Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi
kajitoa mhanga sana huyu mwanamke na kinachoshangaza ni kukataa mlungula na kuamua kuendelea na harakati
Ni mhanga pia, chanzo cha kifo cha baba yake ni wakubwa serikalini..

Ndio maana ana hasira sana na anapambania justice.
 
Naogopa mwenzenu...kila mara naona hatari inamsogelea...
Any way Mange ni jeshi
 
Do a quick search on the law firm behind the legal dispute; and learn what on the back story (there is a lot on failure towards child protection).

There were serious breaches on child protection; on the matter.

Otherwise, sio rahisi kwa mtu ambae has fringed their rules several times kuwasumbua.

Subiri uone wanasheria wa Meta watakavyo mtwanga particularly on character assassination.
Acha kutishia watu...
Ushindi upo kwa yoyote
 
Yani mmetoa taarifa ya New York Post mmebandika tafsiri ya uongo na upotoshaji ya Sammy Awadhi!

Post ya kwanza ya mada hii haikuwa YouTube post ya Sammy Awadhi. Rudiaheni posti ya awali. Hii ni potoshi!
 
Back
Top Bottom