Kwakweli kuna mambo ambayo daima nitamkumbuka nayo:-
1. Alikuwa mwamba akiongea wote kimya mnamsikiliza yaani alikuwa loud and clear.
2. Uthubutu na maamuzi ya papo kwa hapo.
3. Kusikiliza wananchi kwakweli hakujali hali alimsikiliza hadi mwananchi wa kawaida na viongozi walianza kuona thamani ya kila mwananchi.

Kwa haya JPM nitakukumbuka sana.

Alipoanguka kama mwanadamu ni kwenye promotion na salary increament (japo aliitoa increament ya kupunguza PAYE rates). Demokrasia na freedom of press

Anyways hatukutumwa tuzaliwe ni kiherehere chetu.

Pumzika kwa AMANI JPM.
 
Wakati wa utawala wa JPM.
1. Mbolea mfuko wa mbolea uliuzwa kwa sh.45,000/- lakini sasa ni sh.135,000/-. Ongezeko ni 200%.

2. Nauli ilipokuwa sh.1500/- sasa ni sh.4000/-. Ongezeko ni 167%.

3.Tuliishi kwa amani bila vibaka wala Panyaroads lakini sasa wametapakaa kila kona mtaani.

4.Tulijengewa akili ya kujitegemea lakini sasa tunajengewa akili ya kuwategemea waliotufanya watumwa kwa miaka mingi.

5. Rasilimali za Nchi zililindwa kwa nguvu zote lakini sasa ni shamba la Bibi.

NB:- Kwa nini wanaogopa sana facts kuhusu JPM mpaka wanafuta uzi ndani ya dakika chache?

Mpaka hapo nimeamini JPM ni chuma, jina lake tu likitajwa wanatetemeka.
 
Wakati wa utawala wa JPM.
1. Mbolea mfuko wa mbolea uliuzwa kwa sh.45,000/- lakini sasa ni sh.135,000/-. Ongezeko ni 200%.

2. Nauli ilipokuwa sh.1500/- sasa ni sh.4000/-. Ongezeko ni 167%.

3.Tuliishi kwa amani bila vibaka wala Panyaroads lakini sasa wametapakaa kila kona mtaani.

4.Tulijengewa akili ya kujitegemea lakini sasa tunajengewa akili ya kuwategemea waliotufanya watumwa kwa miaka mingi.

5. Rasilimali za Nchi zililindwa kwa nguvu zote lakini sasa ni shamba la Bibi.

NB:- Kwa nini wanaogopa sana facts kuhusu JPM mpaka wanafuta uzi ndani ya dakika chache?

Mpaka hapo nimeamini JPM ni chuma, jina lake tu likitajwa wanatetemeka.
Mbona uzi bado upo hawajaufuta si ndo huu!?
 
Ngoja waje watasema umetumwa na Job kumsema Mama. Wengine watasema ameshafariki hawezi kurudi, utafikiri umeandika ili afufuke! Wengine watasema kazikwe nae, utafikiri umewaambia unataka kufa!

Ukweli haupigwi rungu. JPM alikuwa Kiongozi shupavu, Mzalendo na mwenye maono kuliko....!
 
Ngoja waje watasema umetumwa na Job kumsema Mama. Wengine watasema ameshafariki hawezi kurudi, utafikiri umeandika ili afufuke! Wengine watasema kazikwe nae, utafikiri umewaambia unataka kufa!

Ukweli haupigwi rungu. JPM alikuwa Kiongozi shupavu, Mzalendo na mwenye maono kuliko....!
Haswaa.
 
Wakati wa utawala wa JPM.
1. Mbolea mfuko wa mbolea uliuzwa kwa sh.45,000/- lakini sasa ni sh.135,000/-. Ongezeko ni 200%.

2. Nauli ilipokuwa sh.1500/- sasa ni sh.4000/-. Ongezeko ni 167%.

3.Tuliishi kwa amani bila vibaka wala Panyaroads lakini sasa wametapakaa kila kona mtaani.

4.Tulijengewa akili ya kujitegemea lakini sasa tunajengewa akili ya kuwategemea waliotufanya watumwa kwa miaka mingi.

5. Rasilimali za Nchi zililindwa kwa nguvu zote lakini sasa ni shamba la Bibi.

NB:- Kwa nini wanaogopa sana facts kuhusu JPM mpaka wanafuta uzi ndani ya dakika chache?

Mpaka hapo nimeamini JPM ni chuma, jina lake tu likitajwa wanatetemeka.
Hofu ilikuwa juu sana na uhuru wa kujieleza uliwekwa kapuni, nchi ilikuwa inajizamisha kwenye udikteta taratibu. Kupotea na kupigwa risasi hadharani watu kama Lissu kulitosha kumfanya Mungu aingilie kati.
 
Hesabu hazidanganyi kwa magufuli nauli havikupanda sababu kuu ilikuwa mlipuko wa ugonjwa wa covid ulikopeleka kuporomoka kwa Bei ya mafuta dunia mzima.kutokana na kushuka kwa Bei ya mafuta vingi vilishuka Bei ikiwemo mbolea nk.vitu vingi vilishuka Bei kutokana na ugumu wakulifikia soko la bidhaa yenyewe.ugumu wakufikia soko ulisababishwa na nchi nyingi kufunga mipaka yake.wakati huu tuliopo dunia mzima imekumbwa na mfumko wa Bei kwenye bidhaa nyingi dunian kutokana na uhaba wa mafuta kwenye soko la dunia ulisababishwa na vita inayoendelea huko Asia Kati ya urusi na ukraini.kitendo cha kuwekewa vikwazo vya kibiashara kwa urusi ambae ni mmoja wawazalishaji wakubwa wa mafuta kumepelekea mafuta kupanda Bei na hivyo gharama za usafilishaji kuongezeka katika Kila sekta.na hili ni tatizo la kidunia kwa walio katika mizunguko ya kibiashara na wanaosafiri katika maeneo mbalimbali duniani hili wanalijua.marekani watu wanalamika kupanda kwa gharama ya maisha uingereza vivyo hivyo.kwa anaeelewa ataelewa tu.asiyeelewa hawezi kuelewa.
 
Acha kujadili mtu aliye amua kujimaliza mwenyewe
download (22).jpeg
Screenshot_20220714-194958.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom