Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,987
- 142,352
Kama namwona Samuya huko aliko akitukana, akisonya, na kuvimbisha mashavu yake.
Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.
Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.
View: https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv
Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.
Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.
View: https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv