Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi
Mawakili wa Kimambi wanadai Meta ilitoa kile ambacho Tanzania haikuweza kupata yenyewe — yaani kumyamazisha — kwa kufunga akaunti zake duniani kote, baada ya serikali kudaiwa kutishia kuzuia majukwaa ya kampuni hiyo nchini Tanzania.
Hizi shutuma Mange atazithibitisha vipi? Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom