Anacheza nina uhakika Mange ataongea kipare mahakamani.
Tunadhani hizi taasisi kubwa duniani wanasheria wao ni tia maji maji.
Yaani watu wenye uwezo wa kusoma DM zako, na washafunga account zako for violation of registration kwa mambo ya kipuuzi tu.
Watu hao uwafungulie kesi ya kuweka picha za AI na hadithi za misinformation; vifo vya watu 500 useme ni watu 10,000.
Na wanajua hadithi zote za D.M
Ni utaahira uliopindukia, kufanya utaahira kwenye platform zao (Yaani watu kama Meta), na kudhani na wao ni akili ndogo kama wewe.
Liwe somo la bure (suburi hiyo character assassination, before responding to legal matters).
Taahira tu, watamrudishia picha za kutengeneza na false information anazosambaza hatajuta.
Ni ujinga kudhani mtu mwenye makando kando kama Mange anaweza wasumbua meta.
Nimekwambia ataongea kipare, wanasheria wa Meta wakimuasha; uamini subiri.
Unacheza wewe na hizi taasisi.