hili ndio nilikua najiuliza na kumuuliza π³π³π³π³
Walitakiwa kusikilizwa baada muda gani? Na taratibu za bunge zikoje kwa hilo?
Chadema buanaππ
hili ndio nilikua najiuliza na kumuuliza π³π³π³π³ Walitakiwa kusikilizwa baada muda gani? Na taratibu za bunge zikoje kwa hilo?
Chadema buanaππ
Hii yote ilikuwa ni akili ya Bwana John Magufuli, huyu jamaa kaivuruga sana hii nchi. Mungu amefanya kitu cha maana sana kwani alikuwa msalaba mkubwa na mzito katika migongo ya watanzania.
Now that he is at rest and so are the people of Tanzania.