Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
Ndo unatoka nini mzee mzima Intelligent businessman ?We Mzee wa kupambania mi nilijuwepoo bhanaa
Ndo unatoka nini mzee mzima Intelligent businessman ?We Mzee wa kupambania mi nilijuwepoo bhanaa
Ngoja niegeshe kichwa, Mana nimeambulia mswaki tuKazi kazi wazee wa kuweka legacy
Naleft group kwa sasaNdo unatoka nini mzee mzima Intelligent businessman ?
Leo kazi ilikuwa ngumu narudi zangu mdogomdogoNgoja niegeshe kichwa, Mana nimeambulia mswaki tu
Tuko hapa kukuwakilishaNaleft group kwa sasa
Kuwa makini coz masnitch wameongezeka mtaaniTuko hapa kukuwakilisha
Nilipambana hadi ukaja 😅😅😅Pambana😂
Acha tu mkuu. Tatizo simu nayo inachangia. Sasa hivi nikikosa usingizi, sishiki simu 😅😅Uutoe wapi wakati mwili umeshauzoesha lazima ikifika mida fulani uamke
Ndio mwanzo wa kukutana na wakabaji, Mzee wa kupambania na wenzie 😅😅😅Toka njee tembe tembea
Asiombe akutane nami wakati huoNdio mwanzo wa kukutana na wakabaji, Mzee wa kupambania na wenzie 😅😅😅
Nimechoka tu na hiz mambo bro🙄Kwani To yeye wewe ni mtoto mdogo hujui anachotaka?
Woow! ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ aiseeSio shida kama una nipatia mambo moto moto, ushauri, ushirikiano, unanituliza stress za vichwa vyote viwili, na kunifanya nipige hatua zaidi.
Ule wimbo wa Zuchu wa fire ameongelea vizuri: Namnyonyesha, namlaza mapajani,😂😂😂
Ila hizo ni mbwembwe but something like that
Akitaka sex tu anapewa mpaka achoke ila asitegmee atanioa...nikishasex na mtu nakinaiSiku hizi Watu wanaogopa uziwa mbuzi kwenye gunia.
Muhimu kujiridhisha yaliyomo yamo
Lazima pachimbike mkuu 😅😅😅Asiombe akutane nami wakati huo
👉Panga mkononi
👉Roho begani
Uko poaLazima pachimbike mkuu 😅😅😅
Niko salama mrembo. U hali gani wewe?Uko poa
Niko poa ila sijaenda Kwa kazNiko salama mrembo. U hali gani wewe?