Kadri muda unavyokwenda mbele, basi kila kitu unachokijua kinabadilika

Vijana wanakuwa wazee

Teknolojia inakua kwa kasi

Biashara na makampuni yana badili utaratibu wa kujiendesha
But still unataka uwe vile vile


, who the hell do you think you are??
Ulipopata pesa ulihonga, Kisha ukaahidi ukipata nyingine utabadilisha style yako but still ni lofaa yule yule


Una date mwanaume au mwanamke ambae hataweza kukufikisha au kuamini katika Safari yako ya mafanikio, wa nini Sasa


Kisa he can f.uck well ohh


or she is beautiful je mnahisi mtakula hizo romancee

unataka kuwa tajiri, but still una maoni ya kimasikini ndani yakoo, kutwa story za mademu,make up, hair style mpya


, Ronaldo na Messi nani mkalii, Buddha you better change hakuna tajiri ambae ana muda wa kupoteza zobaa wwee

Soma hata vitabu

Angalia hata documentary za matajirii

Acha au punguza watu ambao hawana faida na wewe, au mazingira yao hayakufaidishi . Sio kwa ubaya but you should create a better environment
Unataka kujenga nyumba, basi tembelea hata kwa waliojenga ili upate ushauri, you never know unaeza hata okota msumari wa kugongea bati

, tembela ofisi za wachora ramani waulize how can I do this or that nigga ni buree
Unataka kumilliki kiwanda, and still hujui hata mashine zinazofaa kiwandani, how does they operate


, oyaa ombaa hata kutembelea kiwanda Cha biskuti ili ujifunze how do they do such shitss