Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
Kwann hujaenda leo?Niko poa ila sijaenda Kwa kaz
Kwann hujaenda leo?Niko poa ila sijaenda Kwa kaz
Mwanamke duniani's dayKwann hujaenda leo?
Una bahati Sana, Maana Jana Mimi na chama changu ch wakabaji tumekosa helaa. So ungekua mfanooNdio mwanzo wa kukutana na wakabaji, Mzee wa kupambania na wenzie 😅😅😅
Hi ndio legacy yetuuu, sisi wezi wa kimataifa fuAsiombe akutane nami wakati huo
👉Panga mkononi
👉Roho begani
😅😅😅😅 Natembea na maji ya betri kwenye chupa, shauri yenuUna bahati Sana, Maana Jana Mimi na chama changu ch wakabaji tumekosa helaa. So ungekua mfanoo
So umeamua ujipendelee? SafiMwanamke duniani's day
Tumepewa ruhusaSo umeamua ujipendelee? Safi
Aisee hivi unajua tukikuwahi, tunaweza kufanya utawazie hayo majii kichakani🤬🤐😅😅😅😅 Natembea na maji ya betri kwenye chupa, shauri yenu
Hongera, I hope Leo itakuwa siku nzuri sana kwako.Tumepewa ruhusa
Mpaka mniwahi 😅😅😅. Kitendo cha kunisogelea tu, nayamwagia usoni 😅😅Aisee hivi unajua tukikuwahi, tunaweza kufanya utawazie hayo majii kichakani🤬🤐
Watakuogopa watasema huyu mwamba hatuogopi anapita hapa,
Kuna siku night kali nimewakuta mahali vibaka kimjini mjini nikakaza moyo kudadeki nikapita katikati yao hawakunielewa kabisa wakanipa na salamu ila uoga niliokua nao tumbo lilikua libanguruma

nimecheka balaaKadri muda unavyokwenda mbele, basi kila kitu unachokijua kinabadilika
Vijana wanakuwa wazee
Teknolojia inakua kwa kasi
Biashara na makampuni yana badili utaratibu wa kujiendesha
But still unataka uwe vile vile, who the hell do you think you are??
Ulipopata pesa ulihonga, Kisha ukaahidi ukipata nyingine utabadilisha style yako but still ni lofaa yule yule
Una date mwanaume au mwanamke ambae hataweza kukufikisha au kuamini katika Safari yako ya mafanikio, wa nini Sasa
Kisa he can f.uck well ohh
or she is beautiful je mnahisi mtakula hizo romancee
unataka kuwa tajiri, but still una maoni ya kimasikini ndani yakoo, kutwa story za mademu,make up, hair style mpya, Ronaldo na Messi nani mkalii, Buddha you better change hakuna tajiri ambae ana muda wa kupoteza zobaa wwee
Soma hata vitabu
Angalia hata documentary za matajirii
Acha au punguza watu ambao hawana faida na wewe, au mazingira yao hayakufaidishi . Sio kwa ubaya but you should create a better environment
Unataka kujenga nyumba, basi tembelea hata kwa waliojenga ili upate ushauri, you never know unaeza hata okota msumari wa kugongea bati, tembela ofisi za wachora ramani waulize how can I do this or that nigga ni buree
Unataka kumilliki kiwanda, and still hujui hata mashine zinazofaa kiwandani, how does they operate, oyaa ombaa hata kutembelea kiwanda Cha biskuti ili ujifunze how do they do such shitss


😅😅😅😅 nani nimtie ngeta tupite na mzigoMi mwizi wa kimataifa tu, Nina vijana wenzangu 👉 Mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, na mwizi anayechipukia National Anthem 👉Sera zetu
👉 Panga mkononi
👉Roho begani
Wasamehe kwa leo bro😅😅😅😅 nani nimtie ngeta tupite na mzigo
Nadhani nilikuwa kwenye to yy 🤣🤣🤣
Kuna siku natoka mitaa ya ARU kama saa 6 kwenda 7 naenda makongo mwisho near cathoric church kwa mguu nipo na jamaa tukakutana nao kama 10 iv poa yetu wale jamaa huwa nawatoaga sana sigara na juisi wananifahamuWatakuogopa watasema huyu mwamba hatuogopi anapita hapa,
Kuna siku night kali nimewakuta mahali vibaka kimjini mjini nikakaza moyo kudadeki nikapita katikati yao hawakunielewa kabisa wakanipa na salamu ila uoga niliokua nao tumbo lilikua libanguruma
Washa moto nakuja mkuuu