Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

Mange kafichua madudu mengi sana...

Sema wale mafisadi walio mreport META walihusisha na masuala ya Mange kipindi anafanya issue zake zile za connection kwenye app yake, wakahusianisha kwamba ni kazi yake kuchafua watu.. meta walipofuatilia wakaona alikuwa kweli anafanya issue za connection kabla... ndipo wakapiga pini na kutia ngumu, pasipo hivyo ilikuwa ngumu sana kufuta account yake...

Lakini yote na yote mi naona hata zile connection alikuwa anaachia ni sehemu ya harakati tu, maana wasanii akili hawana...
 
Mange kafichua madudu mengi sana...

Sema wale mafisadi walio mreport META walihusisha na masuala ya Mange kipindi anafanya issue zake zile za connection kwenye app yake, wakahusianisha kwamba ni kazi yake kuchafua watu.. meta walipofuatilia wakaona alikuwa kweli anafanya issue za connection kabla... ndipo wakapiga pini na kutia ngumu, pasipo hivyo ilikuwa ngumu sana kufuta account yake...

Lakini yote na yote mi naona hata zile connection alikuwa anaachia ni sehemu ya harakati tu, maana wasanii akili hawana...
Screenshot_20260829_085621_Instagram.jpg


Maria sarungi hakuwahi kufanya content za kutoa connection za watu lakini hichi ndio kilichotokea.

Ishu ni kwamba meta wanapokea maelekezo wapo kifaida zaidi, hawataki kufungiwa hapa bongo kama X.
 
Kama namwona Samuya huko aliko akitukana, akisonya, na kuvimbisha mashavu yake.

Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.

Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.


View: https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv


Mgogoro wa Mange na Meta

Lkn kununa anune mwengine
Mbona Nyani unaenda kubadilika kuwa Ngedere Ngabu

Upepo wa chuki dhidi ya RAIS Dk Samia Suluhu Hassan
inakupoteza kwenye
misingi yako‼️

Kiasi kuchanganya mambo‼️
 
Umbea kwa Mwanamke ni kama msomali na bunduki.

Hapo amekaa ameona hana pa kupiga umbea na majungu yake.

Akaamua apambane kufa kupona.
 
Back
Top Bottom