JamiiForums Usiku wa manane
Daah
IMG_20200726_142900_575.jpg
 
That Danga thing is overated. Hamna kipya, waigizaji bado amateurs, story ya kawaida, direction not bad, production fair, ila episode ya latest, too many drone shots kwa ajili ya transitions, kuna plot holes kibao, sound quality safi sana. Plus hakuna consistency kwenye tarehe za kutoka episode mpya, angetulia atengeneze episode 2 ndio aendelee zingine taratibu. Sema kibongo bongo inabadili uelekeo kutoka kwenye kuiga makelele ya wanaijeria kwenda kwenye something watchable.

Kwa mtazamo wangu idris angeanza na ile comedy ya discount mpaka aive ndio alete something big kama hii danga
Amejitahidi lakini kwa level yetu
 
Back
Top Bottom