapanda kwa kutumia UREA.
Nina shamba ninafanya kilimo cha mahindi. Nimenunua mbolea ya kupandia lakini muuzaji alichanganya akawapa vibarua UREA badala ya mbolea ya kupandia.
Naomba kujua hatua za kuchukua baada mkanganyiko huu kwani vibarua wameshapanda kwa kutumia UREA.