Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Hivi hili azimia lilifikiaga wapi???

Au ndio ule mchezo wa tega nikutege🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Watuhumiwa walikata rufaa, kikao kilichotakiwa kujadili na kuamua rufaa yao mpaka leo hakijakaa.
 
Watuhumiwa walikata rufaa, kikao kilichotakiwa kujadili na kuamua rufaa yao mpaka leo hakijakaa.
hili ndio nilikua najiuliza na kumuuliza 😳😳😳😳
Walitakiwa kusikilizwa baada muda gani? Na taratibu za bunge zikoje kwa hilo?
Chadema buana😎😎
 
hili ndio nilikua najiuliza na kumuuliza 😳😳😳😳
Walitakiwa kusikilizwa baada muda gani? Na taratibu za bunge zikoje kwa hilo?
Chadema buana😎😎
Within three months after their appeal.
 
Hii yote ilikuwa ni akili ya Bwana John Magufuli, huyu jamaa kaivuruga sana hii nchi. Mungu amefanya kitu cha maana sana kwani alikuwa msalaba mkubwa na mzito katika migongo ya watanzania.

Now that he is at rest and so are the people of Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…