Shusha nondo mkuu
Mkuu hii jamii forum sijui ina shida gani kwangu yani nikifungua inbox inagoma kufunguka. Nashindwa kujua uliniuliza nini.Cheki pm yako mkuu
Shamba lako lipo wapiMsimu huu wa kilimo ntakua natoa maelezo ya kitaalamu na picha live toka shambani kwa vitendo kuanzia kuaandaa shamba, kuchagua mbegu, kupanda, kuzuia wadudu na magonjwa, mbolea, kupalilia hadi kuvuna endelea kunifatilia.
Tunakufuatilia mkuu kimyaa kimyaaZoezi la kusambaza samadi shambani likiendelea.Baada ya hapo litafuata zoezi la kupanda mahindi. Mbegu nilizopanga kupanda ni DK 777 na SeedCo Tembo 719. Pamoja wakuu tuendelee kupambana.View attachment 2832021View attachment 2832022View attachment 2832023View attachment 2832024
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app