Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Laaziz!waooooo![]()
Laaziz!waooooo![]()
Waguma!Tasbota
WeweLeo na mie nipo lindoni
Tatizo hautulii sehemu moja mkuuLeo na mie nipo lindoni
We chalii unazingua kimtindoHadi discount unaijuaEp 3 nimecheka sana, manager kama manager.
Danga ok story ya kawaida lakini ina mvuto.
MwenyekitiMiye sijambo,nawasalimia wadau wangu wote humu.!
Amejitahidi lakini kwa level yetuThat Danga thing is overated. Hamna kipya, waigizaji bado amateurs, story ya kawaida, direction not bad, production fair, ila episode ya latest, too many drone shots kwa ajili ya transitions, kuna plot holes kibao, sound quality safi sana. Plus hakuna consistency kwenye tarehe za kutoka episode mpya, angetulia atengeneze episode 2 ndio aendelee zingine taratibu. Sema kibongo bongo inabadili uelekeo kutoka kwenye kuiga makelele ya wanaijeria kwenda kwenye something watchable.
Kwa mtazamo wangu idris angeanza na ile comedy ya discount mpaka aive ndio alete something big kama hii danga
Ila Tanzania tu ndo hatusapoti movie zetu
Leo hii hata Wema angeigiza bikira Mariamu angepondwa coz ni mtanzania eti hakuitendea haki scene
Ila wacha iyo scene aigize mzungu utasikia yani ni kama yeye![]()



uhalisia hakuna bora tumpe mwengine hiyo characterMpaka leo sijawahi kupata majibu sahii kati ya elimu na pesa kipi kinamzidi mwenzie.
Kwani unapata elimu ili upate nini tuanzie hapoMpaka leo sijawahi kupata majibu sahii kati ya elimu na pesa kipi kinamzidi mwenzie.



Sasa nawezaje pata Elimu kama sina hela tuanzie hapa mzee wanguKwani unapata elimu ili upate nini tuanzie hapo![]()

Kila la kheri akikisha unapata ushindi mzito!Guys ngoja kwanza ningonoke, nitarudi baadae.
Aise.Guys ngoja kwanza ningonoke, nitarudi baadae.