JamiiForums Usiku wa manane
Hawa man utd kwa sasa ni timu ya kuogopwa, arsenal hatuwadai kitu msimu huu. Liverpool kazi anayo next match
Yaani tangu wabebe lile kombe jana daah imekua ishu sana waana perform kinoma city tukizubaa tunaweza malizz wa 3 maaan sio kwa huo moto ila huu mwezi mtamu sana subiri tuone mtanange 🦉🦉🦉🦉🦉
 
Yaani tangu wabebe lile kombe jana daah imekua ishu sana waana perform kinoma city tukizubaa tunaweza malizz wa 3 maaan sio kwa huo moto ila huu mwezi mtamu sana subiri tuone mtanange 🦉🦉🦉🦉🦉
Hata kabla ya kikombe wapo vizuri, hizo comeback win haikua kawaida yao. Huyo mpemba rashford analiona goli sana. Cr7 alikua mzigo kwa timu.

Ila nawaona wakipoteza dhidi ya liverpool
 
Go Gunners, go go go
FB_IMG_16777085914980716.jpg
 
Hujauona Moto wa Arsenal 🤔🤔, kaua mtu 4:0 hukoo. What an outstanding performance from the gurners💪💪
Ushindi wa arsenal ni mzuri ila comeback ya man utd ni tishio wapo kwenye kipindi kizuri sana kama timu.

Mimi ni arsenal usilisahau hilo ila naongelea soka naweka pembeni ushabiki na mapenzi na timu yangu.
 
Back
Top Bottom